Sakata la mwanafunzi kubakwa na mwalimu Jimmy lina ukakasi lakini ipo shida kwa mwalimu

Kesi ya msingi ilikua ni mtoto ametoroka shule then amekutwa kwa baba jose hili la kubakwa limekuja baada ya siku kadhaa ambayo inaonekana ni njia tu ya kujitetea ndio mana tunaangalia angefanya nini baada ya kubakwa na mwalimu na sio alichofanya yeye ambacho kinaleta wasiwasi kuamini asemacho.
Hatuna haja ya kumhukumu mwalimu jimmy bila ukweli kufahamika mara ngapi wanafunz wa kike wanawasingizia mimba watu wengine ikiwa wamepewa na watu wengine? Mara ngapi wanafunzi watukutu hua na chuki kwa walimu wanaofuatilia maadili ipasavyo kufikia hadi kupigana nao?
Hilo fuvu inatakiwa liwe na ubongo sio hizo kamasi
 
Huyo
Binti hatofika mahala na laana za umalaya zitamtafuna.
Hata huko anakoenda hatokua na amani sababu laana ya umalaya itamtafuna.
Ningewaona wenye akili kama hili suala lingeisha baada ya binti kupatikana ila kwakua wameamua kuliibua kwenye media kwa kumchafua mwalimu jimmy na shule kwa ujumla basi laana ipo pamoja nao
 
Taarifa hizo, zipo mitandaoni kama zilivyo hizi
Narudia tena acha bangi,taarifa za huyo dogo sio tetesi tena km zilivyo zngne za mitandaoni mana kapatikana na ni kweli ni mwanafunzi na kafanyiwa interview rasmi na wazaz wake wakiwepo na case iko njiani kwenda mahakamani..
 
Aisee ko ww unadhani mahakamani wanaenda kujadili mtoto kutoroka ama mtoto kubakwa eti ww binadamu mwny ubongo
 
Binti apigwe maswali ya kutosha muhuni tu huyo uko kwa muuza mkaa alikuwa anawekwa nyama kwanini asikimbilie kanisani au polisi
 
Ila hawa watoto wa kike ni mtihaniii!! Kuna mwanafunzi kidogo amfunge mwalimu kwa kumsingizia ujauzito aliopewa na bodaboda.
Na siku hizi imekuwa trend.

Mimba anapewa na mchimbachumvi wa kitaa huko jumba bovu anamuangishia mwalimu wake.

Wanaharakati na wanasiasa watalishikilia bango hutoamini.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mwanafunzi pale eti kabakwa katoroka kaokotwa na muuza mkaaa
Anajua kubakwa huyoo?!!
Mmhhh
Sasa hii inanzuia mwalimu Jimmy kubaka? Katika Sheria ya ushahidi ,tabia ya mtu huwa haitumiki kama ushahidi.Aje mwalimu aseme ya upande wake,tupime Actus reus na mens Rea.
 
Je,mwalimu alienda bwenini? Kama alienda alikuwa na nani? Wanafunzi wengine wanasemaje?
 
Ile kanga anbayo Esther anadai mwalimu Jimmy alipigia bao,iletwe watu wa forensic wapige kazi .
 
Kazi ya ualimu ni ngumu sana tena ualimu wa level zote unaweza kuwa unafundisha zako huna hili Wala lile maisha yanasonga ilaa shuleni au chuoni kuna habari kuwa unatoka na mwanafunzi x au unamtaka mwanafunzi y na hujawahi kuwaza au kufikilia kuwa nae.
 
Kama ni mzazi unaye jua kulea mtoto mwenye nidhimu hawezi fanya ujinga huo .Huyo mtoto ni malaya anaye chipukia kwa kasi kama angebakwa si angeenda nyumbani ndo kwanza kaenda kugawa vizuri hakuna mtu hapo
 
Ndiyo maana nikasema kwa "mtu aliyesoma na kujiunga na great thinkers haitaji PhD". Pia nimesema kwa "waliosomea psychology;. Bila siasa hapa kwa huyo mtoto hakuna kesi hata chembe na nina uhakika Jimmy yupo kazini na ataendelea na kazi. Kinyume chake ni Jimmy kufungua kesi ya kuchafuliwa na huyo Mwanafunzi na kukaziwa na wazazi wake. Sheria ni ngumu km hujui. Usidhani Jimmy hatasikilizwa kisa huyo Mwanafunzi tena above 18 yrs old eti kaongea. Let's wait.
 
Kama ni mzazi unaye jua kulea mtoto mwenye nidhimu hawezi fanya ujinga huo .Huyo mtoto ni malaya anaye chipukia kwa kasi kama angebakwa si angeenda nyumbani ndo kwanza kaenda kugawa vizuri hakuna mtu hapo
Kuna baadhi humu wanamtetea huyo Mwanafunzi na kumlaum Jimmy. Sjui km wamesoma seminary au mbinguni. Tuliosoma kikawaida tunawajua vizuri wanafunzi ndiyo maan wengi tunasema huyo Mwanafunzi ni hovyo kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…