Sakata la Mtakaba wa DP World ni mtihani mkubwa

Sakata la Mtakaba wa DP World ni mtihani mkubwa

Kwa kweli ni mtihani mkubwa sana..., hawa wahuni walisaini mkataba bila kuusoma..., waliposikia tu Asalaaam Aleykum, wakamwaga wino kama vichaa....

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Watu wengi wanaingiza ushabiki Kwenye mkataba huu,,, Wacha Mwarabu apewe Bandari, TICTs kapewa watu hajalalamika,,, watu wanatafuta kiki na political plat form. Na wengine ni wapigaji tu. DP world apewe tu. Walozoea kula nyuma ya pazia watafute mahala kwegine
Ukitaka kujua akili za wachangiaji basi angali michango kati ya wanaopinga na wanaounga mkono mkataba, ni dhairi kabisa utagundua kuna kundi moja hapa limepewa pesa na kuna watu wengine wasiyokuwa na akili za kwenda shule wao kazi yao ni kuwafuatata viongozi wao walichosema, na kuna kundi linalosimama kwa kigezo cha dini ya Uisilamu, yaani mtu akimuona muharabu anajua tayali ni Uisilamu wenyewe

Kwa waisilamu wanaojitambua Uisilamu umefafanua vizuri kabisa, mbora kwa Mwenyezi Mungu ni yule anayezifuata amri za Mungu na akazishika na sunna za Mtume Muhammad (S.A.W) na wala haungalii kipato cha mtu, Kwangu mimi hawa DP world wawekezaji kama kweli wangekuwa waungwana basi wangekuja na masharti mazuri ya uwekezaji kama Uisilamu wenyewe unavyofafanua
 
its not being 'crazy' but a simple debatable question? can you please elaborate the difference seen between the two contracts?
Wa TICTS ulikuwa na kikomo na haukuuza nchi nzima.....

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Watu wengi wanaingiza ushabiki Kwenye mkataba huu,,, Wacha Mwarabu apewe Bandari, TICTs kapewa watu hajalalamika,,, watu wanatafuta kiki na political plat form. Na wengine ni wapigaji tu. DP world apewe tu. Walozoea kula nyuma ya pazia watafute mahala kwegine
Hakuna anaekula nyuma ya pazia zaidi Fisi meuh na mitoto yake Fisi beuh

hoja yako ni toothless
 
Makuhadi wa uchumi wetu wanaendelea kuuza raslimali zetu kila uchao!
madini walishauza
vitalu vya gas
sasa bandari!
 
Naam wanajamvi,

Ukisikia mtihani mkubwa ni kama hili Sakata la Mkataba wa DP World na serikali ya Tanzania juu ya uendeshaji wa bandari za Tanganyika. Ukisoma ule mkataba kwa ujumla mpaka hapa Tanganyika hatuna jinsi, kwa maana tukiendelea nao tutakuwa tumejipeleka utumwani kwa namna vipengele vya mkataba vilivyo tumekwisa.

Tukiachana nao tumekwisha pia. Kifupi mpaka hapa tulipo fika ni kwamba DP WORLD wametuweka kwenye 18 zao kila upande. Hata tukiachana nao leo, bado tutatakiwa kuwalipa fedha nyingi, nyingi , nyingi kwasababu watatushinda mahakamani mapema asubuhi.

Tumefikaje hapa? Kwa maoni yangu , kwanza ni tamaa za viongozi wetu, pili ni udhaifu wa Mwanasheria mkuu wa serikali, tatu ni udhaifu wa watu wanao msaidia Rais kuto kujiamini katika majukumu wanayo pewa na Rais. Nitafafanua kila udhaifu .

Ukiungalia huu Mkataba uko vile kwanza kwasababu inaonekana sisi ndio tulionesha kuwahitaji Waarabu kwasababu moja au nyingine na Sababu kubwa ni fedha. Kwanini? Katikati ya Sakata lenyewe unamkuta Rais Samia Suluhu Hassan pengine na Chama chake kwa mbali. Kwanini? Wanajiandaa kwaajili ya uchaguzi wa 2025 na hivyo wakaona namna nzuri yakuwawezesha kupata fedha ni kuingia huu mkataba kwa kisingizio cha kuboresha utendaji katika bandari zetu.

Nasema ni kisingizio kwasababu kama nia ingekuwa ni hiyo tu basi wangefuata namna bora ya kumpata mwekezaji bora kwa mchakato wa wazi kabisa. Ila kwasababu walikuwa na agenda binafsi ndio maana wakafanya haya makubaliano kwa kificho.

HUU MKATABA ULIKUWA NI SIRI KUBWA, UMEVUJISHWA NA WATU WEMA WASIO PENDEZWA NA VIPENGELE VINAVYO IPELEKA NCHI YETU UTUMWANI.

Hapa unaiona tamaa ya Rais wetu kutaka kushinda uchaguzi yeye na chama chake hata kwa njia haramu. Kimsingi amevunja KATIBA ya Nchi.

Udhaifu wa Mwanasheria Mkuu wa serikali. Huyu anatakiwa kuijua KATIBA ya Nchi yetu kinaga ubaga. Imekuwaje amekubali kuuza SOREINTY ya Nchi yetu kirahisi hivyo? Hajiamini, hakuwa tayari kumuudhi Rais, au na yeye fedha zilimfanya aseme Nchi nini bwana, nita a batana na fedha !!!

Waziri na watendaji wengine wa serikali tunaweza kuwalaumu lakini kwa mtazamo wangu hawakuwa na namna. Ukikataa huna kazi na ukikubali unakutana na fedheha kama hizi za kuingiza Nchi utumwani.

Nini kifanyike??

Kwa maoni yangu ni bora kuachana na huu Mkataba kabla hata hatujaanza kuutekeleza , halafu tusubiri kushitakiwa na kupigwa faini ya mabilioni ya dola kwasababu ya ukubwa wa mradi wenyewe.

MADHARA YA KUENDELEA NA MKATABA NI NINI?

Hofu kubwa ni kwanza ni kuligawa Taifa. Kuna watu wajinga wanachanganya Uarabu na uislamu ! Pili ni kuliingiza Taifa kwenye umasikini na utumwa mambo leo.

Kwanini ni The great ordeal?

Ukisikia kizungumkuti ndio hiki. Kifupi ni kwamba tumefika hapa kwasababu ya udhaifu wa USALAMA WA TAIFA. wajitathimini.

Lakini Rais Samia ni wakati sasa ajipime kama anatosha kuilinda, kuitetea na kuihifadhi KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Kwa maoni yangu amepwaya.
Mleteni hapa Yuda atueleze kwanini alifanya hivyo, ona sasa wanakalibia kuparurana makucha usoni.
 
Umeandika vizuri na Kwa lugha laini sana, TISS hawana shida ila chombo hakuna nguvu ndiomana wamemtoa kwanza Diwani Athumani ili waje na hayo mavi yao ya bandari, TISS Ina watu makini ni huyu msaliti mwenye nguvu ya kifalme ndio kafanya yote.

Hili sakata binafsi nashawishika ndio sababu ya kifo cha B.C. Membea siamini na sitaamini hakufa natural death , hili sakata limemuondoa ila Mungu atamlipa huyu mfalme wa kijuha.

Ni kichaa tu ndio anaweza kukubaliana hayo mavi ya bandari
Membea na OAC umesahau?
 
'USALAMA WA TAIFA' - can you please explain in what context will our country be compromised?

why didn't anyone complain about TICT's which has been running the port for the past 20 years?
How can it be TICT ' s business ?!
 
Naam wanajamvi,

Ukisikia mtihani mkubwa ni kama hili Sakata la Mkataba wa DP World na serikali ya Tanzania juu ya uendeshaji wa bandari za Tanganyika. Ukisoma ule mkataba kwa ujumla mpaka hapa Tanganyika hatuna jinsi, kwa maana tukiendelea nao tutakuwa tumejipeleka utumwani kwa namna vipengele vya mkataba vilivyo tumekwisa.

Tukiachana nao tumekwisha pia. Kifupi mpaka hapa tulipo fika ni kwamba DP WORLD wametuweka kwenye 18 zao kila upande. Hata tukiachana nao leo, bado tutatakiwa kuwalipa fedha nyingi, nyingi , nyingi kwasababu watatushinda mahakamani mapema asubuhi.

Tumefikaje hapa? Kwa maoni yangu , kwanza ni tamaa za viongozi wetu, pili ni udhaifu wa Mwanasheria mkuu wa serikali, tatu ni udhaifu wa watu wanao msaidia Rais kuto kujiamini katika majukumu wanayo pewa na Rais. Nitafafanua kila udhaifu .

Ukiungalia huu Mkataba uko vile kwanza kwasababu inaonekana sisi ndio tulionesha kuwahitaji Waarabu kwasababu moja au nyingine na Sababu kubwa ni fedha. Kwanini? Katikati ya Sakata lenyewe unamkuta Rais Samia Suluhu Hassan pengine na Chama chake kwa mbali. Kwanini? Wanajiandaa kwaajili ya uchaguzi wa 2025 na hivyo wakaona namna nzuri yakuwawezesha kupata fedha ni kuingia huu mkataba kwa kisingizio cha kuboresha utendaji katika bandari zetu.

Nasema ni kisingizio kwasababu kama nia ingekuwa ni hiyo tu basi wangefuata namna bora ya kumpata mwekezaji bora kwa mchakato wa wazi kabisa. Ila kwasababu walikuwa na agenda binafsi ndio maana wakafanya haya makubaliano kwa kificho.

HUU MKATABA ULIKUWA NI SIRI KUBWA, UMEVUJISHWA NA WATU WEMA WASIO PENDEZWA NA VIPENGELE VINAVYO IPELEKA NCHI YETU UTUMWANI.

Hapa unaiona tamaa ya Rais wetu kutaka kushinda uchaguzi yeye na chama chake hata kwa njia haramu. Kimsingi amevunja KATIBA ya Nchi.

Udhaifu wa Mwanasheria Mkuu wa serikali. Huyu anatakiwa kuijua KATIBA ya Nchi yetu kinaga ubaga. Imekuwaje amekubali kuuza SOREINTY ya Nchi yetu kirahisi hivyo? Hajiamini, hakuwa tayari kumuudhi Rais, au na yeye fedha zilimfanya aseme Nchi nini bwana, nita a batana na fedha !!!

Waziri na watendaji wengine wa serikali tunaweza kuwalaumu lakini kwa mtazamo wangu hawakuwa na namna. Ukikataa huna kazi na ukikubali unakutana na fedheha kama hizi za kuingiza Nchi utumwani.

Nini kifanyike??

Kwa maoni yangu ni bora kuachana na huu Mkataba kabla hata hatujaanza kuutekeleza , halafu tusubiri kushitakiwa na kupigwa faini ya mabilioni ya dola kwasababu ya ukubwa wa mradi wenyewe.

MADHARA YA KUENDELEA NA MKATABA NI NINI?

Hofu kubwa ni kwanza ni kuligawa Taifa. Kuna watu wajinga wanachanganya Uarabu na uislamu ! Pili ni kuliingiza Taifa kwenye umasikini na utumwa mambo leo.

Kwanini ni The great ordeal?

Ukisikia kizungumkuti ndio hiki. Kifupi ni kwamba tumefika hapa kwasababu ya udhaifu wa USALAMA WA TAIFA. wajitathimini.

Lakini Rais Samia ni wakati sasa ajipime kama anatosha kuilinda, kuitetea na kuihifadhi KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Kwa maoni yangu amepwaya.
hili ni pisi la kimba litakalowasumbua sisiemu kwenye uchaguzi wa 2025 na hawana hata la kujibu. aliye karibu nao awashauri waliondoe mapema, litawanukia hadi wakome.
 
Watu wengi wanaingiza ushabiki Kwenye mkataba huu,,, Wacha Mwarabu apewe Bandari, TICTs kapewa watu hajalalamika,,, watu wanatafuta kiki na political plat form. Na wengine ni wapigaji tu. DP world apewe tu. Walozoea kula nyuma ya pazia watafute mahala kwegine
Mkataba wa TICTS unafanana na wa DPW? weka hapa mkataba TICTS tuone.Na ulishasikia ticts anataka kwenda mahakamani kwa kustishwa mkataba? Jua kwamba kwa dpw hilo jambo la kusitisha mkataba halitokuwepo ukijaribu tu jua nchi umeliwa.
 
Naam wanajamvi,

Ukisikia mtihani mkubwa ni kama hili Sakata la Mkataba wa DP World na serikali ya Tanzania juu ya uendeshaji wa bandari za Tanganyika. Ukisoma ule mkataba kwa ujumla mpaka hapa Tanganyika hatuna jinsi, kwa maana tukiendelea nao tutakuwa tumejipeleka utumwani kwa namna vipengele vya mkataba vilivyo tumekwisa.

Tukiachana nao tumekwisha pia. Kifupi mpaka hapa tulipo fika ni kwamba DP WORLD wametuweka kwenye 18 zao kila upande. Hata tukiachana nao leo, bado tutatakiwa kuwalipa fedha nyingi, nyingi , nyingi kwasababu watatushinda mahakamani mapema asubuhi.

Tumefikaje hapa? Kwa maoni yangu , kwanza ni tamaa za viongozi wetu, pili ni udhaifu wa Mwanasheria mkuu wa serikali, tatu ni udhaifu wa watu wanao msaidia Rais kuto kujiamini katika majukumu wanayo pewa na Rais. Nitafafanua kila udhaifu .

Ukiungalia huu Mkataba uko vile kwanza kwasababu inaonekana sisi ndio tulionesha kuwahitaji Waarabu kwasababu moja au nyingine na Sababu kubwa ni fedha. Kwanini? Katikati ya Sakata lenyewe unamkuta Rais Samia Suluhu Hassan pengine na Chama chake kwa mbali. Kwanini? Wanajiandaa kwaajili ya uchaguzi wa 2025 na hivyo wakaona namna nzuri yakuwawezesha kupata fedha ni kuingia huu mkataba kwa kisingizio cha kuboresha utendaji katika bandari zetu.

Nasema ni kisingizio kwasababu kama nia ingekuwa ni hiyo tu basi wangefuata namna bora ya kumpata mwekezaji bora kwa mchakato wa wazi kabisa. Ila kwasababu walikuwa na agenda binafsi ndio maana wakafanya haya makubaliano kwa kificho.

HUU MKATABA ULIKUWA NI SIRI KUBWA, UMEVUJISHWA NA WATU WEMA WASIO PENDEZWA NA VIPENGELE VINAVYO IPELEKA NCHI YETU UTUMWANI.

Hapa unaiona tamaa ya Rais wetu kutaka kushinda uchaguzi yeye na chama chake hata kwa njia haramu. Kimsingi amevunja KATIBA ya Nchi.

Udhaifu wa Mwanasheria Mkuu wa serikali. Huyu anatakiwa kuijua KATIBA ya Nchi yetu kinaga ubaga. Imekuwaje amekubali kuuza SOREINTY ya Nchi yetu kirahisi hivyo? Hajiamini, hakuwa tayari kumuudhi Rais, au na yeye fedha zilimfanya aseme Nchi nini bwana, nita a batana na fedha !!!

Waziri na watendaji wengine wa serikali tunaweza kuwalaumu lakini kwa mtazamo wangu hawakuwa na namna. Ukikataa huna kazi na ukikubali unakutana na fedheha kama hizi za kuingiza Nchi utumwani.

Nini kifanyike??

Kwa maoni yangu ni bora kuachana na huu Mkataba kabla hata hatujaanza kuutekeleza , halafu tusubiri kushitakiwa na kupigwa faini ya mabilioni ya dola kwasababu ya ukubwa wa mradi wenyewe.

MADHARA YA KUENDELEA NA MKATABA NI NINI?

Hofu kubwa ni kwanza ni kuligawa Taifa. Kuna watu wajinga wanachanganya Uarabu na uislamu ! Pili ni kuliingiza Taifa kwenye umasikini na utumwa mambo leo.

Kwanini ni The great ordeal?

Ukisikia kizungumkuti ndio hiki. Kifupi ni kwamba tumefika hapa kwasababu ya udhaifu wa USALAMA WA TAIFA. wajitathimini.

Lakini Rais Samia ni wakati sasa ajipime kama anatosha kuilinda, kuitetea na kuihifadhi KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Kwa maoni yangu amepwaya.

Usijitoe akili
Huo mkataba wa uendeshaji bandari uko wapi?
 
Mkataba wa TICTS unafanana na wa DPW? weka hapa mkataba TICTS tuone.Na ulishasikia ticts anataka kwenda mahakamani kwa kustishwa mkataba? Jua kwamba kwa dpw hilo jambo la kusitisha mkataba halitokuwepo ukijaribu tu jua nchi umeliwa.
Huo mkataba wa uendeshaji bandari uko wapi?
 
hili ni pisi la kimba litakalowasumbua sisiemu kwenye uchaguzi wa 2025 na hawana hata la kujibu. aliye karibu nao awashauri waliondoe mapema, litawanukia hadi wakome.
Huo mkataba wa uendeshaji bandari uko wapi?
 
Back
Top Bottom