Tetesi: Sakata la Mo Dewji, mambosasa, DCI Boaz Watenguliwa

Tetesi: Sakata la Mo Dewji, mambosasa, DCI Boaz Watenguliwa

Yule wa Dodoma ataendelea kupata tabu sana, nilijua zamu yake ya kuja Dar imefika kumbe hamna pamoja na kiki zote.
Yule atakua anasubiri kitu kikubwa zaidi
Na huwa anajielewa sana mbele ya media
Mambo sasa alikua anaongea vitu vya ajabu sana
Ila buraza wa dom anajua kuandika script
 
Halafu kipindi cha kampeni nanukuu"kwenye utawala wangu mtumishi ukiboronga usifikirie nitakuwajibisha kwa kukuhamishia sehemu nyingine mtu unaharibu mwanza unapelekwa arusha kwenye utawala wangu ukiharibu ni mahakamani"nahisi alieko madarakani ni mtu tofauti na huyu
 
Yeah, that’s him again, the sound that engine in is like a bird" DNA
 
Mambo today ana reasoning, sema afanyaje na mfumo wao unawaruhusu kutumiwa na wanasiasa
Yule atakua anasubiri kitu kikubwa zaidi
Na huwa anajielewa sana mbele ya media
Mambo sasa alikua anaongea vitu vya ajabu sana
Ila buraza wa dom anajua kuandika script
 
Back
Top Bottom