Daz911
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 742
- 1,238
s
Hapa mwl anaenda kuwa VICTIM na hii Kwa sababu ni yeye ni mwalimu tu . Hio kazi Kila tabu utasukumiwa wewe hawatakupa raha kidogo.
Usikute napo kamezeshwa script.
Yule Binti anaonekana tu ni kashenzi kwa tabia.
Muda wote kwanini hakushtaki kwa uongozi wa shule.!?
Unabakwa halafu unakaa kimya miezi inapita.
Kwa ushahidi utathibitisha mwalimu jimnmy alimbaka huyu Binti akitoka kulalwa na muuza mkaa.
Walimu Wana Hali ngumu.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
kwani hili si lilishaisha kwamba alikuwa kwa baba Jose auNaona Kuna watu wana agenda zao kwenye hili sakata,trust me binti anayejua umuhimu wa shule hawezi kwenda kaa mtaani kwa baba Jose mwezi mzima ilhal si shule wala familia Ina taarifa🤣wamtafutie shule nyingine aendelee na masomo kama anania na kusoma kweli🤔mbali na hapo hasafishiki 🤣🤣🤣