Sakata la Mpina na Waziri Bashe, nilivyoelewa kwa Lugha Rahisi

Sakata la Mpina na Waziri Bashe, nilivyoelewa kwa Lugha Rahisi

Pia akashusha lawama kwamba kulingana na kanuni zilivyo, vibali ilitakiwa vitolewe kwa viwanda vinavyozalisha sukari ndio viweze kuagiza nje kama kuna upungufu lakini hivo viwanda ambavyo ni Mtibwa sugar, Kagera Sugar, Bagamoyo etc vimeshindwa kuimport hata kilo moja ya sukari kwa mda wa miezi 3 na kusababisha tatizo la upungufu wa sukari kuwa kubwa kama ilivyo sasa
Hujaelewa hapa angalia utaona vibali vilicheleweshwa maksudi kwa viwanda vinavyozalisha sukari,pia utaona Moja ya kampuni ilisajiliwa ndani ya mwezi mmoja huko mzenjibar na ikahamia apo Daslam na kupewa tenda
 
Inawezekana kulikuwa na nia njema Kwa kuwawezesha wananchi wapate sukari Kwa bei ya chini pia na kupata maokoto pia Kwa waziri tatizo liko wapi? Waziri kanufaika na sisi tumenufaika au wenzangu hamtaki sukari ya bei chini? Tukijifanya kutaka kulinda viwanda basi tutapigwa na hao wamiliki wa viwanda Kwa bei kubwa sana binafsi namuunga mkono bashe
 
Katusanua mkuu au wewe umelionaje hili swala Ni dogo kwamba tulipuuzie au wewe una maoni gani apo?

Binafsi na simama na mpina katusanua na kawaumbua vibaya Sanaa ccm.
Kwa upande wako ni sawa lakini kikanuni mpina amekosea Hivyo tupime kote je alipaswa kufanya Press Kweli?
 
Hili sakata wakati nasoma uzi humu kwa mara ya kwanza nilikuwa sijalielewa lilivyo. Nikasema acha nizame U-tube kujua likovipi ndio nikapata kuelewa mwanzo, kati na mwisho ulivyo hebu twende pamoja kwa ambaye hajaelewa kama mimi kwa Lugha nyepesi

Iko hivi waziri wa kilimo wakati anawasilisha bajeti yake ya wizara, kwenye sakata la sukari alisema ametoa vibali kwa makampuni ya wafanyabiashara kuagiza sukari kiasi cha Tani 410 elfu kufidia upungufu uliopo wa sukari

Pia akashusha lawama kwamba kulingana na kanuni zilivyo, vibali ilitakiwa vitolewe kwa viwanda vinavyozalisha sukari ndio viweze kuagiza nje kama kuna upungufu lakini hivo viwanda ambavyo ni Mtibwa sugar, Kagera Sugar, Bagamoyo etc vimeshindwa kuimport hata kilo moja ya sukari kwa mda wa miezi 3 na kusababisha tatizo la upungufu wa sukari kuwa kubwa kama ilivyo sasa

Sasa Mpina yeye akampinga waziri kwamba taarifa yake ni ya uongo, Ikabidi spika wa bunge amwambie awasilishe taarifa kuhusu uongo wa waziri. Mpina akawasilisha taarifa iliyoeleza mambo mengi kusuhu uongo wa waziri Bashe ambayo siwezi kueleza yote humu ila mwishoni ntaweka video ili kwa ambaye hakupata nafasi ya kusikia awasilize wote kwa makini na kuelewa vizuri

Sasa kilichotikisa zaidi katika taarifa ya Mpina ni Jinsi Waziri Bashe alipotoa vibali kwa Makampuni yenye kujihusisha na Mambo tofauti kabisa na kilimo wala sukari kupewa vibali vya kuingiza sukari tena zingine zikiwa na Mitaji midogo ya hadi Tshs mil 1. Mfano kuna Kampuni inajihusisha na Stationary ina hisa 1000 zenye thamani ya mil 1 lkn imepewa kibali cha kuingiza Tani 2 elfu zenye thamani ya Tshs Bil 6.6😂

Kampuni nyingine Itel (kampuni ya simu na vifaa vya kielektronic) imepewa kibali cha kuingiza Tani 60 elfu yenye thamani ya Tshs Bil 160 wakati mtaji wa kampuni ya itel ni Tshs mil 50

Kwahiyo kwa kifupi inaonekana kuna makampuni yalikua hayana sifa ya kupewa vibali vya kuingiza sukari lakini kwa matakwa flani flani na kwa masilahi ya wachache yakaweza kupatiwa hizo dili.

MY TAKE: Spika Aunde tume ifanye uchunguzi wa sakata hili maana kuna harufu ya rushwa, uhujumu uchumi, ufisadi na makosa mengine kibao Kama kuna ukweli juu ya hili basi wote waliohusika wafukishwe kwenye vyombo vya sheria hii si sawa nchi inapigwa kizembe namna hii Watanzania tusikubali aisee tupaze sauti kukemea hili

Sakata lilianza hapa


Hapa ndio mpina akaitisha press na kufichuo uozo wa waziri

Pia soma:Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Hayo makampuni ya Bashe Yana mtaji wa Tsh 1 Million lakini yameleta sukari na bei imeteremka. Sasa mnataka nini zaidi?
 
Kipindi cha bunhe huwa naona kama ni kipindi fulani cha Cheka Tu...
 
Hili sakata wakati nasoma uzi humu kwa mara ya kwanza nilikuwa sijalielewa lilivyo. Nikasema acha nizame U-tube kujua likovipi ndio nikapata kuelewa mwanzo, kati na mwisho ulivyo hebu twende pamoja kwa ambaye hajaelewa kama mimi kwa Lugha nyepesi

Iko hivi waziri wa kilimo wakati anawasilisha bajeti yake ya wizara, kwenye sakata la sukari alisema ametoa vibali kwa makampuni ya wafanyabiashara kuagiza sukari kiasi cha Tani 410 elfu kufidia upungufu uliopo wa sukari

Pia akashusha lawama kwamba kulingana na kanuni zilivyo, vibali ilitakiwa vitolewe kwa viwanda vinavyozalisha sukari ndio viweze kuagiza nje kama kuna upungufu lakini hivo viwanda ambavyo ni Mtibwa sugar, Kagera Sugar, Bagamoyo etc vimeshindwa kuimport hata kilo moja ya sukari kwa mda wa miezi 3 na kusababisha tatizo la upungufu wa sukari kuwa kubwa kama ilivyo sasa

Sasa Mpina yeye akampinga waziri kwamba taarifa yake ni ya uongo, Ikabidi spika wa bunge amwambie awasilishe taarifa kuhusu uongo wa waziri. Mpina akawasilisha taarifa iliyoeleza mambo mengi kusuhu uongo wa waziri Bashe ambayo siwezi kueleza yote humu ila mwishoni ntaweka video ili kwa ambaye hakupata nafasi ya kusikia awasilize wote kwa makini na kuelewa vizuri

Sasa kilichotikisa zaidi katika taarifa ya Mpina ni Jinsi Waziri Bashe alipotoa vibali kwa Makampuni yenye kujihusisha na Mambo tofauti kabisa na kilimo wala sukari kupewa vibali vya kuingiza sukari tena zingine zikiwa na Mitaji midogo ya hadi Tshs mil 1. Mfano kuna Kampuni inajihusisha na Stationary ina hisa 1000 zenye thamani ya mil 1 lkn imepewa kibali cha kuingiza Tani 2 elfu zenye thamani ya Tshs Bil 6.6😂

Kampuni nyingine Itel (kampuni ya simu na vifaa vya kielektronic) imepewa kibali cha kuingiza Tani 60 elfu yenye thamani ya Tshs Bil 160 wakati mtaji wa kampuni ya itel ni Tshs mil 50

Kwahiyo kwa kifupi inaonekana kuna makampuni yalikua hayana sifa ya kupewa vibali vya kuingiza sukari lakini kwa matakwa flani flani na kwa masilahi ya wachache yakaweza kupatiwa hizo dili.

MY TAKE: Spika Aunde tume ifanye uchunguzi wa sakata hili maana kuna harufu ya rushwa, uhujumu uchumi, ufisadi na makosa mengine kibao Kama kuna ukweli juu ya hili basi wote waliohusika wafukishwe kwenye vyombo vya sheria hii si sawa nchi inapigwa kizembe namna hii Watanzania tusikubali aisee tupaze sauti kukemea hili

Sakata lilianza hapa


Hapa ndio mpina akaitisha press na kufichuo uozo wa waziri

Pia soma:Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Nchi ianatumia Spika ya zamani kupiga Amapiano.
 
Mpina kaamua kujilipua basi asiishie kwenye sukari, atuletee pia nondo za ufisadi kwenye maliasili, nishati, utalii, madini na usafirishaji, huko sidhani kuna tofauti na dili la sukari, kushambulia sehemu moja kwenye system nzima isiyo na afya si vizuri sana, sasa awaumbue wote itapendeza
 
Hayo makampuni ya Bashe Yana mtaji wa Tsh 1 Million lakini yameleta sukari na bei imeteremka. Sasa mnataka nini zaidi?
Ww ndio hata mke wako akipigwa miti chumbani kwako powa kisa amekuachia yule bwana 1 Mil fresh tu ww kweli huwezi na huna uliwazalo kwa faida kma inchi huoni taifa limeingia hasara kubwa Watanzania mnashida gani nyie mbona uzalendo hakuna ww ni mrafi unawaza kula tu kujaz tumbo lako ila maslahi ya Taifa kwa ujumla huwazi
 
Ww ndio hata mke wako akipigwa miti chumbani kwako powa kisa amekuachia yule bwana 1 Mil fresh tu ww kweli huwezi na huna uliwazalo kwa faida kma inchi huoni taifa limeingia hasara kubwa Watanzania mnashida gani nyie mbona uzalendo hakuna ww ni mrafi unawaza kula tu kujaz tumbo lako ila maslahi ya Taifa kwa ujumla huwazi
Nyie ndiyo mnadhalilisha Watanzania, akili zinafikiria ngono tu. Nyambaff
 
Swali: je kampuni yenye mtaji wa 1milioni haiwezi kukopa 6.6bilioni kwa kutumia dhamana ya kibali?
Ukiweza kujibu hili swali kiuhasibu na kisheria (company law). Utakuwa umeelewa uhalisia wa hii issue.
 
Ukimsikiliza vizuri Spika point yake ni kwanini aende kwenye media wakati spika ndio ameitisha huo ushahidi, sasa kanuni za bunge zinamfunga mpina hata kama anaweza kuwa na Ushahidi sahihi dhidi Ya Bashe
Kuna siri gani anayoificha spika dhidi ya Ushahidi wa Luhaga Mpina?
Issue inahusu umma,bunge ni wananchi.

Usichojua ni kwamba spika hutumika na serikali kuchakachua ushahidi unaoletwa na wabunge,sasa safari hii kimeanikwa anachofanyaga siri,tuone ujinga wao dhidi ya kutetea wahalifu
 
Ww ndio hata mke wako akipigwa miti chumbani kwako powa kisa amekuachia yule bwana 1 Mil fresh tu ww kweli huwezi na huna uliwazalo kwa faida kma inchi huoni taifa limeingia hasara kubwa Watanzania mnashida gani nyie mbona uzalendo hakuna ww ni mrafi unawaza kula tu kujaz tumbo lako ila maslahi ya Taifa kwa ujumla huwazi
Hasara gani ?! Serikali imetoa pesa kununua au ?! Hebu mtaalamu tuambie hiyo hasara ..
 
MY TAKE: Spika Aunde tume ifanye uchunguzi wa sakata hili maana kuna harufu ya rushwa, uhujumu uchumi, ufisadi na makosa mengine kibao Kama kuna ukweli juu ya hili basi wote waliohusika wafukishwe kwenye vyombo vya sheria hii si sawa nchi inapigwa kizembe namna hii Watanzania tusikubali aisee tupaze sauti kukemea hili
Itabidi nikariri jina: 'hardbody'; 'hardbody', 'hardbody'.

Unaongeza thamani sana kwenye hili Jukwaa, wakati ambapo tumeanza kuzoea michango ya ajabu ajabu.

bado sijaridhika. Itanilazimu nitafute michango yako mingine nipate uhondo.

Ni hivi: hata kama hiyo 'MY TAKE' ingekuwa inalalia upande wa Bashe na serikali; upande ambao sikubaliani nao; uwasilishaji ulioufanya ningeendelea kuuheshimu.
ASANTE SANA.
 
Back
Top Bottom