Sakata la picha chafu: Wema, mama Wema kusoma albadili

Sakata la picha chafu: Wema, mama Wema kusoma albadili

Kazi kweli kweli na ndo ajifunze nidhamu ya hela akipata sio kufanya show off nyingi wakati huja invest hapo clemence lazma atamkumbuka tu

Hapo anasema ningejua, wakati its too late labda anaweza bahatika na pedeshee mwingine
 
Sasa ivi naona chausiku auny ezekiel ndo anawafutarisha mastaa, mama ubaya hali mbaya ooh, we unafanya masihara nini

Pesa mwanaharamuuu sisikiii cha kummwaga pesa wala kufuturishaa mwaka jana ilikua mashindano, pesa zimemmwagaaaa koboooioooo
 
Hata usinung'unike hujaziona! maana photoshop kwahiyo hazina maana yoyote!! sijui hata hao wahusika wanajali nini na upumbavu kama ule!!
Ni mahaters tu ndiyo wanaona kitu ya maana!!
si za kweli so why anataka kusoma albadir?mshaurini vzr mama enu anajidhalilisha sanaaaaaa!
 
Hapo anasema ningejua, wakati its too late labda anaweza bahatika na pedeshee mwingine

Ampatie wapi siku hizi wanaume waongaji ni wachache sana na kuna kipindi umri ukienda hata watongozaji hupati ni shda tupu
 
Ziko wapi wengine zilitupita....weka hapa wataalam tuchambue
 
aah wapi bahat ile haiji tena wangu asubir tu stendi

Na alivyokuwa chizi ata kiwanja hakununua, sijui alijua clement baba yake atamlea maisha, yani alijafanyia vitu vya maana zaidi ya sho off za kipumbavu
 
Kwakweli watanzania tumefikia pabaya sana kudhalilisha wazazi wa wenzetu kiasi kile? Daaa ina sikitisha sana kuona watu wana chukia mtu hadi kufikia kumchafua Mama yake mzazi Daaa !

Kwa kweli hii tabia ni mbaya sana ni vyema wazazi wakawa wanaachwa pembeni kwenye hizi chuki za timu zao!

Ni vyema Wema ange achana na hili swala maana lina mdhalilisha sana Mama yake!
 
Na alivyokuwa chizi ata kiwanja hakununua, sijui alijua clement baba yake atamlea maisha, yani alijafanyia vitu vya maana zaidi ya sho off za kipumbavu

hahahaaaaa....!jamani baby yake kasema atamgharamia kila kitu!
 
mwanamke asiyejiheshimu yule mtu ana mijukuu na anakarbia kupata kilembwe afu anaongea ongea ujinga!
 
Na alivyokuwa chizi ata kiwanja hakununua, sijui alijua clement baba yake atamlea maisha, yani alijafanyia vitu vya maana zaidi ya sho off za kipumbavu

Ataishi kwenye vile viatu vyake na nguo au atauza nguo na viatu vyotee
 
Kwa style hii watamphotoshoa tena!
Mi nipo hapa!
 
Back
Top Bottom