Sakata la mwanafunzi kubakwa na mwalimu Jimmy lina ukakasi lakini ipo shida kwa mwalimu

Hiyo avatar Ni wewe
 
Huyu ana lengo la kumkomesha jimmy inaonekana anamfatilia fatilia ,inawezekana pia kuna mtu nyuma yake si ajabu akawa mwalimu mwenzio,walio nao masnich hatari.
Mi nadhani kama taifa tuna mambo mengi ya msingi ya kujadili kuliko hili nungaembe.
Malaya alafu ubakwe?kwani alikuwa bikira kwamba iliondolewa?

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Acheni chuki kwa walimuu.
Mi nimekulia familia ya walimu zaidi ya 7.
Tatizo ni hivi vijimwalimu vya sasa hivi.
Sijui mwl Jimmy huyu kamfanya kitu huyo binti si bure mpk akimbilie kwa muuza mkaa.
Alikua analazimisha penzi sempre.
 
Mwl jimmy atakuwa mwalimu makini anayefuatilia sana wanafunzi kwa Nia njema lkn haka ka ESTA ni kamalaya na kanamchukia huyo mwl jimmy kwa ufuatiliaji wake hivyo hapo limeundwa zengwe
 
Yaan unaweza kuta upo sahihi kabisaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndivyo walivyo hao mkuu, yaani tabu tupu.
Yule dogo alikua na vituko ajabu, alikua ni mentor wa wadada wa kazi. Dada wa kazi akifika tu basi yeye anakua kuwadi wake, yote hiyo ili huyo dada awe na madhambi ili nae alindwe.
 
Jitahidi ufatilie historia ya binti akiwa o level ujue kama hilo ni tukio lake la kwanza au la!
Pia jitahidi sana uifahamu shule ya pandahili kwa undani,
Ukiweza pata hata mawili matatu kuhusu mlezi wa yule binti,,
Ukipata majibu leta tena uzi wako hapa,
 
Hata kama lingekuwa la kumi
 
Bint kaona bora ampe muuza mkaa,mw jimmy anakiba100 na hasimanii show ipasavyo [emoji23][emoji23]
 
Watoto wa kike ndo walivyo mkuu kupretend...ukiwajua hawakusumbui..bora boys than girls..vinajikuta vina akili..kumbe hakuna kitu
 
🥰📌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…