Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ngoja tuoneBiswalo mganga apelekwe njia ya yule wa chattle
Safari hii Kaisha !Mwizi nadhifu.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]SINGA SINGA Alipigwa Mabilioni ya Kutosha na MZALENDO MwendazakeView attachment 2387540
Itumike hata Prof. Asad styleYELLOW JOURNALISM AT ITS BEST......Raisi hawezi kumuondoa Jaji wa Mahakama kuu kama ambavyo ninyi mnataka. Kuna utaratibu maalumu ndani ya katiba ambao hata Raisi hawezi kuuvuruga. Haya mengine mnayoandika hapa ni majungu, udaku na umbeya usio na kichwa wala miguu........
Amng'oe au afikishwe mbele ya mahakama?Hii ndio Taarifa mpya ya leo ya Gazeti la Raia Mwema , Kwamba kutokana na kuvuja kwa Taarifa nyingi kuhusu unyama uliotendwa kwenye kilichoitwa Plea Bargain , iliyosimamiwa kikamilifu na DPP wa wakati ule aliyeitwa Biswalo Mganga Wadau wamemkumbusha Mh Rais kuhusu Makando kando ya Mtu huyo na kumuomba Amng'oe haraka.
Ngoja tusubiri majibu ya barua hiyo .
Chanzo : Raia Mwema
Nchi haiwezi kuendeshwa kuendeshwa kihuni. Mnataka atoke, fuateni utaratibu wa kikatiba....Itumike hata Prof. Asad style
Watu wanasubirì hadi madudu yafukunyuliwe ndipo waseme!, sisi tulioyaona yakifanyika, tulipigia kelele na haikusaidia kitu!, sijui kama hiyo barua itasaidia kitu maana post aliyopo sasa has a security of tenure, anaweza kuteuliwa tuu, hawezi kutenguliwa!, na post iliyotangulia ya DPP ina kinga ya kutohojiwa na yeyote au kushitakiwa!.Hii ndio Taarifa mpya ya leo ya Gazeti la Raia Mwema , Kwamba kutokana na kuvuja kwa Taarifa nyingi kuhusu unyama uliotendwa kwenye kilichoitwa Plea Bargain , iliyosimamiwa kikamilifu na DPP wa wakati ule aliyeitwa Biswalo Mganga Wadau wamemkumbusha Mh Rais kuhusu Makando kando ya Mtu huyo na kumuomba Amng'oe haraka.
Ngoja tusubiri majibu ya barua hiyo .
Chanzo : Raia Mwema
Tulia munyoroshweBiswalo mganga apelekwe njia ya yule wa chattle
Asante mayala raia mwema ni gazet la udaku sahiviWatu wanasubirì hadi madudu yafukunyuliwe ndipo waseme!, sisi tulioyaona yakifanyika, tulipigia kelele na haikusaidia kitu!, sijui kama hiyo barua itasaidia kitu maana post aliyopo sasa has a security of tenure, anaweza kuteuliwa tuu, hawezi kutenguliwa!, na post iliyotangulia ya DPP ina kinga ya kutohojiwa na yeyote au kushitakiwa!.
Huku ni kutwanga tuu maji kwenye kinu!.
P
Wewe ni mwanasiasa maamuma kweli, yaani raisaingilie mhimili wa mahakama kumwondoa jaji wa mahakama?!!! Uwe unaomba ushauri kwa wanasheria wa chama chako kuliko uropokaji huu.Hii ndio Taarifa mpya ya leo ya Gazeti la Raia Mwema , Kwamba kutokana na kuvuja kwa Taarifa nyingi kuhusu unyama uliotendwa kwenye kilichoitwa Plea Bargain , iliyosimamiwa kikamilifu na DPP wa wakati ule aliyeitwa Biswalo Mganga Wadau wamemkumbusha Mh Rais kuhusu Makando kando ya Mtu huyo na kumuomba Amng'oe haraka.
Ngoja tusubiri majibu ya barua hiyo .
Chanzo : Raia Mwema
Ni Ujinga pia kushabikia Raia kununua haki. Haki au kosa la jinai au lolote lile huamulia na Mahakama tu. Kinyume chake ni Upumbavu.Naona Raia mwema ni gazeti la udaku lililopooza...linajitahidi kutumia nguvu nyingi kuziba gape lililoachwa na magazeti ya Musiba..
itaandika hizi issue ht mwaka mzima na hakuna kitu itafanyika...kukaa na kujadili udaku km huu ambao hautakuja kufanyiwa kazi ni matumizi mabaya ya muda na Ubongo.