Sakata la Mtakaba wa DP World ni mtihani mkubwa

Sakata la Mtakaba wa DP World ni mtihani mkubwa

Naam wanajamvi,

Ukisikia mtihani mkubwa ni kama hili Sakata la Mkataba wa DP World na serikali ya Tanzania juu ya uendeshaji wa bandari za Tanganyika. Ukisoma ule mkataba kwa ujumla mpaka hapa Tanganyika hatuna jinsi, kwa maana tukiendelea nao tutakuwa tumejipeleka utumwani kwa namna vipengele vya mkataba vilivyo tumekwisa.

Tukiachana nao tumekwisha pia. Kifupi mpaka hapa tulipo fika ni kwamba DP WORLD wametuweka kwenye 18 zao kila upande. Hata tukiachana nao leo, bado tutatakiwa kuwalipa fedha nyingi, nyingi , nyingi kwasababu watatushinda mahakamani mapema asubuhi.

Tumefikaje hapa? Kwa maoni yangu , kwanza ni tamaa za viongozi wetu, pili ni udhaifu wa Mwanasheria mkuu wa serikali, tatu ni udhaifu wa watu wanao msaidia Rais kuto kujiamini katika majukumu wanayo pewa na Rais. Nitafafanua kila udhaifu .

Ukiungalia huu Mkataba uko vile kwanza kwasababu inaonekana sisi ndio tulionesha kuwahitaji Waarabu kwasababu moja au nyingine na Sababu kubwa ni fedha. Kwanini? Katikati ya Sakata lenyewe unamkuta Rais Samia Suluhu Hassan pengine na Chama chake kwa mbali. Kwanini? Wanajiandaa kwaajili ya uchaguzi wa 2025 na hivyo wakaona namna nzuri yakuwawezesha kupata fedha ni kuingia huu mkataba kwa kisingizio cha kuboresha utendaji katika bandari zetu.

Nasema ni kisingizio kwasababu kama nia ingekuwa ni hiyo tu basi wangefuata namna bora ya kumpata mwekezaji bora kwa mchakato wa wazi kabisa. Ila kwasababu walikuwa na agenda binafsi ndio maana wakafanya haya makubaliano kwa kificho.

HUU MKATABA ULIKUWA NI SIRI KUBWA, UMEVUJISHWA NA WATU WEMA WASIO PENDEZWA NA VIPENGELE VINAVYO IPELEKA NCHI YETU UTUMWANI.

Hapa unaiona tamaa ya Rais wetu kutaka kushinda uchaguzi yeye na chama chake hata kwa njia haramu. Kimsingi amevunja KATIBA ya Nchi.

Udhaifu wa Mwanasheria Mkuu wa serikali. Huyu anatakiwa kuijua KATIBA ya Nchi yetu kinaga ubaga. Imekuwaje amekubali kuuza SOREINTY ya Nchi yetu kirahisi hivyo? Hajiamini, hakuwa tayari kumuudhi Rais, au na yeye fedha zilimfanya aseme Nchi nini bwana, nita a batana na fedha !!!

Waziri na watendaji wengine wa serikali tunaweza kuwalaumu lakini kwa mtazamo wangu hawakuwa na namna. Ukikataa huna kazi na ukikubali unakutana na fedheha kama hizi za kuingiza Nchi utumwani.

Nini kifanyike??

Kwa maoni yangu ni bora kuachana na huu Mkataba kabla hata hatujaanza kuutekeleza , halafu tusubiri kushitakiwa na kupigwa faini ya mabilioni ya dola kwasababu ya ukubwa wa mradi wenyewe.

MADHARA YA KUENDELEA NA MKATABA NI NINI?

Hofu kubwa ni kwanza ni kuligawa Taifa. Kuna watu wajinga wanachanganya Uarabu na uislamu ! Pili ni kuliingiza Taifa kwenye umasikini na utumwa mambo leo.

Kwanini ni The great ordeal?

Ukisikia kizungumkuti ndio hiki. Kifupi ni kwamba tumefika hapa kwasababu ya udhaifu wa USALAMA WA TAIFA. wajitathimini.

Lakini Rais Samia ni wakati sasa ajipime kama anatosha kuilinda, kuitetea na kuihifadhi KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Kwa maoni yangu amepwaya.
Wewe piga kelele, ruka ruka, jigalagaze au toa mipovu lakini mwisho wake ni lazima DPW waje.
Hatuwezi kuendekeza watu ambao kazi ambayo wanaweza kuifanya kwa ufanisi ni ufisadi, kufuja mali za umma na uzembe
 
Wewe piga kelele, ruka ruka, jigalagaze au toa mipovu lakini mwisho wake ni lazima DPW waje.
Hatuwezi kuendekeza watu ambao kazi ambayo wanaweza kuifanya kwa ufanisi ni ufisadi, kufuja mali za umma na uzembe
Wataanzaje kwanza? They will never. Umemsikiliza Kikwete? Na yule ndio mshauri wa Rais Samia. Anasema ni vizuri serikali ikawasikiliza watanzania kwasababu wanazo hoja tena za msingi kabisa.

Wewe na wenzako wenye akili za kushikiwa you either ignorant or religiously brain washed.
 
Wewe kama huja uona mkataba basi wewe ni mzembe and I think you do not deserve to be JF member.
Mkataba upi unaouzungumzia. Mimi sijaona mkataba wa "uendeshaji bandari", mkataba niliouona ni IGA baina ya serikali ya Tanzania na serikali ya falme ya Dubai.
 
Makuhadi wa uchumi wetu wanaendelea kuuza raslimali zetu kila uchao!
madini walishauza
vitalu vya gas
sasa bandari!
Kama nyie wananchi hamtaki kujiletea maendeleo wenyewe, mnaisubiri serikali iwaletee kila kitu. Mkipewa kazi mnaendekeza ufisadi na uzembe.
Bora serikali iwauzie nchi DUbail world
 
Wataanzaje kwanza? They will never. Umemsikiliza Kikwete? Na yule ndio mshauri wa Rais Samia. Anasema ni vizuri serikali ikawasikiliza watanzania kwasababu wanazo hoja tena za msingi kabisa.

Wewe na wenzako wenye akili za kushikiwa you either ignorant or religiously brain washed.
Hoja yako wewe ni ipi? Maana umeongelea "mkataba wa kuendesha bandari" ambao haupo. Au wewe unao?

Au unajaza watu ujinga?
 
Wataanzaje kwanza? They will never. Umemsikiliza Kikwete? Na yule ndio mshauri wa Rais Samia. Anasema ni vizuri serikali ikawasikiliza watanzania kwasababu wanazo hoja tena za msingi kabisa.

Wewe na wenzako wenye akili za kushikiwa you either ignorant or religiously brain washed.
Dhaifi hana mamlaka ya maadili ya kutoa ushauri wowote nchi hii. Alipogawa gesi na madini yetu kwa wazungu mbona hakuwasikiliza wananchi. Rejea swala la buzwagi, bomba la gesi, bandari ya bagamoyo.
 
Dhaifi hana mamlaka ya maadili ya kutoa ushauri wowote nchi hii. Alipogawa gesi na madini yetu kwa wazungu mbona hakuwasikiliza wananchi. Rejea swala la buzwagi, bomba la gesi, bandari ya bagamoyo.
Kwahiyo unatushauri tumwamini Mzanzibar auze bandari za Tanganyika?
 
Hoja yako wewe ni ipi? Maana umeongelea "mkataba wa kuendesha bandari" ambao haupo. Au wewe unao?

Au unajaza watu ujinga?
Nenda kasome document aliyo saint Rais samia akitoa mamlaka kwa waziri Wa ujenzi, kwa maneno yake mwenyewe anasema anampa mamlaka Waziri asaini mkataba Wa uendeshaji na uendelezaji wa bandari za Tanzania, au Kiingereza hujui? It is written in English though the document itself technically invalid.
 
Watu wengi wanaingiza ushabiki Kwenye mkataba huu,,, Wacha Mwarabu apewe Bandari, TICTs kapewa watu hajalalamika,,, watu wanatafuta kiki na political plat form. Na wengine ni wapigaji tu. DP world apewe tu. Walozoea kula nyuma ya pazia watafute mahala kwegine
Kati ya hao watu wengi wanaoingiza ushabiki wewe ni mmoja wao. Watu hawapingi DP World kupewa bandari, tunachopinga ni MKATABA MBOVU.
Hivi nyie "waunga mkono" sijui uwezo wenu wa kuelewa mambo una shida gani; tatizo ni mkataba wa kimagumashi. Hata ingekuwa wanapewa TICTS au kampuni nyingine, kwa mkataba "wa kishenzi wa kijinga" (Rip JPM) kama huu, bado watu wangelalamika tu.
 
Naam wanajamvi,

Ukisikia mtihani mkubwa ni kama hili Sakata la Mkataba wa DP World na serikali ya Tanzania juu ya uendeshaji wa bandari za Tanganyika. Ukisoma ule mkataba kwa ujumla mpaka hapa Tanganyika hatuna jinsi, kwa maana tukiendelea nao tutakuwa tumejipeleka utumwani kwa namna vipengele vya mkataba vilivyo tumekwisa.

Tukiachana nao tumekwisha pia. Kifupi mpaka hapa tulipo fika ni kwamba DP WORLD wametuweka kwenye 18 zao kila upande. Hata tukiachana nao leo, bado tutatakiwa kuwalipa fedha nyingi, nyingi , nyingi kwasababu watatushinda mahakamani mapema asubuhi.

Tumefikaje hapa? Kwa maoni yangu , kwanza ni tamaa za viongozi wetu, pili ni udhaifu wa Mwanasheria mkuu wa serikali, tatu ni udhaifu wa watu wanao msaidia Rais kuto kujiamini katika majukumu wanayo pewa na Rais. Nitafafanua kila udhaifu .

Ukiungalia huu Mkataba uko vile kwanza kwasababu inaonekana sisi ndio tulionesha kuwahitaji Waarabu kwasababu moja au nyingine na Sababu kubwa ni fedha. Kwanini? Katikati ya Sakata lenyewe unamkuta Rais Samia Suluhu Hassan pengine na Chama chake kwa mbali. Kwanini? Wanajiandaa kwaajili ya uchaguzi wa 2025 na hivyo wakaona namna nzuri yakuwawezesha kupata fedha ni kuingia huu mkataba kwa kisingizio cha kuboresha utendaji katika bandari zetu.

Nasema ni kisingizio kwasababu kama nia ingekuwa ni hiyo tu basi wangefuata namna bora ya kumpata mwekezaji bora kwa mchakato wa wazi kabisa. Ila kwasababu walikuwa na agenda binafsi ndio maana wakafanya haya makubaliano kwa kificho.

HUU MKATABA ULIKUWA NI SIRI KUBWA, UMEVUJISHWA NA WATU WEMA WASIO PENDEZWA NA VIPENGELE VINAVYO IPELEKA NCHI YETU UTUMWANI.

Hapa unaiona tamaa ya Rais wetu kutaka kushinda uchaguzi yeye na chama chake hata kwa njia haramu. Kimsingi amevunja KATIBA ya Nchi.

Udhaifu wa Mwanasheria Mkuu wa serikali. Huyu anatakiwa kuijua KATIBA ya Nchi yetu kinaga ubaga. Imekuwaje amekubali kuuza SOREINTY ya Nchi yetu kirahisi hivyo? Hajiamini, hakuwa tayari kumuudhi Rais, au na yeye fedha zilimfanya aseme Nchi nini bwana, nita a batana na fedha !!!

Waziri na watendaji wengine wa serikali tunaweza kuwalaumu lakini kwa mtazamo wangu hawakuwa na namna. Ukikataa huna kazi na ukikubali unakutana na fedheha kama hizi za kuingiza Nchi utumwani.

Nini kifanyike??

Kwa maoni yangu ni bora kuachana na huu Mkataba kabla hata hatujaanza kuutekeleza , halafu tusubiri kushitakiwa na kupigwa faini ya mabilioni ya dola kwasababu ya ukubwa wa mradi wenyewe.

MADHARA YA KUENDELEA NA MKATABA NI NINI?

Hofu kubwa ni kwanza ni kuligawa Taifa. Kuna watu wajinga wanachanganya Uarabu na uislamu ! Pili ni kuliingiza Taifa kwenye umasikini na utumwa mambo leo.

Kwanini ni The great ordeal?

Ukisikia kizungumkuti ndio hiki. Kifupi ni kwamba tumefika hapa kwasababu ya udhaifu wa USALAMA WA TAIFA. wajitathimini.

Lakini Rais Samia ni wakati sasa ajipime kama anatosha kuilinda, kuitetea na kuihifadhi KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Kwa maoni yangu amepwaya.
Unyumbu ni tabia ya watu waliopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya malengo ya kundi fulani, (conflict of interest), na kuogopa viongozi wao, (amygdala). Herding behavior is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of group objectives, (conflict of interest), or fear of their leaders catalyzed by amygdala.
 
Naam wanajamvi,

Ukisikia mtihani mkubwa ni kama hili Sakata la Mkataba wa DP World na serikali ya Tanzania juu ya uendeshaji wa bandari za Tanganyika. Ukisoma ule mkataba kwa ujumla mpaka hapa Tanganyika hatuna jinsi, kwa maana tukiendelea nao tutakuwa tumejipeleka utumwani kwa namna vipengele vya mkataba vilivyo tumekwisa.

Tukiachana nao tumekwisha pia. Kifupi mpaka hapa tulipo fika ni kwamba DP WORLD wametuweka kwenye 18 zao kila upande. Hata tukiachana nao leo, bado tutatakiwa kuwalipa fedha nyingi, nyingi , nyingi kwasababu watatushinda mahakamani mapema asubuhi.

Tumefikaje hapa? Kwa maoni yangu , kwanza ni tamaa za viongozi wetu, pili ni udhaifu wa Mwanasheria mkuu wa serikali, tatu ni udhaifu wa watu wanao msaidia Rais kuto kujiamini katika majukumu wanayo pewa na Rais. Nitafafanua kila udhaifu .

Ukiungalia huu Mkataba uko vile kwanza kwasababu inaonekana sisi ndio tulionesha kuwahitaji Waarabu kwasababu moja au nyingine na Sababu kubwa ni fedha. Kwanini? Katikati ya Sakata lenyewe unamkuta Rais Samia Suluhu Hassan pengine na Chama chake kwa mbali. Kwanini? Wanajiandaa kwaajili ya uchaguzi wa 2025 na hivyo wakaona namna nzuri yakuwawezesha kupata fedha ni kuingia huu mkataba kwa kisingizio cha kuboresha utendaji katika bandari zetu.

Nasema ni kisingizio kwasababu kama nia ingekuwa ni hiyo tu basi wangefuata namna bora ya kumpata mwekezaji bora kwa mchakato wa wazi kabisa. Ila kwasababu walikuwa na agenda binafsi ndio maana wakafanya haya makubaliano kwa kificho.

HUU MKATABA ULIKUWA NI SIRI KUBWA, UMEVUJISHWA NA WATU WEMA WASIO PENDEZWA NA VIPENGELE VINAVYO IPELEKA NCHI YETU UTUMWANI.

Hapa unaiona tamaa ya Rais wetu kutaka kushinda uchaguzi yeye na chama chake hata kwa njia haramu. Kimsingi amevunja KATIBA ya Nchi.

Udhaifu wa Mwanasheria Mkuu wa serikali. Huyu anatakiwa kuijua KATIBA ya Nchi yetu kinaga ubaga. Imekuwaje amekubali kuuza SOREINTY ya Nchi yetu kirahisi hivyo? Hajiamini, hakuwa tayari kumuudhi Rais, au na yeye fedha zilimfanya aseme Nchi nini bwana, nita a batana na fedha !!!

Waziri na watendaji wengine wa serikali tunaweza kuwalaumu lakini kwa mtazamo wangu hawakuwa na namna. Ukikataa huna kazi na ukikubali unakutana na fedheha kama hizi za kuingiza Nchi utumwani.

Nini kifanyike??

Kwa maoni yangu ni bora kuachana na huu Mkataba kabla hata hatujaanza kuutekeleza , halafu tusubiri kushitakiwa na kupigwa faini ya mabilioni ya dola kwasababu ya ukubwa wa mradi wenyewe.

MADHARA YA KUENDELEA NA MKATABA NI NINI?

Hofu kubwa ni kwanza ni kuligawa Taifa. Kuna watu wajinga wanachanganya Uarabu na uislamu ! Pili ni kuliingiza Taifa kwenye umasikini na utumwa mambo leo.

Kwanini ni The great ordeal?

Ukisikia kizungumkuti ndio hiki. Kifupi ni kwamba tumefika hapa kwasababu ya udhaifu wa USALAMA WA TAIFA. wajitathimini.

Lakini Rais Samia ni wakati sasa ajipime kama anatosha kuilinda, kuitetea na kuihifadhi KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Kwa maoni yangu amepwaya.
Vizuri.
 
Mkataba upi unaouzungumzia. Mimi sijaona mkataba wa "uendeshaji bandari", mkataba niliouona ni IGA baina ya serikali ya Tanzania na serikali ya falme ya Dubai.
Falme ya Dubai sio 🤣🤣🤣
 
Huo mkataba wa uendeshaji bandari uko wapi?
Wewe mama katika swala hili la DPW unatufanya waislamu tuonekane mazezeta

Ebu tenganisha uislamu na mambo ya DPW

Waarabu ni watu Kama sisi, sio kila mwarabu ni muislamu

Hata Abuu lahab alikuwa mwarabu ila hakuwa muislamu

Pia uislamu hautaki uchawa wa kuwakumbatia watu kwa sababu ya nasabu zao, mbora katika watu ni Yule mwenye ucha mungu zaidi

Pia uislamu hautaki dhuluma, hautaki kudhulumu au kudhulumiwa

MSIDHULUMU WALA MSIDHULUMIWE.” [ 2 : 279]

“— NA ATAKAYEDHULUMU MIONGONI MWENU TUTAMUONJESHA ADHABU KUBWA.” [25 : 19]

“— NA ALLAH HAWAPENDI MADHALIMU.” [3 : 57]
pia unapounganisha maswala haya na uislamu, unasababisha watu wautukane uislamu , wamtukane ALLAH (sw), na mtume (saw) kitu ambacho ni kibaya na kiovu.

وَلَا تَسُبُّوا الَّذِينَ يَدْعُونَ مِنْ دُونِ اللَّهِ فَيَسُبُّوا اللَّهَ عَدْوًا بِغَيْرِ عِلْمٍ ۗ كَذَٰلِكَ زَيَّنَّا لِكُلِّ أُمَّةٍ عَمَلَهُمْ ثُمَّ إِلَىٰ رَبِّهِمْ مَرْجِعُهُمْ فَيُنَبِّئُهُمْ بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ
Wala msiwatukane hao wanao waomba badala ya Mwenyezi Mungu, wasije na wao wakamtukana Mwenyezi Mungu kwa jeuri bila ya kujua. Namna hivyo tumewapambia kila umma vitendo vyao. Kisha marejeo yao yatakuwa kwa Mola wao Mlezi, naye atawaambia waliyo kuwa wakiyatenda.

Allah ndio mjuzi zaidi
 
Back
Top Bottom