Sakata la nyongeza ya 23.3% ya mishahara ya watumishi wa umma: TUCTA na serikali wanajadiliana nini katika hatua hii?

Sakata la nyongeza ya 23.3% ya mishahara ya watumishi wa umma: TUCTA na serikali wanajadiliana nini katika hatua hii?

View attachment 2305026
Msemaji wa serikali ndg Gerson Msigwa akitoa mrejesho wa kinachoitwa kikao cha serikali na TUCTA leo tarehe 26/7/2022

Binafsi baada ya malalamiko ya wafanyakazi wa umma wa nchi hii yaliyotokana na "tafsiri ya nyongeza ya 23.3%" kuwa kinyume na matarajio yao...

Basi kila mtu alitegemea serikali ije na kauli mojawapo kati ya hizi mbili kuwaambia watumishi wa umma wote, kwamba;

1. Mlichokiona kwenye mishahara yenu ya July, 2022 ndicho hicho hicho, na ndiyo maana ya 23.3%, ya nyongeza yenu, hakuna kingine zaidi. FANYENI KAZI...!

AU

2. Serikali inawaomba radhi watumishi wa umma wote kwa kuwa kulifanyika makosa ya kiufundi ktk mfumo wa kikokotoo cha mishahara. Serikali inarekebisha makosa hayo kuanzia August, 2022. HUU NDIO UUNGWANA.

Lakini huu mchezo unaoendelea kati ya TUCTA na serikali ni siasa za kijinga sana na ni kuwadhihaki wafanyakazi wa umma na kuwafanya hamnazo.
watumishi mjitoe kwenye vyama vya wafanyakazi ili muanze upya pia acheni ushabiki wa kuchagua makada wa ccm kuwa viongozi wenu wa vyama vya wafanyakazi hasa walimu ambao hawataki kujiongeza na kuendelea na biashara ya kuchagua makada.tucta wamewaingiza kwenye mkenge wa kikokotoo na sasa mmepigwa kwenye nyongeza ya mshahara,mm nilitegemea tucta waitishe mgomo wa wafanyakazi nchi nzima kuishinikiza serikali kufanya marekebisho hayo lkn wanaenda kujadiliana tena upuuzi ule ule.mtapigwa sana kwa mtindo huo.
 
Hapa ndiyo Wafanyakazi wataelewa umuhimu wa Katiba mpya. Katiba mpya itawapa uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao na more negotiating powers.

Hii ya mtu kusimama na kutangaza ongezeko bila consultation..... Only in Tanzania. TUCTA na affiliating members walitakiwa wawe wanakaa kwanza Meza moja na serikali kukubaliana ongezeko. Hii ya Mwigulu kukaa na watu wake na kumpelekea Maza asilimia ya kutangaza ni la propaganda za kisiasa tu.

On future TUCTA wajue waanze wapi badala ya kusubiri TANGAZO May mosi. Walitakiwa wafanye majadiliano January NOT today.
The Khoisan, nyongeza ya 23.3% wala sio mbaya na siyo ndogo hata kidogo iwapo tu kanuni sahihi ya kuitawanya kwa kila mnufaika ingetumika...

Obviously, kuna uhuni umefanyika katika distribution ya kiwango hicho cha nyongeza kuanzia wa mshahara ngazi ya chini hadi yule wa ngazi ya juu kwa kila kada ya utumishi...

Ni kuwa, huyu Mwigulu Nchemba na wenzake pale wizara ya fedha + wizara inayoshughulikia mambo ya utumishi, walitumia kanuni ya maamuzi yao kichwani...

Mbona miaka yote especially ile ya utawala wa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete (2005 - 2015) nyongeza za namna hii zilitoka mara kwa mara, lakini kanuni ya kumpatia kila mtumishi haijawahi kulalamikiwa kama ya sasa...??

Mimi naamini ishu siyo uhaba wa fedha wala nini bali ni uhuni tu wa baadhi ya viongozi wasaidizi wa Rais Samia...

Nina hakika Rais hata yeye anashangaa na lazima kawaweka kiti moto wahusika wa utekelezaji wa hili...!!

I believe something is wrong somewhere...
 
Nasikia kiasi kikubwa cha fedha iliyotengwa kwa ajili ya bajeti ya mishahara kimeelekezwa kwenye majeshi yetu, ukitaka kuthibitisha hilo, kwani umemsikia hata mwanajeshi mmoja akilalamika kuhusu hiyo nyongeza? wao wameongezewa cha kutosha wako kiiiimya!!!!
Sina hakika kama hii ni hoja inayoweza kujitetea kwayo serikali...

Wanajeshi wanastahili malipo mazuri kwa kazi wanayofanya kama ambavyo watumishi wengine wote wanasheria, walimu, manesi, wafagizi wa ofisi, watunza bustani, polisi, machine operators, wahandisi, polisi, magereza nk nk...

Serikali irudi kwenye kikotozi cha mshahara na ifanye mgawanyo sahihi kwa kila mtumishi na siyo kupendelea kundi fulani tu...

Otherwise, ina - create tatizo ambalo liliendelea kudumu linaweza kuleta madhara makubwa ktk taifa letu...
 
Serikali iko sahihi, mshahara walioongeza ni wa kima cha chini kwa 23.3%.

Hao TUCTA wanawadanganya, ni heri muwafute kazi hao TUCTA.
Hujui usemalo wala ujualo...

Na sijui kama unajua hata maana ya "mshahara" na utaratibu wa vigezo vya ulipaji kwa kila afanyaye kazi kweli ktk sekta ya umma...

Na kwani wafanyao kazi ni wa "kima cha chini" tu...?
 
Ila kuna watu mmekaririshwa vibaya sana dhidi ya Walimu. Kwamba Mwalimu anatumika kuiba kura?

Unamshutumu Mwalimu huku ukiwaacha Watendaji wa mitaa,vijiji,kata na tarafa. Unawaacha Polisi,Magereza na JWTZ?

Sikia, Walimu hujaza documents za matokeo kwa usahihi kabisa. Ila yakifika kwa Mkurugenzi Mtendaji (W) ndo yanapobadilishwa. Na kufikia hapo anayefanya mchezo huo siyo Mwalimu, ni mtu mwingine kabisa. Ila kwakuwa Wajeda na wengineo mnawaogopa basi wanyonge wenu ni Walimu.

N.B:- Ndio maana Chadema hupenda kukusanya matokeo ghafi/halisi kutoka vituoni (ambayo hujazwa na Walimu) na kuyalinganisha na yale yanayotangazwa na NEC (yanayokuwa yameshachakachuliwa tayari). Wizi huwa haufanyiki kituoni anaposimamia Mwalimu.
Usiwasemee usiowajua, nina hakika na nilichoandika, njaa ya walimu ndio huwasukuma kufanya yote hayo.

Hapo kwenye kujaza documents za matokeo ndipo lilipo chaka lao la kuiba kura kwa manufaa ya CCM.
 
Hujui usemalo wala ujualo...

Na sijui kama unajua hata maana ya "mshahara" na utaratibu wa vigezo vya ulipaji kwa kila afanyaye kazi kweli ktk sekta ya umma...

Na kwani wafanyao kazi ni wa "kima cha chini" tu...?
Wewe ndiye Mwenyekiti, sijui Katibu wa TUCTA?
 
View attachment 2305026
Msemaji wa serikali ndg Gerson Msigwa akitoa mrejesho wa kinachoitwa kikao cha serikali na TUCTA leo tarehe 26/7/2022

Binafsi baada ya malalamiko ya wafanyakazi wa umma wa nchi hii yaliyotokana na "tafsiri ya nyongeza ya 23.3%" kuwa kinyume na matarajio yao...

Basi kila mtu alitegemea serikali ije na kauli mojawapo kati ya hizi mbili kuwaambia watumishi wa umma wote, kwamba;

1. Mlichokiona kwenye mishahara yenu ya July, 2022 ndicho hicho hicho, na ndiyo maana ya 23.3%, ya nyongeza yenu, hakuna kingine zaidi. FANYENI KAZI...!

AU

2. Serikali inawaomba radhi watumishi wa umma wote kwa kuwa kulifanyika makosa ya kiufundi ktk mfumo wa kikokotoo cha mishahara. Serikali inarekebisha makosa hayo kuanzia August, 2022. HUU NDIO UUNGWANA.

Lakini huu mchezo unaoendelea kati ya TUCTA na serikali ni siasa za kijinga sana na ni kuwadhihaki wafanyakazi wa umma na kuwafanya hamnazo.
Weka na clip ya rais wa TUCTA Dr Nyamhokya tafadhali
 
The Khoisan, nyongeza ya 23.3% wala sio mbaya na siyo ndogo hata kidogo iwapo tu kanuni sahihi ya kuitawanya kwa kila mnufaika ingetumika...

Obviously, kuna uhuni umefanyika katika distribution ya kiwango hicho cha nyongeza kuanzia wa mshahara ngazi ya chini hadi yule wa ngazi ya juu kwa kila kada ya utumishi...

Ni kuwa, huyu Mwigulu Nchemba na wenzake pale wizara ya fedha + wizara inayoshughulikia mambo ya utumishi, walitumia kanuni ya maamuzi yao kichwani...

Mbona miaka yote especially ile ya utawala wa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete (2005 - 2015) nyongeza za namna hii zilitoka mara kwa mara, lakini kanuni ya kumpatia kila mtumishi haijawahi kulalamikiwa kama ya sasa...??

Mimi naamini ishu siyo uhaba wa fedha wala nini bali ni uhuni tu wa baadhi ya viongozi wasaidizi wa Rais Samia...

Nina hakika Rais hata yeye anashangaa na lazima kawaweka kiti moto wahusika wa utekelezaji wa hili...!!

I believe something is wrong somewhere...
Mkuu, your right. Kima cha chini wameula kweli .... 23 % siyo kidogo. Kuna mahali nimeongelea hilo!

Point yangu ni kwamba TUCTA hawatakiwi kusubiri serikali iwapangie halafu wapige makofi. Duniani kote vyama vya wafanyakazi huwa vinanegotiate nyongeza na serikali , wakikubaliana then wanatangaza. Hii style ya Tanzania ni tofauti sana .... imekaa kisiasa zaidi. Ndiyo maana nikasema katiba mpya inatakiwa ili kuvipa independence zaidi hivi vyama kupigania maslahi ya wafanyakazi. So far vinaendeshwa kama idara za serikali ..... which is not right!!
 
TUCTA, Wafanyakazi, na serikali wote wana tatizo.

TUCTA- Wanawakilisha wafanyakazi lakini wanatumiwa na serikali kuwakandamiza wafanyakazi.

Wafanyakazi [walimu] - Wanatumiwa na serikali kuiibia kura CCM ili ishinde kwenye chaguzi.

Serikali- Inawadanganya wafanyakazi kwasababu inajua imewaweka wote mfukoni [ wafanyakazi na TUCTA].

Hii circle mpaka itakapokuja kuvunjwa ndio mabadiliko ya kweli yatapatikana, kinyume na hapo ni maigizo tu yataendelea siku zote.
Utatoa maelekezo gani ya serikali zaidi ya uongo wako?. Hivi kulikuwa na umuhimu gani wa zuhura Yunus kutoa release letter toka white house juu ya nyongeza ya mshahara ya 23.3% kwa watumishi wa umma?. Unatuambia TUCTA wameomba muda wakajadiliane; wanaenda kujadiliana nn zaidi ya asali mliyowalambisha ili waendelee kuwa wahuni na wasaliti kwa wafanyakazi?. Hivi wewe Tumaini Nyamhoka utatumika Kama kibaraka wa serikali ya ccm hadi lini?. Annual increment isiyoeleweka ndo Serikali inaita nyongeza ya mshahara ya23.3%?. Mtadanganya kila kitu lakini mawazo ya kimapinduzi hayatadanganywa bali ninyi endeleeni kuyamwagilia mbolea with your cheapest propaganda!.
 
Ila kuna watu mmekaririshwa vibaya sana dhidi ya Walimu. Kwamba Mwalimu anatumika kuiba kura?

Unamshutumu Mwalimu huku ukiwaacha Watendaji wa mitaa,vijiji,kata na tarafa. Unawaacha Polisi,Magereza na JWTZ?

Sikia, Walimu hujaza documents za matokeo kwa usahihi kabisa. Ila yakifika kwa Mkurugenzi Mtendaji (W) ndo yanapobadilishwa. Na kufikia hapo anayefanya mchezo huo siyo Mwalimu, ni mtu mwingine kabisa. Ila kwakuwa Wajeda na wengineo mnawaogopa basi wanyonge wenu ni Walimu.

N.B:- Ndio maana Chadema hupenda kukusanya matokeo ghafi/halisi kutoka vituoni (ambayo hujazwa na Walimu) na kuyalinganisha na yale yanayotangazwa na NEC (yanayokuwa yameshachakachuliwa tayari). Wizi huwa haufanyiki kituoni anaposimamia
UNAJUA MCHANGO WA SHIRIKISHO LA WALIMU WA CCM?

Ila kuna watu mmekaririshwa vibaya sana dhidi ya Walimu. Kwamba Mwalimu anatumika kuiba kura?

Unamshutumu Mwalimu huku ukiwaacha Watendaji wa mitaa,vijiji,kata na tarafa. Unawaacha Polisi,Magereza na JWTZ?

Sikia, Walimu hujaza documents za matokeo kwa usahihi kabisa. Ila yakifika kwa Mkurugenzi Mtendaji (W) ndo yanapobadilishwa. Na kufikia hapo anayefanya mchezo huo siyo Mwalimu, ni mtu mwingine kabisa. Ila kwakuwa Wajeda na wengineo mnawaogopa basi wanyonge wenu ni Walimu.

N.B:- Ndio maana Chadema hupenda kukusanya matokeo ghafi/halisi kutoka vituoni (ambayo hujazwa na Walimu) na kuyalinganisha na yale yanayotangazwa na NEC (yanayokuwa yameshachakachuliwa tayari). Wizi huwa haufanyiki kituoni anaposimamia Mwalimu.
UNAJUA MCHANGO WA SHIRIKISHO LA WALIMU WA CCM?
 
Sina hakika kama hii ni hoja inayoweza kujitetea kwayo serikali...

Wanajeshi wanastahili malipo mazuri kwa kazi wanayofanya kama ambavyo watumishi wengine wote wanasheria, walimu, manesi, wafagizi wa ofisi, watunza bustani, polisi, machine operators, wahandisi, polisi, magereza nk nk...

Serikali irudi kwenye kikotozi cha mshahara na ifanye mgawanyo sahihi kwa kila mtumishi na siyo kupendelea kundi fulani tu...

Otherwise, ina - create tatizo ambalo liliendelea kudumu linaweza kuleta madhara makubwa ktk taifa letu...
Wanajeshi wanaogopwa siku Zote ndo maana wanapewa parefu, wanamfanya mtawala awe na jeuri ya kuzikandamiza kada nyingine
 
Weka na clip ya rais wa TUCTA Dr Nyamhokya tafadhali
Nilisha UPDATE huko kwenye thread kuu. Panda juu kwenye mada kuu, wasikilize na TUCTA pia...

Wamemkumbuka Jakaya Kikwete bwana. Wanasema kwamba wakati wa utawala wake aliongeza mishahara kwa kutumia kanuni sahihi na inayokubalika bila kuleta manung'uniko kama haya...

Lakini kina Mwigulu Nchemba, uzao na masalia ya mwendazake John P. Magufuli ndilo tatizo la watumishi wa umma kwa sasa...

Hawa jamaa wana fomula zao wanazozijua wenyewe na wanatembea nazo mifukoni mwao...

Nadhani kuna kundi ndani ya CCM linakusanya hela za uchaguzi mkuu 2025 kwa kutumia jasho la watumishi wa umma wa nchi hii...!!

Hii haikubaliki...
 
Nilisha UPDATE huko kwenye
thread kuu. Panda juu kwenye mada kuu, wasikilize na TUCTA
pia...
Wamemkumbuka Jakaya
Kikwete bwana. Wanasema
kwamba wakati wa utawala
wake aliongeza mishahara kwa
kutumia kanuni sahihi na
inayokubalika bila kuleta
manung'uniko kama haya...
Lakini kina Mwigulu Nchemba,
uzao na masalia ya
mwendazake John P. Magufuli
ndilo tatizo la watumishi wa
umma kwa sasa...
Hawa jamaa wana fomula zao
wanazozijua wenyewe na
wanatembea nazo mifukoni
mwao...
Nadhani kuna kundi ndani ya
CCM linakusanya hela za
uchaguzi mkuu 2025 kwa
kutumia jasho la watumishi wa
umma wa nchi hii...!!
Hii haikubaliki...
Kipindi cha Magufuli kutokuongeza mshahara lawama zilienda kwa Magufuli mwenyewe ila kipindi hiki lawama zinaenda kwa Waziri wa fedha na watu wanamkumbuka rais mstaafu Kikwete kwenye awamu yake, sijaona kumtaja Samia yani kama hayupo au hahusiki na chochote.
 
Samia bora aachie ngazi maana naona hawajibiki kwa lolote lawama zote zinaenda kwa wasaidizi wake tu na yeye yupo kimya tuli kama sio yeye ndio mwenye kuongoza nchi.
 
Tuliwaambia wafanya kazi , hamkusikia ngoja dawa iingie
 
Kipindi cha Magufuli kutokuongeza mshahara lawama zilienda kwa Magufuli mwenyewe ila kipindi hiki lawama zinaenda kwa Waziri wa fedha na watu wanamkumbuka rais mstaafu Kikwete kwenye awamu yake, sijaona kumtaja Samia yani kama hayupo au hahusiki na chochote.
KUHUSU UKIMYA WA RAIS SAMIA;

NduguTz mbongo, huyu mama angekuwa yupo, angeshafanya intervention...

Lakini kitendo cha yeye kuwa kimya tuu ni aidha hayupo au amekubaliana na uhuni huu uliofanywa na watendaji wake. So na yeye ni part ya uhuni huu..!

KUHUSU MAGUFULI KULAUMIWA:

Lawama zingeenda kwa nani sasa? Alinyooshewa kidole (kulaumiwa) kwa sababu yeye ndiye alikuwa Rais...

Lakini hilo lijamaa (li -mwendazake) siyo kwamba lilikuwa baya na la hovyo kuanzia utosini hadi nyayoni..., La hasha..!

Kuna maeneo lilikuwa janja sana. Lilikuwa likiona hatari mbaya mbele yake, haraka sana liligeuka na kui - overturn hatari hiyo...

I am sure hata hili la Kikokotoo cha nyongeza ya mishahara, li - Mwendazake lingeshaibuka kitambo na kutoa amri so long as lenyewe lina - mantain political popularity yake...

Yaani li - mwendazake na timu yake, lilikuwa lina - create tatizo kisha chaos halafu linaibuka from nowhere & unexpectedly kutoa solution lengo likiwa kupata umaarufu wa kisiasa...

Mfano ishu ya Kikokotoo ya mafao ya wastaafu lilifanyaga timing ya dizaini fulani hivi amazing. Ikatangazwa na kisha taharuki ya nguvu ikazuka. Jamaa hapa hapo akaibuka na kupiga stop..

Wastaafu waliokuwepo na wale watarajiwa wakashangalia sana na likapata pointi 3 za bure kabisa za umaarufu wa kisiasa toka kwa wasiofahamu propaganda za kisiasa...

Lakini huyu mama ni kama yupo kwenye usingizi fulani hivi mzito wa kichawi huku kina Makamba na Mwigulu Nchemba wakim - outsmart kisiasa kila kukicha kiasi cha kuonekana tuna Rais mwanamke mwongo na mzushi tu kwa watanzania na asiyejiamini...

Kwa kifupi, kina Mwigulu Nchemba na Jenista Mhagama wamem - discredit kwa kiwango kikubwa sana Rais Samia kwenye ishu ya 23.3%...

Wanamfanya asiaminike kabisa kwa umma kwa sbb ya kauli na matendo yake kutowiana...!
 
Back
Top Bottom