Sakata la Richmond: Lowassa amjibu Mwakyembe, asema asitafte mtaji wa kisiasa

Sakata la Richmond: Lowassa amjibu Mwakyembe, asema asitafte mtaji wa kisiasa

Ni heri kuitwa Mpumbavu na wapumbavu kuliko kuwa Mpumbavu kwa upumbavu wa kutoona ufisadi wa Lowassa!!

Wewe ni lipumbavue kwa sababu unajue serikali inawajibka kulinda maslahi ya Watanzania wote. Unapobaki unalalamika lowasa fisadi na unajua kusema sema tu hakumalizi tatizo unakuwa ni lipulmbaue la mapumbaveu.. We do not need stupid politics on serious matters that are threatening our life and much more the existence of our generations.

It takes only fools like you to remain complaining without taking legal actions against criminals while you are legally liable for th at. Sheria imekupa mamlaka hayo, una mahakama,unasera, una wataalamu, una polisi, una magereza una kila kitu chii yao cha kuku wezeka kukamata mafisadi na kuyafilisi na kuyafunga hata kama ni maisha. Halafu unakaa unaonge upumbavua hapa kama juhan lisilojitambua wala halifjui ninilifanye.

Ni mapumbavue kama wewe yanayoweza kuwa yanapiga kelele fulani mwizi halafu yakiambiwa mpleke mahakani hili haki itendeke yanabaki usema upumbavue kama wewe.

Unalalamika nini? Lowasa ajipeleke mahakamani mwenyewe? Umeona ufiadi, that is good and well, what next? Kukaa mnaongea upumbavue mitandanoni na kwenye mikutano kunarejeshaje mali ilyoibwa au kunafidiaje maumivu ya Wtanzania wanaooumia na walioumizwa na ufisaji huo?

Niniy ni mapumbavue na mtaendelea kuwa mapumbuaveu hadi pale mtakapo jua nihyin yi mapumbavue, mkakubali kwamba kweli ninyi ni mapubmvue an kuchukua hatua. PUmabavue sana sana!
 
Wewe ni lipumbavue kwa sababu unajue serikali inawajibka kulinda maslahi ya Watanzania wote. Unapobaki unalalamika lowasa fisadi na unajua kusema sema tu hakumalizi tatizo unakuwa ni lipulmbaue la mapumbaveu.. We do not need stupid politics on serious matters that are threatening our life and much more the existence of our generations.

It takes only fools like you to remain complaining without taking legal actions against criminals while you are legally liable for th at. Sheria imekupa mamlaka hayo, una mahakama,unasera, una wataalamu, una polisi, una magereza una kila kitu chii yao cha kuku wezeka kukamata mafisadi na kuyafilisi na kuyafunga hata kama ni maisha. Halafu unakaa unaonge upumbavua hapa kama juhan lisilojitambua wala halifjui ninilifanye.

Ni mapumbavue kama wewe yanayoweza kuwa yanapiga kelele fulani mwizi halafu yakiambiwa mpleke mahakani hili haki itendeke yanabaki usema upumbavue kama wewe.

Unalalamika nini? Lowasa ajipeleke mahakamani mwenyewe? Umeona ufiadi, that is good and well, what next? Kukaa mnaongea upumbavue mitandanoni na kwenye mikutano kunarejeshaje mali ilyoibwa au kunafidiaje maumivu ya Wtanzania wanaooumia na walioumizwa na ufisaji huo?

Niniy ni mapumbavue na mtaendelea kuwa mapumbuaveu hadi pale mtakapo jua nihyin yi mapumbavue, mkakubali kwamba kweli ninyi ni mapubmvue an kuchukua hatua. PUmabavue sana sana!
Hahaa, inaonekana umehitimu lugha chafu wee mtu..!!

Ngoja nikukumbushe maneno yenu haya..

Halafu unaiambia mimi na wewe/ninyi nani mpumbavu..!!!

Mbowe: Lowassa ni dhaifu, ni bubu


Pitia na hapa chini ujikumbushe ujinga wenu huu..




Usijifanye hamnazo kwamba hujui nani waliomtuhumu Lowasa kuwa ni fisadi..

 
Kuhusu kauli ya Mnyika namuunga mkono na ndio maana hata mimi nilileta huu uzi hapa chini:

Hoja ya kurudisha Bungeni sakata la Richmond iende sambamba na kuondoa kinga ya Rais

Ukweli ni kwamba ukipitia taarifa ya kamati ya Mwakyembe mwanzo mwisho huwezi kuamini kuwa yote yale yalifanyika bila bwana fulanj kujua.Ni mwendawazimu pekee ndio atakaeamini hivyo.

Mtu mwenye akili lazima ujiulize maswali haya 9 yafuatayo hapa chini:

1.Kwanini Lowassa hakuhojiwa?

2.Lowassa angehojiwa na katika kujittetea unadhani angemtaja nani?

3.Na kama angetaja mtu/watu katika kujitetea,unadhani angetaja wa chini yake tu bila kumtaja bwana fulani?

4.Je,unadhani Mwakyembe na kamati yake hawakujua hatari ya kumuhoji Lowassa?

5.Kama wangemuhoji Lowassa, unadhani Mwakyembe na timu yake walikuwa tayari kumtaja(kumu-implicate) mh.sana wa wakati huo katika taarifa yao walioiwasilisha Bungeni?

6.Wangemtaja mh.sana wa wakati huo katika ripoti yao,unadhani nini kingefuata?

7.Unadhani Lowassa nae angeweza kueleza kila kitu mbele ya Bunge kabla ya kujiuzulu?

8.Na yeye kama angeeleza ukweli wote anaoujua,unadhani nini kingefuata?

9.Unadhani angeondoka Lowassa peke yake bila fulani kuingia matatani?

Haya mambo yanawezekana tu katika nchi za wenzetu na sio huku kwetu tunakowaona kina fulani kama miungu watu.

Tuache kupotezeana muda na kudanganyana.

Mengi uliyoandika ni hearsay yaani ushahidi wa kusikia. Kitu muhimu ni kumpeleka Lowasa mahakama ya mafisadi ajitetee huko. Kama dpp hana ushahidi ataachiwa. Porojo yote ni ya nini?
 
Mwakyembe alitoa ahadi wakati wa kampeni kuwa watamfikisha mahakamani Lowassa sijui ahadi ataitekeleza lini?
 
Mheshimiwa Nasari ndiye aliyelirudisha hili Bungeni. Mheshimiwa Mwakyembe alikuwa akimjibu tu Mheshimiwa Nasari.
Nafikiri kama ni suala la "kutafuta mtaji wa kisiasa" basi lilifanywa na Mheshimiwa Nasari. Lowasa aelekezwe vizuri tu kuongea na Mbunge "wake" kuhusu yeye, richmond na mtaji wa kisiasa anaoutaja.
 
Mheshimiwa Nasari ndiye aliyelirudisha hili Bungeni. Mheshimiwa Mwakyembe alikuwa akimjibu tu Mheshimiwa Nasari.
Nafikiri kama ni suala la "kutafuta mtaji wa kisiasa" basi lilifanywa na Mheshimiwa Nasari. Lowasa aelekezwe vizuri tu kuongea na Mbunge "wake" kuhusu yeye, richmond na mtaji wa kisiasa anaoutaja.

Huoni kama hii ndio "golden chance" ya Serikali kupitia Mahakama ya Mafisadi kumtia hatiani huyu Lowassa.Nadhani Nassari anapaswa kushukuruiwa kwa kuirahisishia Serikali kazi ya kummaliza huyu "Fisadi Lowasa"
 
Usijifanye hamnazo kwamba hujui nani waliomtuhumu Lowasa kuwa ni fisadi..

NA NDIO MAANA WAKATI WA KAMPENI 2015 MLISEMA KUWA MKIINGIA IKULU MTAANZISHA MARA MOJA MAHAKAMA YA MAFISADI . TUNAONA MIAKA INAENDA NA HAMUMPELEKI LOWASA KATIKA HIYO MAHAKAMA.

AU MNAMUOGOPA??????????????????

CCM maji taka.jpg
SEMA USIKIKE.....


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Huoni kama hii ndio "golden chance" ya Serikali kupitia Mahakama ya Mafisadi kumtia hatiani huyu Lowassa.Nadhani Nassari anapaswa kushukuruiwa kwa kuirahisishia Serikali kazi ya kummaliza huyu "Fisadi Lowasa"

MIDOMO MALI YENU HAMLIPII KODI TRA. MNAISHIA KUONGEA TU KATIKA KEYBOARD

MBONA SIKU ZINAENDA TU HAMUMPELEKI, AU MNAMUOGOPA??????
 
NA NDIO MAANA WAKATI WA KAMPENI 2015 MLISEMA KUWA MKIINGIA IKULU MTAANZISHA MARA MOJA MAHAKAMA YA MAFISADI . TUNAONA MIAKA INAENDA NA HAMUMPELEKI LOWASA KATIKA HIYO MAHAKAMA.

AU MNAMUOGOPA??????????????????

SEMA USIKIKE.....


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Hilo swali ulilouliza ukipata jibu lake nistue Mkuu
 
View attachment 499376

Ikiwa siku chache baada ya dr Mwakyembe kudai Lowasa ni muhusika mkuu wa Richmond na hachomoki waziri mkuu huyo wa zamani amjibu.

Lowasa amedai kama ana udhibitisho inatakiwa aende mahakamani sio bungeni na kwenye majukwaa ya siasa ili ubishi uishe.

Ila Lowasa akamkumbusha ukweli unajulikana hadi kwa watanzania waliompigia kura wanajua muhusika mkuu wa Richmond ni nani.

Na Mnyika adai Kikwete nae ajiandae kuja kuijibia Richmond na aiomba serikali na bunge wapeleke mswada wa kumwondolea rais kinga.

Maoni:
Waziri mkuu najua hasaini mikataba ila ni msimamizi wa serikali bungeni na wala sio mwenyekiti wa baraza la mawaziri ila Rais ndo mwenyekiti. Hii issue la msingi ni kuipeleka mahakama ya mafisadi ilianzishwa kwa nini?
CHADEMA wanayataka wenyewe. Tatizo wamelikumbatia wenyewe halafu wanataka mtu mwingine awasaidie kulitatua! Ni nani ambaye hakuwasikia Chadema na upinzani wakimtukana sana Lowassa kuwa ni FISADI PAPA na leo hii wanaye ofisini kwao! Kama ni aibu tayari wameshaipata, mambo ya Richmond waachane nayo.
 
LOWASSA NA KIKWETE NI WAHUSIKA WA RICHMOND.
TOA KINGA YA RAIS KUSHITAKIWA PELEKA HAWA MAHAKAMANI MAFISADI PERIOD.
Kikwete alishamkataa Lowassa na matamshi ya kumkataa aliyatoa akiwa kwenye kiwanja cha CCM KILUMBA Mwanza wakati wa kufunga kampeini za uchaguzi mkuu wa mwaka 2015
 
MIDOMO MALI YENU HAMLIPII KODI TRA. MNAISHIA KUONGEA TU KATIKA KEYBOARD

MBONA SIKU ZINAENDA TU HAMUMPELEKI, AU MNAMUOGOPA??????

Nisome tena Mkuu,ndio maana nimekuquote kwenye post yako nikasema kama utajibiwa swali ulilouliza nistue.Hiyo Mahakama ya Mafisadi tangu imefunguliwa mpaka leo hatujaona utandaji wake.Basi waanze na Lowasa wanaemtuhumu kila kukicha
 
Nisome tena Mkuu,ndio maana nimekuquote kwenye post yako nikasema kama utajibiwa swali ulilouliza nistue.Hiyo Mahakama ya Mafisadi tangu imefunguliwa mpaka leo hatujaona utandaji wake.Basi waanze na Lowasa wanaemtuhumu kila kukicha
Aliyemtuhumu Lowasa ni sisi CHADEMA kwa miaka yote. Usitake kupindisha ukweli. Unless useme ulikuwa hujazaliwa.
 
Mitambo ya Richmond ni mradi wa mashirika ya kijasusi ya marekani ikiwamo CIA,mitambo hiyo baada "ilibadilishiwa jina" na kuitwa Symbion Power.

Marekani ana tabia ya kutojihusisha na miradi yenye harufu ya ufisadi,lakini mitambo ya Richmond(baadae symbion) ilitembelewa na Rais George Bush,Rais Obama,Condoleza Rice(nadhani) na pia mama Hillarly Rodham Clinton. Hii nadhani ilikuwa ni kuwapa ishara wapiga domo kwamba "kaeni mbali na hii kitu"

Obama alizindua mradi wa AfricaPower house wenye lengo la kusambaza umeme Afrika akiwa anaitazama mitambo ya Richmond(sasa symbion power)

Pia baada ya Lowasa kuondoka madarakani,bado serikali iliendelea na bado inaendelea kununua umeme wa symbion power na hakuna transaction wala kampuni inayoonyesha ilipokea au inapokea pesa kwa niaba ya Lowasa kutokana na umeme unaouzwa na symbion power.
Nachishkuru hum jf kun watu wapkee katk kutoa maoni napia waushahid wa maan ila katk hili la Richmond ukwel wajinga watabk kuwa wapumbavu,ivi waziri mkuu ni nani na anafny kaz juu ya nani pia je ubaya wa wazili mkuu unajua msingi wake?achen kubisha kit kipo waz mh.aulizwe ndo mhudika mkuu
 
Back
Top Bottom