Sakata la 'Plea Bargain': Wadau wamwandikia barua Rais Samia kutaka amuondoe Biswalo Mganga

Anaweza kikamatwa na kushtakiwa kwa makosa ya kijinai ambayo 8tathibitika yalikuwa ni ya kujinufaisha yeye b8nafsi na ujaji unakuwa mwisho. Kitakachofuata ni utaratibu tu wa kawaida wa kumwondoa rasmi baada ya kuthibitika uhalifu wake.

Lakini hawezi kushtakiwa makosa yale aliyoyafanya wakati akitimiza wajibu wake. Wa kikazi.
 
Anaweza kikamatwa na kushtakiwa kwa makosa ya kijinai, na ujaji unakuwa mwisho. Kitakachofuata ni utaratibu tu wa kawaida wa kumwondoa rasmi baada ya kuthibitika uhalifu wake.
Bwana Bams, Jaji hakamatwi kizembe bila kufuata utaratibu maalumu. Hata marehemu Jaji Moses John Mwakibete alivyovuliwa ujaji kwa tuhuma za rushwa hakukamatwa kizembe kama ambavyo wengi mnapendekeza. Katiba iko wazi kabisa kuhusu utaratibu wa kumuwajibisha Jaji wa mahakama kuu. Haya mengine ni mihemko ya kisiasa na hasira zisizokuwa na matokeo mazuri.....
 
Anayewateua ni nani ? halafu labda kwa faida yako na mamluki wengine kama wewe ni kwamba hatujawahi kuogopa vitisho vya kibwege , nakupa onyo la mwisho , usijaribu tena kunitisha .
 
Kinachowasumbua nyinyi Chadema na genge kisasi lenu,ni machungu ya kupotezwa ulaji kupitia bungeni.

"Raia Mwema" ni kipeperushi cha mtu anaitwa Saed Kubenea kwa sasa.

Wote tunamkumbuka kwamba alikuwa mbunge wa chadema kabla ya kudukuliwa wakipanga kumpindua Mbowe.

Machungu yake kwa JPM yanatokana na yeye alipoenda Kenya na kupokea pesa kutoka source isiyojulikana.
Kwa lengo la kuja kuboost harakati za kampeni zake ili kuupata ubunge.

Bahati mbaya alibaki kulia machozi kama mtoto baada ya kushindwa kuzitolea maelezo pesa zile za kigeni alizokamatwa nazo akiingia nchini kupitia Namanga border.
Yaliyompata Kubenea ilikuwa sawia na yaliyompata Membe na pesa kutoka Dubai.

Sasa tangia hapo kundi hili la chadema na kubenea pamoja na chawa wao huyu Erythrocyte humu JF.

Wamechagua njia ya visasi kuwa sehemu ya maisha yao ya kila siku.

Jamii inawasoma taratibu hatimae mtasuswa zaidi.sasa hivi hata hayo mauzo ya Raia Mwema ni tabu.
 

Plea bargain ipo kisheria hakuna atakaye shitakiwa mnapoteza muda! Kaiondoeni bungeni
 

Na sheria ya plea bargain ilipitishwa bungeni na kutungwa bungeni
 
Duh!..hivyo walioumizwa waiachie tu karma au sio ?
 
Mku Raia Mwema haliwezi kuwa la Udaku.
Ni moja ya Gazeti linalotoa Elimu ya Uraia
 
Anaondolewa Rais itakuwa Jaji? Acha upuuzi wewe! Hakuna kazi ambayo mtu haondolewi ila lazima taratibu zifuatwe tuu. Kwani huyo Biswalo nchi hii ni kampuni ya baba yake?
Tume ya kijaji itaundwa na wawili kati yao hao watatu wakiona ana hatia Rais amamvua hadhi ya ujaji na anashtakiwa kama raia wa kawaida.
Hayo mengine sijui ya chama na upuuzi gani mwingine ni ujinga wako tuu na uko nje ya mada hivyo tulia usituzengue

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kwani Kubenea bado yuko Chadema ?
 
Huyo Biswalo alikuwa anatekeleza sheria ya Plea Bargain iliyopitishwa na Bunge la Mbogamboga.
Mbona Mzee Rugemarila alikataa kufanya mazungumzo na serikali,Kuna mtu alimbugudhi?
Kama Wana madai halali na wanaona walionewa si wafungue kesi kuishitaki serikali?
 
Nadhan hoja ya msingi ni pesa au mali zao la plea bargaining viko wapi! Haya mengine tunahama tu reli. Ili kama walikula watu kiholela wawajibike.
 
Wewe unahemka bila kuijua sheria au katiba 8nasemaje kuhusu jaji wa Mahakama.

Kuna nafasi amvazo Rais anaweza kuteua lakini hawezi kutengua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…