Dogo G
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 1,052
- 440
Nimejaribu kutafakari kqa haraka haraka nimegundua kitu kikubwa sana ambacho ni chanzo cha hii mitafaruku yote katika hili suala lililotokea,Nimebaini akili ta huyu dada haiko sawa yaani ni MIRUKO sana.Huyu dada muna love ni bonge la malaya na hana msimamo kabisa,ni mtu wa maigizo maigizo sana na kiruka njia sijui hata wanavyosema mlokole maana picha alizokuwa anatupia mitandaoni na hiyo haiba yake ya ulokole ni differrent things.