Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itapendeza zaidiBiswalo mganga apelekwe njia ya yule wa chattle
Acha kuwa mjinga soma vizuri. Nimesema utaratibu unafuatwa ambao ni tume ya kijaji ya majaji 3 toka nchi za madola kuchunguza na zikiona anastahili kuondolewa basi Rais anamuondoa. Ni nini hujaelewa hapo?Wewe unahemka bila kuijua sheria au katiba 8nasemaje kuhusu jaji wa Mahakama.
Kuna nafasi amvazo Rais anaweza kuteua lakini hawezi kutengua.
Wewe cheza mbali.......................onyo?!!!!! Haya tuoneAnayewateua ni nani ? halafu labda kwa faida yako na mamluki wengine kama wewe ni kwamba hatujawahi kuogopa vitisho vya kibwege , nakupa onyo la mwisho , usijaribu tena kunitisha .
bado unaamini ni udaku ?Naona Raia mwema ni gazeti la udaku lililopooza...linajitahidi kutumia nguvu nyingi kuziba gape lililoachwa na magazeti ya Musiba..
itaandika hizi issue ht mwaka mzima na hakuna kitu itafanyika...kukaa na kujadili udaku km huu ambao hautakuja kufanyiwa kazi ni matumizi mabaya ya muda na Ubongo.
Safari hii Kaisha !
Mwacheni mbowe apumzikeMBOWE KWA SASA TUNALAMBA NAYE ASALI.... HATAKI HATA KUMTINGISHA MAMA. "MJINI HAPA KAA KIMASTER"
Kwahyo umemaliza au umetupa taarifa za mwakibeteBwana Bams, Jaji hakamatwi kizembe bila kufuata utaratibu maalumu. Hata marehemu Jaji Moses John Mwakibete alivyovuliwa ujaji kwa tuhuma za rushwa hakukamatwa kizembe kama ambavyo wengi mnapendekeza. Katiba iko wazi kabisa kuhusu utaratibu wa kumuwajibisha Jaji wa mahakama kuu. Haya mengine ni mihemko ya kisiasa na hasira zisizokuwa na matokeo mazuri.....
Nimefanya vyote: Nimewapasha taarifa za utaratibu wa kikatiba uliotumika kumwondoa Mwakibete, na kumalizia kuwaambia ukweli mchungu kwamba Jaji haondolewi kizembe bila kufuata utaratibu. Aidha ajiuzulu mwenyewe, au katiba ifuate mkondo wake. Hizi nyingine ni upepo wa siasa ambao utapita tu.....Kwahyo umemaliza au umetupa taarifa za mwakibete
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Nje kabisa ya mada yaaniMBOWE KWA SASA TUNALAMBA NAYE ASALI.... HATAKI HATA KUMTINGISHA MAMA. "MJINI HAPA KAA KIMASTER"
Kabisa yaani !Nguvu ya mafisadi hiyo.