- Thread starter
- #181
Kwakuwa wote ni watoto wetu tuwasaidie kuwaongoza kwa pasipo kuchoka kama wazaziWatoto wa kike ndo walivyo mkuu kupretend...ukiwajua hawakusumbui..bora boys than girls..vinajikuta vina akili..kumbe hakuna kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakuwa wote ni watoto wetu tuwasaidie kuwaongoza kwa pasipo kuchoka kama wazaziWatoto wa kike ndo walivyo mkuu kupretend...ukiwajua hawakusumbui..bora boys than girls..vinajikuta vina akili..kumbe hakuna kitu
Yaqni hapo yeye anajiona yuko sahihi kwq afanyayoWatoto wa kike ndo walivyo mkuu kupretend...ukiwajua hawakusumbui..bora boys than girls..vinajikuta vina akili..kumbe hakuna kitu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii tupuu.Ndivyo walivyo hao mkuu, yaani tabu tupu.
Yule dogo alikua na vituko ajabu, alikua ni mentor wa wadada wa kazi. Dada wa kazi akifika tu basi yeye anakua kuwadi wake, yote hiyo ili huyo dada awe na madhambi ili nae alindwe.
Kwa kipiiiDada, inabidi ulinipie
HakikaKwakuwa wote ni watoto wetu tuwasaidie kuwaongoza kwa pasipo kuchoka kama wazazi
Shangaa na weweCWT inayochukuaga 2% kila mwezi kutoka kwenye mshahara wa mwalimu Jimmy mbona mmekaa kimya?
Zile 2% mnazozichukuaga kila mwezi kazi yake ni nini ?
Kazi yake siyo kutetea ujinga! Simama kama mzazi weweCWT inayochukuaga 2% kila mwezi kutoka kwenye mshahara wa mwalimu Jimmy mbona mmekaa kimya?
Zile 2% mnazozichukuaga kila mwezi kazi yake ni nini ?
MmaHuyu binti angetafutiwa nafasi pale shule ya sekondari Kizuka TPDF. Maji angeita "mma"
Hadi sasa Jimmy ni mtuhumiwa hajahukumiwa so ni wajibu w a CWT kumtetea hadi apatikane na hatia ndipo ahukumie.Kazi yake siyo kutetea ujinga! Simama kama mzazi wewe
Kutetea ujinga! Akiomba kutetewa atasikilizwaHadi sasa Jimmy ni mtuhumiwa hajahukumiwa so ni wajibu w a CWT kumtetea hadi apatikane na hatia ndipo ahukumie.
We vipi
Kazi yake ni kumtetea mahakamani. Na hiyo kesi lazima mwalimu Jimmy ashinde. Kesi ingekuwa ngumu kama mwanafunzi angeenda kuripoti polisi mara tu baada ya kubakwa, kabla hata ya kunawa.CWT inayochukuaga 2% kila mwezi kutoka kwenye mshahara wa mwalimu Jimmy mbona mmekaa kimya?
Zile 2% mnazozichukuaga kila mwezi kazi yake ni nini ?
Akaona bora ampe baba JoseMi nimekulia familia ya walimu zaidi ya 7.
Tatizo ni hivi vijimwalimu vya sasa hivi.
Sijui mwl Jimmy huyu kamfanya kitu huyo binti si bure mpk akimbilie kwa muuza mkaa.
Alikua analazimisha penzi sempre.