Sakata la nyongeza ya 23.3% ya mishahara ya watumishi wa umma: TUCTA na serikali wanajadiliana nini katika hatua hii?

Sakata la nyongeza ya 23.3% ya mishahara ya watumishi wa umma: TUCTA na serikali wanajadiliana nini katika hatua hii?

The Palm Beach

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
1,967
Reaction score
4,267

Msemaji wa serikali ndg Gerson Msigwa akitoa mrejesho wa kinachoitwa kikao cha serikali na TUCTA leo tarehe 26/7/2022

Lugha gongana. Msemaji wa serikali anasema hivi, TUCTA wanasema vile. Ni kama kuna kurushiana mpira. Gerson Msigwa anaongea kana kwamba TUCTA ndiyo mwajiri na mlipa mshahara wa watumishi wa umma. Wasikilize TUCTA hapa, kisha msikilize Gerson Msigwa. Total lugha gongana..!
.............................................._________________

Binafsi baada ya malalamiko ya wafanyakazi wa umma wa nchi hii yaliyotokana na "tafsiri ya nyongeza ya 23.3%" kuwa kinyume na matarajio yao...

Basi kila mtu alitegemea serikali ije na kauli mojawapo kati ya hizi mbili kuwaambia watumishi wa umma wote, kwamba;

1. Mlichokiona kwenye mishahara yenu ya July, 2022 ndicho hicho hicho, na ndiyo maana ya 23.3%, ya nyongeza yenu, hakuna kingine zaidi. FANYENI KAZI...!

AU

2. Serikali inawaomba radhi watumishi wa umma wote kwa kuwa kulifanyika makosa ya kiufundi ktk mfumo wa kikokotoo cha mishahara. Serikali inarekebisha makosa hayo kuanzia August, 2022. HUU NDIO UUNGWANA.

Lakini huu mchezo unaoendelea kati ya TUCTA na serikali ni siasa za kijinga sana na ni kuwadhihaki wafanyakazi wa umma na kuwafanya hamnazo.
 
TUCTA, Wafanyakazi, na serikali wote wana tatizo.

TUCTA- Wanawakilisha wafanyakazi lakini wanatumiwa na serikali kuwakandamiza wafanyakazi.

Wafanyakazi [walimu] - Wanatumiwa na serikali kuiibia kura CCM ili ishinde kwenye chaguzi.

Serikali- Inawadanganya wafanyakazi kwasababu inajua imewaweka wote mfukoni [ wafanyakazi na TUCTA].

Hii circle mpaka itakapokuja kuvunjwa ndio mabadiliko ya kweli yatapatikana, kinyume na hapo ni maigizo tu yataendelea siku zote.
 
Serikal itoe ufafanuz si Lazma wakutane na tucta. Hili Jambo kila mwananchi anataka kusikia Moja Kwa Moja toka Kwa watawala.

Tucta watakuja na maneno ya kisiasa tu baada ya majadiliano.Tushawachoka. kila Kitu Kiko wazi, semeni imekuwa HIV Kwa Sababu ya hili
 
Watumishi wa umma wenyewe kwa wenyewe hawependani hebu chunguza wanavyopelekana IAKUKURU, TISS, POLISI kufunguliana kesi za majungu ya kukomoana , Leo kilichowakuta ndio saizi yao
 
Mwalimu aliyeajiriwa 2022 anacheka(kimshahara) kuliko yule wa 2005 eti kweli?!
 
Mpaka Sasa Hivi Ni Janjajanja Primary School Imefaulisha Wanafunzi Wote Lakini :-
1.Hawajui Kusoma
2.Hawajui Kuandika

Serikali Ikubali Imekosea Sehemu Kubwa
 
TUKTA ni majambazi( nje ya kuvizia Makato na michango ya watumishi ili washibe na kuvimbiwa hawana lolote) serikali ya CCM ni majambazi, kwa kifupi majambazi wanajadiliana na majambazi.....
 
Serikali iko sahihi, mshahara walioongeza ni wa kima cha chini kwa 23.3%.

Hao TUCTA wanawadanganya, ni heri muwafute kazi hao TUCTA.
 
Mpaka Sasa Hivi Ni Janjajanja Primary School Imefaulisha Wanafunzi Wote Lakini :-
1.Hawajui Kusoma
2.Hawajui Kuandika

Serikali Ikubali Imekosea Sehemu Kubwa
Siasa za hovyo zinaharibu hii nchi.....watu wanataka kuonekana wamefaulisha.
 
TUCTA, Wafanyakazi, na serikali wote wana tatizo.

TUCTA- Wanawakilisha wafanyakazi lakini wanatumiwa na serikali kuwakandamiza wafanyakazi.

Wafanyakazi [walimu] - Wanatumiwa na serikali kuiibia kura CCM ili ishinde kwenye chaguzi.

Serikali- Inawadanganya wafanyakazi kwasababu inajua imewaweka wote mfukoni [ wafanyakazi na TUCTA].

Hii circle mpaka itakapokuja kuvunjwa ndio mabadiliko ya kweli yatapatikana, kinyume na hapo ni maigizo tu yataendelea siku zote.
Ila kuna watu mmekaririshwa vibaya sana dhidi ya Walimu. Kwamba Mwalimu anatumika kuiba kura?

Unamshutumu Mwalimu huku ukiwaacha Watendaji wa mitaa,vijiji,kata na tarafa. Unawaacha Polisi,Magereza na JWTZ?

Sikia, Walimu hujaza documents za matokeo kwa usahihi kabisa. Ila yakifika kwa Mkurugenzi Mtendaji (W) ndo yanapobadilishwa. Na kufikia hapo anayefanya mchezo huo siyo Mwalimu, ni mtu mwingine kabisa. Ila kwakuwa Wajeda na wengineo mnawaogopa basi wanyonge wenu ni Walimu.

N.B:- Ndio maana Chadema hupenda kukusanya matokeo ghafi/halisi kutoka vituoni (ambayo hujazwa na Walimu) na kuyalinganisha na yale yanayotangazwa na NEC (yanayokuwa yameshachakachuliwa tayari). Wizi huwa haufanyiki kituoni anaposimamia Mwalimu.
 
View attachment 2305026
Msemaji wa serikali ndg Gerson Msigwa akitoa mrejesho wa kinachoitwa kikao cha serikali na TUCTA leo tarehe 26/7/2022

Binafsi baada ya malalamiko ya wafanyakazi wa umma wa nchi hii yaliyotokana na "tafsiri ya nyongeza ya 23.3%" kuwa kinyume na matarajio yao...

Basi kila mtu alitegemea serikali ije na kauli mojawapo kati ya hizi mbili kuwaambia watumishi wa umma wote, kwamba;

1. Mlichokiona kwenye mishahara yenu ya July, 2022 ndicho hicho hicho, na ndiyo maana ya 23.3%, ya nyongeza yenu, hakuna kingine zaidi. FANYENI KAZI...!

AU

2. Serikali inawaomba radhi watumishi wa umma wote kwa kuwa kulifanyika makosa ya kiufundi ktk mfumo wa kikokotoo cha mishahara. Serikali inarekebisha makosa hayo kuanzia August, 2022. HUU NDIO UUNGWANA.

Lakini huu mchezo unaoendelea kati ya TUCTA na serikali ni siasa za kijinga sana na ni kuwadhihaki wafanyakazi wa umma na kuwafanya hamnazo.
Hapa ndiyo Wafanyakazi wataelewa umuhimu wa Katiba mpya. Katiba mpya itawapa uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao na more negotiating powers.

Hii ya mtu kusimama na kutangaza ongezeko bila consultation..... Only in Tanzania. TUCTA na affiliating members walitakiwa wawe wanakaa kwanza Meza moja na serikali kukubaliana ongezeko. Hii ya Mwigulu kukaa na watu wake na kumpelekea Maza asilimia ya kutangaza ni la propaganda za kisiasa tu.

On future TUCTA wajue waanze wapi badala ya kusubiri TANGAZO May mosi. Walitakiwa wafanye majadiliano January NOT today.
 
View attachment 2305026
Msemaji wa serikali ndg Gerson Msigwa akitoa mrejesho wa kinachoitwa kikao cha serikali na TUCTA leo tarehe 26/7/2022

Binafsi baada ya malalamiko ya wafanyakazi wa umma wa nchi hii yaliyotokana na "tafsiri ya nyongeza ya 23.3%" kuwa kinyume na matarajio yao...

Basi kila mtu alitegemea serikali ije na kauli mojawapo kati ya hizi mbili kuwaambia watumishi wa umma wote, kwamba;

1. Mlichokiona kwenye mishahara yenu ya July, 2022 ndicho hicho hicho, na ndiyo maana ya 23.3%, ya nyongeza yenu, hakuna kingine zaidi. FANYENI KAZI...!

AU

2. Serikali inawaomba radhi watumishi wa umma wote kwa kuwa kulifanyika makosa ya kiufundi ktk mfumo wa kikokotoo cha mishahara. Serikali inarekebisha makosa hayo kuanzia August, 2022. HUU NDIO UUNGWANA.

Lakini huu mchezo unaoendelea kati ya TUCTA na serikali ni siasa za kijinga sana na ni kuwadhihaki wafanyakazi wa umma na kuwafanya hamnazo.
Nasikia kiasi kikubwa cha fedha iliyotengwa kwa ajili ya bajeti ya mishahara kimeelekezwa kwenye majeshi yetu, ukitaka kuthibitisha hilo, kwani umemsikia hata mwanajeshi mmoja akilalamika kuhusu hiyo nyongeza? wao wameongezewa cha kutosha wako kiiiimya!!!!
 
Back
Top Bottom