Sakata la mwanafunzi kubakwa na mwalimu Jimmy lina ukakasi lakini ipo shida kwa mwalimu

Sakata la mwanafunzi kubakwa na mwalimu Jimmy lina ukakasi lakini ipo shida kwa mwalimu

Ndivyo walivyo hao mkuu, yaani tabu tupu.
Yule dogo alikua na vituko ajabu, alikua ni mentor wa wadada wa kazi. Dada wa kazi akifika tu basi yeye anakua kuwadi wake, yote hiyo ili huyo dada awe na madhambi ili nae alindwe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii tupuu.
 
Sasa hili swala linaleta mkanganyiko kitendo cha mwl jimmy kutajwa je! Huko nako alipokimbilia kwa kimada napo kwanini kusitajwe inamaana huyu jamaa nae alijipimia girisi bila kujua huyu alikua mwanafunzi wote watiwe mbaroni maana wanamakosa na Binti mwenyew 🌝🌝
 
Jambo muhimu hapo ni lini anadai alibakwa na lini alitoroka na alifanya nini baada ya kutoroka.
Inaonyesha siku anayodai alibakwa siyo aliyotoroka.Anasema alipobakwa aliendelea kuingia darasani.
Lakini kilichomfanya atoroke ni kudaiwa alikuwa anaangalizia mitihani.
Kwa hiyo alipobakwa hakulalamika kokote na kwa yeyote na hakumwambia mtu yeyote.Baada ya siku kadhaa ndipo akatoroka na kwenda kwa mchepuko muuza mkaa na si Polisi au kwa wazazi wake.
 
Huyu binti angetafutiwa nafasi pale shule ya sekondari Kizuka TPDF. Maji angeita "mma"
 
CWT inayochukuaga 2% kila mwezi kutoka kwenye mshahara wa mwalimu Jimmy mbona mmekaa kimya?

Zile 2% mnazozichukuaga kila mwezi kazi yake ni nini ?
Kazi yake siyo kutetea ujinga! Simama kama mzazi wewe
 
CWT inayochukuaga 2% kila mwezi kutoka kwenye mshahara wa mwalimu Jimmy mbona mmekaa kimya?

Zile 2% mnazozichukuaga kila mwezi kazi yake ni nini ?
Kazi yake ni kumtetea mahakamani. Na hiyo kesi lazima mwalimu Jimmy ashinde. Kesi ingekuwa ngumu kama mwanafunzi angeenda kuripoti polisi mara tu baada ya kubakwa, kabla hata ya kunawa.
 
Mi nimekulia familia ya walimu zaidi ya 7.
Tatizo ni hivi vijimwalimu vya sasa hivi.
Sijui mwl Jimmy huyu kamfanya kitu huyo binti si bure mpk akimbilie kwa muuza mkaa.
Alikua analazimisha penzi sempre.
Akaona bora ampe baba Jose
 
Huyo Binti Esther ni Malaya na mzandiki kabisa katafuta sehemu ya kutokea huyo afukuzwe Shule hafai hata ongea yake kapangwa huyo
 
Back
Top Bottom