ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
MKwanza sheria inasemaje kuhusu nani anatakiwa kuagiza sukari ikitokea hali kama hiyo? Pili kwanini Msukuma Aje kwenye media kutoa ushahidi wakati Spika alimwambie apeleke Kwakwe, kanuni za zinasemaje kuhusu alivyofanya Mpina? Hili swala ukiingia harakaharaka utalaumu au kumuona Spika mbaya ama Mpina yupo sawa lakini ukweli ni Kubwa Na Mpina amekosea kwenye kwa
Mpina ni mtoto wa mjini ni mzalendo alijua kabisa ushahidi huu angeupeleka kwa spika ungeishia kuwekwa kwenye makabati tu sasa yy kalisanua wenye akili tu ndo watamuelewa mpina.Shida iko wapi ikiwa ushahidi huo huo Mpina alioupeleka kwa umma kwa sehemu akaamua kuupeleka kwa Spika?
Kwani ushahidi huwa ni jambo la siri lisilopaswa kujulikana kabla na watu wengine?
Spika na bunge walisema Mpina apeleke ushahidi kwao, sasa wamepelekewa ushahidi, waupitie huo ushahidi lakini wasilazimishe Mpina kutokujieleza kwa umma kwa jambo ambalo umma una maslahi nayo?
Kwanini Spika na bunge liingilie uhuru wa Mpina wa kujieleza nje ya bunge?