Sakata la Mtoto wa Rose Nungu (MunaLove), Linaumiza Sana Moyo

Nilichojifunza kwa huyu Peter ni Mwanamume haswa..

Hastahili kuwa mwanaume wa dar hata kidogo.
Ametombewa live huyo munaa ndani ya nyumba yake,huyo Peter anajua mtoto ana baba wawili

Ni fala tu,nampa big up aliyemshika mkono dkk za mwisho huku... Watu wamemkalisha chini..!!!wamemuambia akomae!

Ila kwa uanaume hanaa!!!
 
Ametombewa live huyo munaa ndani ya nyumba yake,huyo Peter anajua mtoto ana baba wawili

Ni fala tu,nampa big up aliyemshika mkono dkk za mwisho huku... Watu wamemkalisha chini..!!!wamemuambia akomae!

Ila kwa uanaume hanaa!!!
OMG....
Ntakujibu... After the aftermath....

Maana mataahira mko in plenty over here.
 
Aisee kwa sisi wachaga hatuwezi kukubali mtoto wetu akazikwe na mama. Huyu muna ni tapeli wa mapenzi na pesa, mtoto ni mali ya baba. Na tutahakikisha tunampeleka moshi tukampumzishe mtoto wetu
Aiseee nashindwa huyu jamaa
Yetu manigi mwenzetu alitoka wap na huyu
Malaya wa DSM asiea na mipaka
 
Mara paaap , casto nae akasema msiba uko nyumbani kwake na atachagua sehem anayotaka mwanae azikwe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] castor kazi yake ndo imefanya
Afunge hilo domo
 
Chunga kauli yako wewe huyo magu wewe hujui jinsi anavyoendesha hii nchi
 
OMG....
Ntakujibu... After the aftermath....

Maana mataahira mko in plenty over here.
Sawa miye taahira kweli bwana dokta!unijibu likiisha saga!

Ila mi nakuheshimu siwezi kukuita taahira!
 
Hahaaaa!!!!! Hivi yupo kanisa gani??? Na huyo mchungaji ataishije na mke wa mtu wa ndoa tena ambaye hajapewa talaka
 
Aiseee Kwa maswali haya muna anafaa
Aulizwe
 
Huyo mama Patrick ni wa kumuombea tu kwa kweli. Peter ana busara sana maana kwa yanayotokea, ingekuwa mwingine angemiminia mtu riaasi.
Kweli yaani zamani tu jamaa ana uvumilivu uliopitiliza
 
Muulize Le Mutuz ni kwa nini kambia child support Marekani ndio utajuwa maana ya ndoa ni nini na maana ya birth certificate ni nini, wewe jamba jamba tu hapa JF.
Hivi lemutuzz ana mtoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…