Sakata la Mpina na Waziri Bashe, nilivyoelewa kwa Lugha Rahisi

Sakata la Mpina na Waziri Bashe, nilivyoelewa kwa Lugha Rahisi

Shida iko wapi ikiwa ushahidi huo huo Mpina alioupeleka kwa umma kwa sehemu akaamua kuupeleka kwa Spika?

Kwani ushahidi huwa ni jambo la siri lisilopaswa kujulikana kabla na watu wengine?

Spika na bunge walisema Mpina apeleke ushahidi kwao, sasa wamepelekewa ushahidi, waupitie huo ushahidi lakini wasilazimishe Mpina kutokujieleza kwa umma kwa jambo ambalo umma una maslahi nayo?

Kwanini Spika na bunge liingilie uhuru wa Mpina wa kujieleza nje ya bunge?
Hii ndio Point kubwa kabisa inayotakiwa kujibiwa na walio upande wa Supika 🙄😳
 
Hasara gani ?! Serikali imetoa pesa kununua au ?! Hebu mtaalamu tuambie hiyo hasara ..
Hasara ya Ubaguzi, uendele, kutozingatiwa vigezo na Taratibu, kutokuwepo Kwa usawa. Hivyo kunaweza kusababisha mahusiano Mabaya kati ya aliyependelewa dhidi ya aliye na juhudi mwishowe ndio haya tunayosema momonyoko wa maadili.
 
Nadhani Mpina kuna kitu kagundua kwamba angeenda kwenye kamati angezimwa mdomo kwa kuambiwa yamkini ushahidi una makosa hivyo siyo wa halali ndio mana ameona aulipue kwanza mbele ya kadamnasi ujulikane. Amecheza kete nzuri hapo
Basi acha akapambane na kanuni za bunge kuhusu ushahidi.
 
Sawa mimi nimekiri sijui ni hasara gani wewe mtaalamu nifahamishe serikali imepata hasara ipi ?!
Serikali inapojihusisha katika rushwa, kwani hujui kuwa ni hasara? Kodi inayopoteza hujui kuwa ni hasara?
 
Sawa.

Wewe usiye Kondoo. Na mwenye Ujasiri wa Simba, chonde tuongoze sisi Kondoo ili kuwafurumisha Hawa mumiani waliogeuza Nchi yetu kuwa ni Miliki Yao...
Siwezi kuongoza 'kondoo'. Ondoeni hizo fikra potofu kwanza vichwani mwenu.
 
Luhaga Mpina ana hoja. Ni kweli kuwa upungufu wa sukari ulikuwepo lakini ni kweli pia kuwa kulikuwa na utapeli mkubwa kwenye kuruhusu uagizaji wa dharura. Sasa yeye Mpina anachohoji ni huo utapeli.
 
Back
Top Bottom