Tetesi: Sakata la Mo Dewji, mambosasa, DCI Boaz Watenguliwa

Uchunguzi wa kutekwa MO ndio umefungwa rasmi kwa njia hiyo.
 
Mambo today ana reasoning, sema afanyaje na mfumo wao unawaruhusu kutumiwa na wanasiasa
Sidhani kama ni kweli
Mbona wenzie wanatumika ila wanajua kutunga uongo
Mfano yule wa mwanzA na muroto

Ila mambo sasa akaamua kutuambia risasi ilipigwa juu ikarudi ikakata kona ikaingia kwenye hiace huu si ujinga ?
 
Wametenguliwa kwasababu amepatikana au kwasababu alitekwa?
Itakuwa ni kwa sababu amepatikana [emoji38][emoji38]
Walimuaibisha dingi kwa kufanya mission ya kichekecheachekechea
 
Hata Kama siyo Leo kuna mbuzi wa kafara lazima atolewe
 
Dishi la jabali limeyumba vibaya sana! Yaani kama ni TV basi tunaona chenga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…