Sakata la Mpina na Waziri Bashe, nilivyoelewa kwa Lugha Rahisi

Sakata la Mpina na Waziri Bashe, nilivyoelewa kwa Lugha Rahisi

Hardbody

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2017
Posts
4,139
Reaction score
4,640
Hili sakata wakati nasoma uzi humu kwa mara ya kwanza nilikuwa sijalielewa lilivyo. Nikasema acha nizame U-tube kujua likovipi ndio nikapata kuelewa mwanzo, kati na mwisho ulivyo hebu twende pamoja kwa ambaye hajaelewa kama mimi kwa Lugha nyepesi

Iko hivi waziri wa kilimo wakati anawasilisha bajeti yake ya wizara, kwenye sakata la sukari alisema ametoa vibali kwa makampuni ya wafanyabiashara kuagiza sukari kiasi cha Tani 410 elfu kufidia upungufu uliopo wa sukari

Pia akashusha lawama kwamba kulingana na kanuni zilivyo, vibali ilitakiwa vitolewe kwa viwanda vinavyozalisha sukari ndio viweze kuagiza nje kama kuna upungufu lakini hivo viwanda ambavyo ni Mtibwa sugar, Kagera Sugar, Bagamoyo etc vimeshindwa kuimport hata kilo moja ya sukari kwa mda wa miezi 3 na kusababisha tatizo la upungufu wa sukari kuwa kubwa kama ilivyo sasa

Sasa Mpina yeye akampinga waziri kwamba taarifa yake ni ya uongo, Ikabidi spika wa bunge amwambie awasilishe taarifa kuhusu uongo wa waziri. Mpina akawasilisha taarifa iliyoeleza mambo mengi kusuhu uongo wa waziri Bashe ambayo siwezi kueleza yote humu ila mwishoni ntaweka video ili kwa ambaye hakupata nafasi ya kusikia awasilize wote kwa makini na kuelewa vizuri

Sasa kilichotikisa zaidi katika taarifa ya Mpina ni Jinsi Waziri Bashe alipotoa vibali kwa Makampuni yenye kujihusisha na Mambo tofauti kabisa na kilimo wala sukari kupewa vibali vya kuingiza sukari tena zingine zikiwa na Mitaji midogo ya hadi Tshs mil 1. Mfano kuna Kampuni inajihusisha na Stationary ina hisa 1000 zenye thamani ya mil 1 lkn imepewa kibali cha kuingiza Tani 2 elfu zenye thamani ya Tshs Bil 6.6😂

Kampuni nyingine Itel (kampuni ya simu na vifaa vya kielektronic) imepewa kibali cha kuingiza Tani 60 elfu yenye thamani ya Tshs Bil 160 wakati mtaji wa kampuni ya itel ni Tshs mil 50

Kwahiyo kwa kifupi inaonekana kuna makampuni yalikua hayana sifa ya kupewa vibali vya kuingiza sukari lakini kwa matakwa flani flani na kwa masilahi ya wachache yakaweza kupatiwa hizo dili.

MY TAKE: Spika Aunde tume ifanye uchunguzi wa sakata hili maana kuna harufu ya rushwa, uhujumu uchumi, ufisadi na makosa mengine kibao Kama kuna ukweli juu ya hili basi wote waliohusika wafukishwe kwenye vyombo vya sheria hii si sawa nchi inapigwa kizembe namna hii Watanzania tusikubali aisee tupaze sauti kukemea hili

Sakata lilianza hapa


Hapa ndio mpina akaitisha press na kufichuo uozo wa waziri

Pia soma:Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
 
Hili sakata wakati nasoma uzi humu kwa mara ya kwanza nilikuwa sijalielewa lilivyo. Nikasema acha nizame U-tube kujua likovipi ndio nikapata kuelewa mwanzo, kati na mwisho ulivyo hebu twende pamoja kwa ambaye hajaelewa kama mimi kwa Lugha nyepesi

Iko hivi waziri wa kilimo wakati anawasilisha bajeti yake ya wizara, kwenye sakata la sukari alisema ametoa vibali kwa makampuni ya wafanyabiashara kuagiza sukari kiasi cha Tani 410 elfu kufidia upungufu uliopo wa sukari

Pia akashusha lawama kwamba kulingana na kanuni zilivyo, vibali ilitakiwa vitolewe kwa viwanda vinavyozalisha sukari ndio viweze kuagiza nje kama kuna upungufu lakini hivo viwanda ambavyo ni Mtibwa sugar, Kagera Sugar, Bagamoyo etc vimeshindwa kuimport hata kilo moja ya sukari kwa mda wa miezi 3 na kusababisha tatizo la upungufu wa sukari kuwa kubwa kama ilivyo sasa

Sasa Mpina yeye akampinga waziri kwamba taarifa yake ni ya uongo, Ikabidi spika wa bunge amwambie awasilishe taarifa kuhusu uongo wa waziri. Mpina akawasilisha taarifa iliyoeleza mambo mengi kusuhu uongo wa waziri Bashe ambayo siwezi kueleza yote humu ila mwishoni ntaweka video ili kwa ambaye hakupata nafasi ya kusikia awasilize wote kwa makini na kuelewa vizuri

Sasa kilichotikisa zaidi katika taarifa ya Mpina ni Jinsi Waziri Bashe alipotoa vibali kwa Makampuni yenye kujihusisha na Mambo tofauti kabisa na kilimo wala sukari kupewa vibali vya kuingiza sukari tena zingine zikiwa na Mitaji midogo ya hadi Tshs mil 1. Mfano kuna Kampuni inajihusisha na Stationary ina hisa 1000 zenye thamani ya mil 1 lkn imepewa kibali cha kuingiza Tani 2 elfu zenye thamani ya Tshs Bil 6.6😂

Kampuni nyingine Itel (kampuni ya simu na vifaa vya kielektronic) imepewa kibali cha kuingiza Tani 60 elfu yenye thamani ya Tshs Bil 160 wakati mtaji wa kampuni ya itel ni Tshs mil 50

Kwahiyo kwa kifupi inaonekana kuna makampuni yalikua hayana sifa ya kupewa vibali vya kuingiza sukari lakini kwa matakwa flani flani na kwa masilahi ya wachache yakaweza kupatiwa hizo dili.

MY TAKE: Spika Aunde tume ifanye uchunguzi wa sakata hili maana kuna harufu ya rushwa, uhujumu uchumi, ufisadi na makosa mengine kibao Kama kuna ukweli juu ya hili basi wote waliohusika wafukishwe kwenye vyombo vya sheria hii si sawa nchi inapigwa kizembe namna hii Watanzania tusikubali aisee tupaze sauti kukemea hili

Sakata lilianza hapa


Hapa ndio mpina akaitisha press na kufichuo uozo wa waziri

Pia soma:Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Kwanza sheria inasemaje kuhusu nani anatakiwa kuagiza sukari ikitokea hali kama hiyo? Pili kwanini Msukuma Aje kwenye media kutoa ushahidi wakati Spika alimwambie apeleke Kwakwe, kanuni za zinasemaje kuhusu alivyofanya Mpina? Hili swala ukiingia harakaharaka utalaumu au kumuona Spika mbaya ama Mpina yupo sawa lakini ukweli ni Kubwa Na Mpina amekosea kwenye kwa Media
 
Hili sakata wakati nasoma uzi humu kwa mara ya kwanza nilikuwa sijalielewa lilivyo. Nikasema acha nizame U-tube kujua likovipi ndio nikapata kuelewa mwanzo, kati na mwisho ulivyo hebu twende pamoja kwa ambaye hajaelewa kama mimi kwa Lugha nyepesi

Iko hivi waziri wa kilimo wakati anawasilisha bajeti yake ya wizara, kwenye sakata la sukari alisema ametoa vibali kwa makampuni ya wafanyabiashara kuagiza sukari kiasi cha Tani 410 elfu kufidia upungufu uliopo wa sukari

Pia akashusha lawama kwamba kulingana na kanuni zilivyo, vibali ilitakiwa vitolewe kwa viwanda vinavyozalisha sukari ndio viweze kuagiza nje kama kuna upungufu lakini hivo viwanda ambavyo ni Mtibwa sugar, Kagera Sugar, Bagamoyo etc vimeshindwa kuimport hata kilo moja ya sukari kwa mda wa miezi 3 na kusababisha tatizo la upungufu wa sukari kuwa kubwa kama ilivyo sasa

Sasa Mpina yeye akampinga waziri kwamba taarifa yake ni ya uongo, Ikabidi spika wa bunge amwambie awasilishe taarifa kuhusu uongo wa waziri. Mpina akawasilisha taarifa iliyoeleza mambo mengi kusuhu uongo wa waziri Bashe ambayo siwezi kueleza yote humu ila mwishoni ntaweka video ili kwa ambaye hakupata nafasi ya kusikia awasilize wote kwa makini na kuelewa vizuri

Sasa kilichotikisa zaidi katika taarifa ya Mpina ni Jinsi Waziri Bashe alipotoa vibali kwa Makampuni yenye kujihusisha na Mambo tofauti kabisa na kilimo wala sukari kupewa vibali vya kuingiza sukari tena zingine zikiwa na Mitaji midogo ya hadi Tshs mil 1. Mfano kuna Kampuni inajihusisha na Stationary ina hisa 1000 zenye thamani ya mil 1 lkn imepewa kibali cha kuingiza Tani 2 elfu zenye thamani ya Tshs Bil 6.6😂

Kampuni nyingine Itel (kampuni ya simu na vifaa vya kielektronic) imepewa kibali cha kuingiza Tani 60 elfu yenye thamani ya Tshs Bil 160 wakati mtaji wa kampuni ya itel ni Tshs mil 50

Kwahiyo kwa kifupi inaonekana kuna makampuni yalikua hayana sifa ya kupewa vibali vya kuingiza sukari lakini kwa matakwa flani flani na kwa masilahi ya wachache yakaweza kupatiwa hizo dili.

MY TAKE: Spika Aunde tume ifanye uchunguzi wa sakata hili maana kuna harufu ya rushwa, uhujumu uchumi, ufisadi na makosa mengine kibao Kama kuna ukweli juu ya hili basi wote waliohusika wafukishwe kwenye vyombo vya sheria hii si sawa nchi inapigwa kizembe namna hii Watanzania tusikubali aisee tupaze sauti kukemea hili

Sakata lilianza hapa


Hapa ndio mpina akaitisha press na kufichuo uozo wa waziri

Pia soma:Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Badala ya kuunda tume ya kuchunguza huo ufisadi yeye kamshitaki Mpina Kamati ya Maadili.
Tulia anaenda kutema bungo na yeye anajua. Ile jana wakati anaongea hakuwa sawa kabisa, anajua anaenda kuipoteza hiyo nafasi. Mpina anaenda kupindua meza huko kwenye kamati.
 
S
Kwanza sheria inasemaje kuhusu nani anatakiwa kuagiza sukari ikitokea hali kama hiyo? Pili kwanini Msukuma Aje kwenye media kutoa ushahidi wakati Spika alimwambie apeleke Kwakwe, kanuni za zinasemaje kuhusu alivyofanya Mpina? Hili swala ukiingia harakaharaka utalaumu au kumuona Spika mbaya ama Mpina yupo sawa lakini ukweli ni Kubwa Na Mpina amekosea kwenye kwa Mediak

Kwanza sheria inasemaje kuhusu nani anatakiwa kuagiza sukari ikitokea hali kama hiyo? Pili kwanini Msukuma Aje kwenye media kutoa ushahidi wakati Spika alimwambie apeleke Kwakwe, kanuni za zinasemaje kuhusu alivyofanya Mpina? Hili swala ukiingia harakaharaka utalaumu au kumuona Spika mbaya ama Mpina yupo sawa lakini ukweli ni Kubwa Na Mpina amekosea kwenye kwa Media
Anayetakiwa kupewa kibali ikitokea hali kama hiyo ni viwanda husika vinavyozalisha sukari. Sasa waziri amesema sheria hiyo hakubaliani nayo na anadai ameibadilisha ili kutoa fursa kwa Kampuni zingine kuingiza sukari sasa cha kushangaza sheria inabadilishwa bungeni na mpina anadai hawakubadisha sheria hiyo.
 
Kwanza sheria inasemaje kuhusu nani anatakiwa kuagiza sukari ikitokea hali kama hiyo? Pili kwanini Msukuma Aje kwenye media kutoa ushahidi wakati Spika alimwambie apeleke Kwakwe, kanuni za zinasemaje kuhusu alivyofanya Mpina? Hili swala ukiingia harakaharaka utalaumu au kumuona Spika mbaya ama Mpina yupo sawa lakini ukweli ni Kubwa Na Mpina amekosea kwenye kwa Media
Shida iko wapi ikiwa ushahidi huo huo Mpina alioupeleka kwa umma kwa sehemu akaamua kuupeleka kwa Spika?

Kwani ushahidi huwa ni jambo la siri lisilopaswa kujulikana kabla na watu wengine?

Spika na bunge walisema Mpina apeleke ushahidi kwao, sasa wamepelekewa ushahidi, waupitie huo ushahidi lakini wasilazimishe Mpina kutokujieleza kwa umma kwa jambo ambalo umma una maslahi nayo?

Kwanini Spika na bunge liingilie uhuru wa Mpina wa kujieleza nje ya bunge?
 
Shida iko wapi ikiwa ushahidi huo huo Mpina alioupeleka kwa umma kwa sehemu akaamua kuupeleka kwa Spika?

Kwani ushahidi huwa ni jambo la siri lisilopaswa kujulikana kabla na watu wengine?

Spika na bunge walisema Mpina apeleke ushahidi kwao, sasa wamepelekewa ushahidi, waupitie huo ushahidi lakini wasilazimishe Mpina kutokujieleza kwa umma kwa jambo ambalo umma una maslahi nayo?

Kwanini Spika na bunge liingilie uhuru wa Mpina wa kujieleza nje ya bunge?
Nadhani Mpina kuna kitu kagundua kwamba angeenda kwenye kamati angezimwa mdomo kwa kuambiwa yamkini ushahidi una makosa hivyo siyo wa halali ndio mana ameona aulipue kwanza mbele ya kadamnasi ujulikane. Amecheza kete nzuri hapo
 
Kwanza sheria inasemaje kuhusu nani anatakiwa kuagiza sukari ikitokea hali kama hiyo? Pili kwanini Msukuma Aje kwenye media kutoa ushahidi wakati Spika alimwambie apeleke Kwakwe, kanuni za zinasemaje kuhusu alivyofanya Mpina? Hili swala ukiingia harakaharaka utalaumu au kumuona Spika mbaya ama Mpina yupo sawa lakini ukweli ni Kubwa Na Mpina amekosea kwenye kwa Media
Kwahiyo kosa nii kwenda. Kwenye media. Je wakilisho lake liko sahihi?
 
Hili sakata wakati nasoma uzi humu kwa mara ya kwanza nilikuwa sijalielewa lilivyo. Nikasema acha nizame U-tube kujua likovipi ndio nikapata kuelewa mwanzo, kati na mwisho ulivyo hebu twende pamoja kwa ambaye hajaelewa kama mimi kwa Lugha nyepesi

Iko hivi waziri wa kilimo wakati anawasilisha bajeti yake ya wizara, kwenye sakata la sukari alisema ametoa vibali kwa makampuni ya wafanyabiashara kuagiza sukari kiasi cha Tani 410 elfu kufidia upungufu uliopo wa sukari

Pia akashusha lawama kwamba kulingana na kanuni zilivyo, vibali ilitakiwa vitolewe kwa viwanda vinavyozalisha sukari ndio viweze kuagiza nje kama kuna upungufu lakini hivo viwanda ambavyo ni Mtibwa sugar, Kagera Sugar, Bagamoyo etc vimeshindwa kuimport hata kilo moja ya sukari kwa mda wa miezi 3 na kusababisha tatizo la upungufu wa sukari kuwa kubwa kama ilivyo sasa

Sasa Mpina yeye akampinga waziri kwamba taarifa yake ni ya uongo, Ikabidi spika wa bunge amwambie awasilishe taarifa kuhusu uongo wa waziri. Mpina akawasilisha taarifa iliyoeleza mambo mengi kusuhu uongo wa waziri Bashe ambayo siwezi kueleza yote humu ila mwishoni ntaweka video ili kwa ambaye hakupata nafasi ya kusikia awasilize wote kwa makini na kuelewa vizuri

Sasa kilichotikisa zaidi katika taarifa ya Mpina ni Jinsi Waziri Bashe alipotoa vibali kwa Makampuni yenye kujihusisha na Mambo tofauti kabisa na kilimo wala sukari kupewa vibali vya kuingiza sukari tena zingine zikiwa na Mitaji midogo ya hadi Tshs mil 1. Mfano kuna Kampuni inajihusisha na Stationary ina hisa 1000 zenye thamani ya mil 1 lkn imepewa kibali cha kuingiza Tani 2 elfu zenye thamani ya Tshs Bil 6.6😂

Kampuni nyingine Itel (kampuni ya simu na vifaa vya kielektronic) imepewa kibali cha kuingiza Tani 60 elfu yenye thamani ya Tshs Bil 160 wakati mtaji wa kampuni ya itel ni Tshs mil 50

Kwahiyo kwa kifupi inaonekana kuna makampuni yalikua hayana sifa ya kupewa vibali vya kuingiza sukari lakini kwa matakwa flani flani na kwa masilahi ya wachache yakaweza kupatiwa hizo dili.

MY TAKE: Spika Aunde tume ifanye uchunguzi wa sakata hili maana kuna harufu ya rushwa, uhujumu uchumi, ufisadi na makosa mengine kibao Kama kuna ukweli juu ya hili basi wote waliohusika wafukishwe kwenye vyombo vya sheria hii si sawa nchi inapigwa kizembe namna hii Watanzania tusikubali aisee tupaze sauti kukemea hili

Sakata lilianza hapa


Hapa ndio mpina akaitisha press na kufichuo uozo wa waziri

Pia soma:Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Duuuuuh
 
Kwanza sheria inasemaje kuhusu nani anatakiwa kuagiza sukari ikitokea hali kama hiyo? Pili kwanini Msukuma Aje kwenye media kutoa ushahidi wakati Spika alimwambie apeleke Kwakwe, kanuni za zinasemaje kuhusu alivyofanya Mpina? Hili swala ukiingia harakaharaka utalaumu au kumuona Spika mbaya ama Mpina yupo sawa lakini ukweli ni Kubwa Na Mpina amekosea kwenye kwa Media
Hapa kuna vitu viwili muhimu vya kutafakari
1:Ushahidi wa Luhaga Mpina kuthibitisha Bashe alidanganya bunge

2;Luhaga Mpina kuvunja kanuni za bunge

Ukifuatilia kwa makini la kuchukua nafasi kujadiliwa ni (Ushahidi wa Luhaga Mpina dhidi ya Bashe)

Lakini watanzania tulivyo wajnga tunamjadili Luhaga Mpina badala ya kujikita kweny maudhui ya Ushahidi aliotoa.

Hata spika katumia muda mwingi kumsema Luhaga Mpina badala ya kilichowasilishwa
 
Back
Top Bottom