Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,509
- 3,741
Nasimama na Hussein Bashe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio Point kubwa kabisa inayotakiwa kujibiwa na walio upande wa Supika 🙄😳Shida iko wapi ikiwa ushahidi huo huo Mpina alioupeleka kwa umma kwa sehemu akaamua kuupeleka kwa Spika?
Kwani ushahidi huwa ni jambo la siri lisilopaswa kujulikana kabla na watu wengine?
Spika na bunge walisema Mpina apeleke ushahidi kwao, sasa wamepelekewa ushahidi, waupitie huo ushahidi lakini wasilazimishe Mpina kutokujieleza kwa umma kwa jambo ambalo umma una maslahi nayo?
Kwanini Spika na bunge liingilie uhuru wa Mpina wa kujieleza nje ya bunge?
Kile kinyago cha mpapure ni janga kuwepo kwenye kile kitiAmechanganyikiwa, mpaka sasa amepoteana kichwani mwake. Uzuri hospitali ya waliopotea vichwani mwao ipo karibu.
Kile ni kinyang'unyaBetina kitumbili.
Hasara ya Ubaguzi, uendele, kutozingatiwa vigezo na Taratibu, kutokuwepo Kwa usawa. Hivyo kunaweza kusababisha mahusiano Mabaya kati ya aliyependelewa dhidi ya aliye na juhudi mwishowe ndio haya tunayosema momonyoko wa maadili.Hasara gani ?! Serikali imetoa pesa kununua au ?! Hebu mtaalamu tuambie hiyo hasara ..
Basi acha akapambane na kanuni za bunge kuhusu ushahidi.Nadhani Mpina kuna kitu kagundua kwamba angeenda kwenye kamati angezimwa mdomo kwa kuambiwa yamkini ushahidi una makosa hivyo siyo wa halali ndio mana ameona aulipue kwanza mbele ya kadamnasi ujulikane. Amecheza kete nzuri hapo
Serikali inapojihusisha katika rushwa, kwani hujui kuwa ni hasara? Kodi inayopoteza hujui kuwa ni hasara?Sawa mimi nimekiri sijui ni hasara gani wewe mtaalamu nifahamishe serikali imepata hasara ipi ?!
Siwezi kuongoza 'kondoo'. Ondoeni hizo fikra potofu kwanza vichwani mwenu.Sawa.
Wewe usiye Kondoo. Na mwenye Ujasiri wa Simba, chonde tuongoze sisi Kondoo ili kuwafurumisha Hawa mumiani waliogeuza Nchi yetu kuwa ni Miliki Yao...
Uko sahihi sanaLuhaga Mpina hakwenda kwenye 'media' kwa bahati mbaya; alijuwa alichokuwa akifanya.
Taarifa imekwisha wafikia wananchi, spika hana tena namna ya kuichakachua hiyo taarifa.