Sakata la Richmond: Lowassa amjibu Mwakyembe, asema asitafte mtaji wa kisiasa

Sakata la Richmond: Lowassa amjibu Mwakyembe, asema asitafte mtaji wa kisiasa

Polonium ndio inamsumbuwa Mwakyembe ubongo umeshaoza umejaa fungus.

Mwakyembe na marehemu Samuel Sitta ni watu wa ajabu sana kuwahi kutokea hapa duniani.
Unamjua nani alimwagia hiyo Polonium na kwanini?
 
Kuhusu kauli ya Mnyika namuunga mkono na ndio maana hata mimi nilileta huu uzi hapa chini:

Hoja ya kurudisha Bungeni sakata la Richmond iende sambamba na kuondoa kinga ya Rais

Ukweli ni kwamba ukipitia taarifa ya kamati ya Mwakyembe mwanzo mwisho huwezi kuamini kuwa yote yale yalifanyika bila bwana fulanj kujua.Ni mwendawazimu pekee ndio atakaeamini hivyo.

Mtu mwenye akili lazima ujiulize maswali haya 9 yafuatayo hapa chini:

1.Kwanini Lowassa hakuhojiwa?

2.Lowassa angehojiwa na katika kujittetea unadhani angemtaja nani?

3.Na kama angetaja mtu/watu katika kujitetea,unadhani angetaja wa chini yake tu bila kumtaja bwana fulani?

4.Je,unadhani Mwakyembe na kamati yake hawakujua hatari ya kumuhoji Lowassa?

5.Kama wangemuhoji Lowassa, unadhani Mwakyembe na timu yake walikuwa tayari kumtaja(kumu-implicate) mh.sana wa wakati huo katika taarifa yao walioiwasilisha Bungeni?

6.Wangemtaja mh.sana wa wakati huo katika ripoti yao,unadhani nini kingefuata?

7.Unadhani Lowassa nae angeweza kueleza kila kitu mbele ya Bunge kabla ya kujiuzulu?

8.Na yeye kama angeeleza ukweli wote anaoujua,unadhani nini kingefuata?

9.Unadhani angeondoka Lowassa peke yake bila fulani kuingia matatani?

Haya mambo yanawezekana tu katika nchi za wenzetu na sio huku kwetu tunakowaona kina fulani kama miungu watu.

Tuache kupotezeana muda na kudanganyana.
Mbona hakuna mwanachadema aliye tayari kutaka suala la Richmond lirudishwe bungeni? Mnaogopa nini? Si ndio mngefurahi ili mkulu aliyepita atajwe na Lowassa ajutetee tuujue ukweli? Kama wanaume kweli, ombeni review!
 
Kama hakuhusika kwanini alijuhudhuru??? Ata kama jk alihusika ila yeye ndiyo alikuwa anaongoza mchakato mzima na ndiyo maana aliamua kung'atuka..
 
View attachment 499376

Ikiwa siku chache baada ya dr Mwakyembe kudai Lowasa ni muhusika mkuu wa Richmond na hachomoki waziri mkuu huyo wa zamani amjibu.

Lowasa amedai kama ana udhibitisho inatakiwa aende mahakamani sio bungeni na kwenye majukwaa ya siasa ili ubishi uishe.

Ila Lowasa akamkumbusha ukweli unajulikana hadi kwa watanzania waliompigia kura wanajua muhusika mkuu wa Richmond ni nani.

Na Mnyika adai Kikwete nae ajiandae kuja kuijibia Richmond na aiomba serikali na bunge wapeleke mswada wa kumwondolea rais kinga.

Maoni:
Waziri mkuu najua hasaini mikataba ila ni msimamizi wa serikali bungeni na wala sio mwenyekiti wa baraza la mawaziri ila Rais ndo mwenyekiti. Hii issue la msingi ni kuipeleka mahakama ya mafisadi ilianzishwa kwa nini?
Leteni hoja ya Richmond Bungeni, acheni, kubabaisha.
 
Kujiuzulu ulikuwa uwajibikaji wa kisiasa tu. Sasa mnaweza kumpeleka mahakamani tu. Hilo suala bungeni lilishatoka!
Acheni visingizio. Kanuni zinaruhusu. Mwabieni TL awasomee. Hoja irudishwe bungeni ili FISADI Lipewe Natural justice.
 
kwa sasa kashafa nyingi zinatumika kama mtaji wa kisiasa. sio upande wa serikali wala upinzani. mwakyembe yuko serikalini na wala hajamshauri hata siku moja rais jambo hili liende mahakamani. huu ni unafiki wa hali ya juu...
 
Polonium ndio inamsumbuwa Mwakyembe ubongo umeshaoza umejaa fungus.

Mwakyembe na marehemu Samuel Sitta ni watu wa ajabu sana kuwahi kutokea hapa duniani.
Waambieni wabunge zenu warudishe hoja ya Richmond Bungeni, mbona mnabweka sana??

Toka lini mkawa watetezi wa Kikwete? Ccm?
Nadhani hiyo ni fursa ya kuivua nguo CCM NA SERIKALI YAKE,
Ajabu sasa badala ya kuitumia fursa mnaanza kuleta vioja, "Ooh Kikwete haponi, ooh ianze hoja ya kumuondolea kinga Rais, ooh polonium inamsumbua Mwakyembe," aliyempa polonium Mwakyembe ni nani kama sio huyo huyo fisadi mnayemkumbatia sasa hivi??

Badala ya kurudisha hoja Bungeni mnaanza kufukua makaburi sasa, "ooh Sitta na Mwakyembe ni watu wa ajabu sana", hebu muacheni mzee wa watu ahangaike na yake ya huko aliko, ya huku alishamaliza na tulishaagana naye!!
 
Kuhusu kauli ya Mnyika namuunga mkono na ndio maana hata mimi nilileta huu uzi hapa chini:

Hoja ya kurudisha Bungeni sakata la Richmond iende sambamba na kuondoa kinga ya Rais

Ukweli ni kwamba ukipitia taarifa ya kamati ya Mwakyembe mwanzo mwisho huwezi kuamini kuwa yote yale yalifanyika bila bwana fulanj kujua.Ni mwendawazimu pekee ndio atakaeamini hivyo.

Mtu mwenye akili lazima ujiulize maswali haya 9 yafuatayo hapa chini:

1.Kwanini Lowassa hakuhojiwa?

2.Lowassa angehojiwa na katika kujittetea unadhani angemtaja nani?

3.Na kama angetaja mtu/watu katika kujitetea,unadhani angetaja wa chini yake tu bila kumtaja bwana fulani?

4.Je,unadhani Mwakyembe na kamati yake hawakujua hatari ya kumuhoji Lowassa?

5.Kama wangemuhoji Lowassa, unadhani Mwakyembe na timu yake walikuwa tayari kumtaja(kumu-implicate) mh.sana wa wakati huo katika taarifa yao walioiwasilisha Bungeni?

6.Wangemtaja mh.sana wa wakati huo katika ripoti yao,unadhani nini kingefuata?

7.Unadhani Lowassa nae angeweza kueleza kila kitu mbele ya Bunge kabla ya kujiuzulu?

8.Na yeye kama angeeleza ukweli wote anaoujua,unadhani nini kingefuata?

9.Unadhani angeondoka Lowassa peke yake bila fulani kuingia matatani?

Haya mambo yanawezekana tu katika nchi za wenzetu na sio huku kwetu tunakowaona kina fulani kama miungu watu.

Tuache kupotezeana muda na kudanganyana.
Mbona leo mmekuwa watetezi zaidi wa Kikwete na waoga wa kuirudisha hoja Bungeni??
Kwanini msikubali kuirudisha hoja Bungeni ili Lowasa akatapike sumu Bungeni kusudi ukweli uwe wazi na aibu zibaki kwa serikali??

Ila nyie nanyi ni zaidi ya wendawazimu!!
Kwasababu huwezi kumtenganisha waziri mkuu na serikali wakati waziri mkuu ndiye mtendaji mkuu wa shughuli zote za serikali...
 
View attachment 499376

Ikiwa siku chache baada ya dr Mwakyembe kudai Lowasa ni muhusika mkuu wa Richmond na hachomoki waziri mkuu huyo wa zamani amjibu.

Lowasa amedai kama ana udhibitisho inatakiwa aende mahakamani sio bungeni na kwenye majukwaa ya siasa ili ubishi uishe.

Ila Lowasa akamkumbusha ukweli unajulikana hadi kwa watanzania waliompigia kura wanajua muhusika mkuu wa Richmond ni nani.

Na Mnyika adai Kikwete nae ajiandae kuja kuijibia Richmond na aiomba serikali na bunge wapeleke mswada wa kumwondolea rais kinga.

Maoni:
Waziri mkuu najua hasaini mikataba ila ni msimamizi wa serikali bungeni na wala sio mwenyekiti wa baraza la mawaziri ila Rais ndo mwenyekiti. Hii issue la msingi ni kuipeleka mahakama ya mafisadi ilianzishwa kwa nini?

 
Wanasiasa sio watu wa kuwaamini ni watu wa kuwaelewa.
Hapa kuna watu wanapata shida maana waliamini fisadi, sasa Wanalazimika kuamini ni Msafi.
Matumizi mabaya ya Imani haya
Afadhali umeliona hili...
 
Mwakyembe uwezo wake wa kufikiri na kuweka kumbukumbu ni "Bash.ite" Zerooo.

PhD yake anaidhalilisha utadhani nayo haikufuata utaratibu.


Huyu hata DAB akimwambia akamsafishie choo ataenda ilimradi tu asipoteze uwaziri.

Amepitia wizara ngapi mpaka sasa na alifanya nini kwenye wizara hizo? Kama sio kufumbiwa macho kwa madudu aliyoyafanya kwenye hizo wizara asingekuwa ofisini mpaka sasa.
Unaongea nini wewe??
Mwakyembe kasema kama mnaona mzee wenu alionewa taratibu zinaruhusu, rudisheni hoja ya Richmond bungeni upya, halafu mambo yawekwe hadharani..!!

Hoja ni "Iwapo mwaona Lowasa alionewa..!!" sasa mnaanza kurusharusha miguu, nani kakuambia Mwakyembe ni perfect??

Halafu mnatahadharisha kuhusu Kikwete na kuweka sharti la kuondolewa kinga ya urais...
Kuna nini mnakihofia mpaka muweke vikwazo??
Kwanini msianze kwa kumvua nguo mstaafu kwanza kila kitu kikawa wazi kisha mkapeleka hoja ya kuondoa kinga wakati mnakidhibiti mkononi??
 
Mwakyembe uwezo wake wa kufikiri na kuweka kumbukumbu ni "Bash.ite" Zerooo.

PhD yake anaidhalilisha utadhani nayo haikufuata utaratibu.


Huyu hata DAB akimwambia akamsafishie choo ataenda ilimradi tu asipoteze uwaziri.

Amepitia wizara ngapi mpaka sasa na alifanya nini kwenye wizara hizo? Kama sio kufumbiwa macho kwa madudu aliyoyafanya kwenye hizo wizara asingekuwa ofisini mpaka sasa.
Hii yote haisafishi sakata la Richmond
 
Back
Top Bottom