Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sawa na kusafisha kinyesi kwa maji na sabuni eti kiwe kisafi!Kumsafisha Lowasa ni sawa na kusafisha matone ya lami kwa kuyapangusa "Mwakyembe"
Matumaini ya kufyonza hadi damu!Na Declare interest kuwa NAMPENDA LOWASSA, namuamini na naamini ndiye pekee aliyebeba matumaini ya Watanzania.
Sheria ndiyo itamkinga huko mahakamani.Mnyika bana,anamtisha kikwete badala ya kumkinga Lowassa.Hao ndio viongozimvichwa wa chadema
Lete data sio kupayukapayuka tuuLowasa hasafishiki hata kwa dodoki la chuma!
Si kuna mahakama ya Mafisadi?,sasa baba bashite na shelikali yao mbona hawa wapeleki kwa court ( Ndo kuogopa kufukua MAKABURI?.).Sasa hilo dodoki la chuma litamsafishaje kama sio kumchafua damu, wanatumia kitambaa lain, wakisema nenden mahakaman kama mna ushahid wamemaliza hapo!
hii ndo TZ ya viwanda
Muulize john mnyika & Co., wana kila kitu!Lete data sio kupayukapayuka tuu
Nimekuuliza wewe unayepayukaMuulize john mnyika & Co., wana kila kitu!
Mkuu Lowasa hasafishiki. Hata kama dili walipiga na mkuu sana ila jumba bovu ndo lishamwangukia. Aliye kutwa na ngozi ndio mla nyama. Muulize Kubenea na Chadema wanaushahidi kuhusu hili!Kuhusu kauli ya Mnyika namuunga mkono na ndio maana hata mimi nilileta huu uzi hapa chini:
Hoja ya kurudisha Bungeni sakata la Richmond iende sambamba na kuondoa kinga ya Rais
Ukweli ni kwamba ukipitia taarifa ya kamati ya Mwakyembe mwanzo mwisho huwezi kuamini kuwa yote yale yalifanyika bila bwana fulanj kujua.Ni mwendawazimu pekee ndio atakaeamini hivyo.
Mtu mwenye akili lazima ujiulize maswali haya 9 yafuatayo hapa chini:
1.Kwanini Lowassa hakuhojiwa?
2.Lowassa angehojiwa na katika kujittetea unadhani angemtaja nani?
3.Na kama angetaja mtu/watu katika kujitetea,unadhani angetaja wa chini yake tu bila kumtaja bwana fulani?
4.Je,unadhani Mwakyembe na kamati yake hawakujua hatari ya kumuhoji Lowassa?
5.Kama wangemuhoji Lowassa, unadhani Mwakyembe na timu yake walikuwa tayari kumtaja(kumu-implicate) mh.sana wa wakati huo katika taarifa yao walioiwasilisha Bungeni?
6.Wangemtaja mh.sana wa wakati huo katika ripoti yao,unadhani nini kingefuata?
7.Unadhani Lowassa nae angeweza kueleza kila kitu mbele ya Bunge kabla ya kujiuzulu?
8.Na yeye kama angeeleza ukweli wote anaoujua,unadhani nini kingefuata?
9.Unadhani angeondoka Lowassa peke yake bila fulani kuingia matatani?
Haya mambo yanawezekana tu katika nchi za wenzetu na sio huku kwetu tunakowaona kina fulani kama miungu watu.
Tuache kupotezeana muda na kudanganyana.
Mahakama ya mafisadi mliofunguwa ya kazi gani?
Bastola ya nini tena? Weka vyeti acha porojo.
Daaah..... leo una imani na mahakama! Unafki sio kitu kizuri.
Serikali iache maneno. Buruza EL mahakamani tujuwe moja.... Ugumu uko wapi jamani?
Mwakyembe atafungwa jela , ni suala la muda tu , naunga mkono bunge kufuta kinga ya rais ili tuheshimiane .Kuhusu kauli ya Mnyika namuunga mkono na ndio maana hata mimi nilileta huu uzi hapa chini:
Hoja ya kurudisha Bungeni sakata la Richmond iende sambamba na kuondoa kinga ya Rais
Ukweli ni kwamba ukipitia taarifa ya kamati ya Mwakyembe mwanzo mwisho huwezi kuamini kuwa yote yale yalifanyika bila bwana fulanj kujua.Ni mwendawazimu pekee ndio atakaeamini hivyo.
Mtu mwenye akili lazima ujiulize maswali haya 9 yafuatayo hapa chini:
1.Kwanini Lowassa hakuhojiwa?
2.Lowassa angehojiwa na katika kujittetea unadhani angemtaja nani?
3.Na kama angetaja mtu/watu katika kujitetea,unadhani angetaja wa chini yake tu bila kumtaja bwana fulani?
4.Je,unadhani Mwakyembe na kamati yake hawakujua hatari ya kumuhoji Lowassa?
5.Kama wangemuhoji Lowassa, unadhani Mwakyembe na timu yake walikuwa tayari kumtaja(kumu-implicate) mh.sana wa wakati huo katika taarifa yao walioiwasilisha Bungeni?
6.Wangemtaja mh.sana wa wakati huo katika ripoti yao,unadhani nini kingefuata?
7.Unadhani Lowassa nae angeweza kueleza kila kitu mbele ya Bunge kabla ya kujiuzulu?
8.Na yeye kama angeeleza ukweli wote anaoujua,unadhani nini kingefuata?
9.Unadhani angeondoka Lowassa peke yake bila fulani kuingia matatani?
Haya mambo yanawezekana tu katika nchi za wenzetu na sio huku kwetu tunakowaona kina fulani kama miungu watu.
Tuache kupotezeana muda na kudanganyana.
Mumuwekee polonium halafu ɓaɗo mumutukane .Mungu si athumani na yeye atawaonyesha cha mtema kuni kwenƴe afya zenu ziwe mɓaya kuliƙo mwaƙƴemɓeLowasa hakuwa na sababu ya kumjibu huyu victim wa polonium, amuache abwabwaje.
hivi jengo la mahakama ya mafisadi lipo wapi vile....?SASA KUMBE MLIANZISHA YA NINI, AU NI NJAMA ZA KUMALIZA PESA TU NA KUTAFUTA UMAARUFU KISIASA!!!!!!
TUNATAKA ITUMIKE KAMA ILIVYOPANGWA.
TUNAWASUBIRI MWAKA 2020 KATIKA SANDUKU. MTUELEZE MMEHUKUMU MAFISADI WANGAPI