Sakata la mwanafunzi kubakwa na mwalimu Jimmy lina ukakasi lakini ipo shida kwa mwalimu

Mwalimu Jimmy hana tatizo...

Huyo Esther ni wale "Difficult Students", na hii haikuwa mara yake ya kwanza kutoroka shule..

Hapa wameungana wazazi na mtoto kuichafua shule na mwalimu kwa sababu wanajua hawezi kurudi pale tena.
Kuna ka ukweli hapa.
 
Maswali yako hayajakaa vizuri.Yameegemea zaidi upande mmoja wa kumkandamiza mwalimu.Ungeanza na swali dogo kua hivi inawezekana vip mtu akimbie kubakwa na mwalimu ambaye yuko chini ya taratibu zote za kisheria nakiserikali alafu akimbilie kukaa unyumba kwa mtu wa mtaani.Lakini pia muda aliokaa kwa muuza mkaa sio muda wa mtu anayehitaji msaada baada yauko alikotoka kuona hawezi kupata msaada.
 
Ni kweli lakini asikilizwe
 
Rudia kusoma
 
Hata MWL awe chizi kiasi gani hawezi kumbaka Mwanafunzi bwenini siku ya shule … narudia hata awe chizi PRO MAx plus , HAIWEZEKANI … kubaka sio kitu rahisi ukicha ile kubaka kwa tafsiri ya kisheria , hii ya kutumia nguvu SI MCHEZO
Huenda kalikuwa kanamtega lakini swali mwalimu Jimmy alifuata nn kwenye mabweni ya watoto wa kike?
 
Vp na wwe!? Ulikaza au uliachia goal teacher akafunga!!??
 
Vp na wwe!? Ulikaza au uliachia goal teacher akafunga!!??
Ndiyo maana nikasema hata kama binti ni Malaya lakini mwalimu Jimmy hatufai kwenye malezi ya watoto! Nasimama kama mzazi!

Yaani ni sawa na mharifu aseme alikuwa mikononi mwa polisi lakini polisi mmoja alimpiga sana ! Halafu watu mseme huyo alokamatwa hana haki!

Natamani watu muelewe haki na wajibu pasipo kuangalia aliyefanyiwa ni Malaya au bikira!
Hakuna ushahidi wa kumfunga mwalimu Jimmy lakini hafai kuendelea kulea watoto! Ahamishiwe shule ya wavulana tu! Hafafai kubakishwa hapo hata kama hakuna ushahidi lakini hafai
 
😄😁😆😅😂🤣
 
Hawa watoto watu mnatakiwa muwe makini nao sana,mimi binafsi nimewahi kua mwalimu wa bweni shule flani ya binafsi,kesi Kama ya huyo binti ilikuja ikamkuta msaidizi wangu ambaye ni mwalimu pia wa kiume,kidogo aende jela,inshu ikaja kuishia mahakamani.Ila hadi kipindi kesi iko mahakamani,binti alikua anasisitiza kabakwa na alikua analialia kinoma,watu wa haki za wanawake kilamara wakawa wanatembelea shule kuja kunihoji,muda huo jamaa yuko mahabusu anateseka.Mwisho wa siku akaja akaonekana yule mwalimu hana hatia.Namuonea huruma sana huyo mwalimu Jimmy,ukute aliombwa akamsaidie mwalimu kuondoa wachelewaji,maeneo ya bwenini,akasingiziwa kama abavyosingiziwa.
 
Huko ndo tutaongeza mashoga mtaani.
Mwl Jimmy na Huyo Muuza mkaa wachukuliwe hatua full stop.
Hakuna ushahidi wa kumfunga mwalimu Jimmy! Pia hakuna ushahidi wa moja kwa moja kumfunga muuza mkaa Bali kuna tuhuma za watu hao kutokuwajibika kama wazazi!
Huyo binti anaumri wa miaka zaidi ya 18 muuza mkaa kumpa hifadhi hakudhibitishi moja kwa moja walijamiiana! Hivyo muuza mkaa atatuhumiwa kwa kosa la kuishi na mtu asiye ndugu yake pasipo kutoa taarifa polisi, mjumbe au wazazi ( kosa la muuza mkaa ni kushiriki katika utoroshaji ) kosa lina dhamana!
Mwalimu Jimmy pia hakuna ushahidi wa kumkamata lakini kwa tuhuma hizo siyo za afya kwa watoto waliobakia pale! Hivyo mwalimu Jimmy aondolewe haraka, hata uongozi wa shule akiwemo mwl mkuu unastahili kubadilishwa!!.
Hakuna miiko ya mwalimu wa kiume kuingia mabweni ya wanaschana!

Nasimama kama mzazi
 
Wote waondolewe mtaani pia nasimama km mzazi
 
Kubakwa ni kuingiliwa bila ridhaa Yako hata kama wengine unawaridhia haimpi kibali mtu mwingine kukuingilia.

Na Mwalimu haruhusiwi kukuingilia Kimwili mwanafunzi hata ategwe Kwa namna Gani.

Mahakama itatuambia namna alivyotoroka na huenda wahusika wa uhalifu ni wengi. Huenda si Ester tuu bali Kuna wengine wengi wamekuwa wakibakwa na kupachikwa jina la umalaya.
Hakuna mwanafunzi pale eti kabakwa katoroka kaokotwa na muuza mkaaa
Anajua kubakwa huyoo?!!
Mmhhh
 
Babdiko lina maswali mengi, kwa jinsi ninavyojua dom ukibakwa lazoma utasimulia tuu, na ingejulikana km umebakwa mapema sana.
 
Mi nachojua mabweni ya kike Kuna matron wao. Kwa shule kubwa ka pandahil haingii akilini kukosa matron Hadi mwalim jimmy aingie kwenye bweni la kike. Kuna Jambo hapo halipo sawa.
 


Mimi ndugu zangu, napeleka binti ya pekee shule, nasikia ujinga kama huu, I swear, I will deal with Jimmy at a very personal level, regarldess the cost.
 
Umetoa sababu za kutokwenda kwa mwalimu mkuu na kwa wazazi wake lakini hujatoa sababu ya binti kwenda kwa baba Jose mchoma mkaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…