Sakata la Richmond: Lowassa amjibu Mwakyembe, asema asitafte mtaji wa kisiasa

Sakata la Richmond: Lowassa amjibu Mwakyembe, asema asitafte mtaji wa kisiasa

Kwa hili babu ungekaa kimya tu maana kipindi kile huyu kubenea mlimmwagia tindikali baregu mkakata mapanga,wewe ng'ang'ania mahakama tu kama hawakukuweka ndani bila dhamana miaka 50 ukafia huko hao si watu!
Ushauri mzuri asije akamuuzi Magu bure maana hakawiii kukomoa watu wanaojidai wanajua.
 
Si mnaona alichofanyiwa Dr. Mwakyembe baada tu kumtaja Lowasa! Saed Kubenea alifanywa nini kwa issue hiyo hiyo nae. Huu uhuni ilikuwa ni deal ka wachache waliokuwa wanaitafuna nchi yetu.

Msijifanye mmesahau, au wengi wenu mlikuwa wadogo kipindi kile?
 
Huyu s do alikuwa Waziri wa Katiba na Sheria na ndiye aliyekuwa na dhamana ya kusimamia kesi na mahakama.Alishidwaje kumkamata na kumpeleka mahakama ya mafisadi iliundwa chini ya Wizara yake.Leo anakuja na kauli za kutuchanganya kana kwamba ss wote ni.....
 
Chadema kweli misukule,walianza kutekwa,mara Bashite na sasa Richmond utadhani wao hawakuhusika wakati Richmond ikinguruma Bungeni ,pale kuna Hansard na wangekuwa werevu wangerejea kujikumbusha waliyoyasema wakati wa mjadala kuhusu Richmond,kweli nimeamini mchawi mpe mwanao akulelee ,Chadema washajisiriba mavi wananuka na hawatoki kwa kubadili gia angani,kila watakapoenda uvundo unawafuata nyuma.
Maneno meengi, rudisha bunge live, mikutano huru ya vyama vya siasa, punguzeni matumizi mabaya ya polisi na msajili wa vyama pamoja na kuingilia mahakama bila kusahau spika awe fair uone kazi.

Mnatuchosha na mnakela.
 
Richmond
Mwakyembe hakumhoji Lowasa, Mwakyembe amesema wazi angesema yote serikali ingeanguka. Alikuwa anamtetea nani? Yeye amefaidikaje kwa kutosema yote. Kwa nini hakumhoji Lowasa wakati alikuwa akichunguza Richmond au toka mwanzo aliona hiyo ni kesi ya Lowasa?
Lowasa-aliamua kujiuzulu, kwa nini hakujitetea kabla ya kujiuzulu, alikuwa anamlinda nani? Kama hakukubaliana na amri toka juu kwa nini asijiuzulu? Alituambia mheshimiwa alijua yote yanayofanyika, kwa sababu umeme ulikuwa dharura na haya yalizungumziwa cabinet naweza kumuamini Lowasa kwenye hili.
Kikwete-aliambiwa kwenye ule mkutano wa CCM na Lowasa-lakini mkuu kila nililofanya nilikuutaarifu. Baba yetu akala jiwe hakujibu. Kumbukeni Mramba na Mgonja kwa kutumia madaraka yao "vibaya"serikali ya Kikwete iliwafungulia kesi. Jiulize kwa nini serikali hiyo hiyo haikumfungulia kesi EL. Walikuwa wanamlinda EL au mtu mwingine?
JPM: Imekuja serikali ya JPM na Mwakyembe akiwa waziri wa sheria, wakaanzisha mahakama ya"mafisadi". Cha ajabu mpaka leo huyo wanaesema anahusika na Richmond hawajampeleka popote. Wanamlinda Lowasa au mtu mwingine. Nisimuonee baba huyu-yeye kasema hatafukua makaburi.
CCM wanajua hii ngoma yote ilivyochezwa na wale wanaolindwa.
CDM kwa kubadilisha gia angani wamenasa kwenye hili kutopelekwa Lowasa mahakamani haina maana hahusiki, kwa kiasi fulani anahusika kama waziri mkuu na hakujiuzulu "alipopewa maagizo" yale.
Watanzania sioni kama hii Richmond itakwisha labda aje mtu atakae kuwa mkweli aipeleke mbele ya sheria na wahusika wote waondolewe kinga. Vinginevyo kila siku itakuwa Richmond (Escrow, EPA etc wahusika ni wa kile chama chetu). Kumbukeni baba kasema yeye hata fukua makaburi labda aje baba mwingine na aliye tofauti.
 
Mitambo ya Richmond ni mradi wa mashirika ya kijasusi ya marekani ikiwamo CIA,mitambo hiyo baada "ilibadilishiwa jina" na kuitwa Symbion Power.

Marekani ana tabia ya kutojihusisha na miradi yenye harufu ya ufisadi,lakini mitambo ya Richmond(baadae symbion) ilitembelewa na Rais George Bush,Rais Obama,Condoleza Rice(nadhani) na pia mama Hillarly Rodham Clinton. Hii nadhani ilikuwa ni kuwapa ishara wapiga domo kwamba "kaeni mbali na hii kitu"

Obama alizindua mradi wa AfricaPower house wenye lengo la kusambaza umeme Afrika akiwa anaitazama mitambo ya Richmond(sasa symbion power)

Pia baada ya Lowasa kuondoka madarakani,bado serikali iliendelea na bado inaendelea kununua umeme wa symbion power na hakuna transaction wala kampuni inayoonyesha ilipokea au inapokea pesa kwa niaba ya Lowasa kutokana na umeme unaouzwa na symbion power.
umenena vyema wenye aikili watakuelewa kama mimi nilivyokuelewa Richmond imebadilishwa jina leo hii inaitwa symbion kwa bahati nzuri Obama kabla ya kuondoka kurudi marekani alipitia kuzindua hiyo mitambo akiwa ameongozana na rais mstaafu sio waziri mkuu wa zamani je kuna ambaye bado hajamjua mhusika wa richmond?Mwakikyembe anapaswa kuvumiliwa kama lipumba ni msomi lakini mambo yake anayozungumza si ya kisomi coz wasomi hawapaswi kuropoka bila kifikiri
 
Acheni ujinga kumtetea lowasa nawakati kujuhuzuru kwake kunadhihilika kuwa ni muhusika warichmond. Ningeenda kushtak ila sina mamlaka
 
Hili ndilo wazo langu sana. Hii richmond ndio symbion kwa sasa. Mzinduzi wa symbion allikuwa Obama alipokuja tz. Na kweli Bush na viongozi wengine waandamizi wa USA wamewahi tembelea mitambo ya symbion na kuisifu kazi yake. Ndio hapo naona si Lowasa wala Kikwete bali shinikizo la mashetani wa dunia USA. Halafu nasikia Pombe amedhamilia kuuvunjilia mbali huo mkataba. Tahadhali, namuomba awe anatembelea jukwaa la JF intelegence hasa makala The Bold. Ni vema akamjua adui huyu wa dunia kabla hajafanya maamuzi.
Ngoja tuone hizi drama,ukienda kuulalamikia mkataba wa symbion power ofisini kwao,balozi wa marekani anakuja na kabrasha linaloonyesha matrilioni ya msaada ambayo umeshapata na mengine ambayo umesaini juzi kuyapata,anakutupia mezani kabla hamjaanza kuongea ili tulinganishe na vibilioni unavyoilipa symbion

Baadae unaambiwa chagua tuendelee na lipi? Msaada au Symbion
 
Hii mijadala yote inaibuliwa ili kuamisha upepo swala la bashite, watanzania wana kwenda na matukio ya kuibuka tu bila kutafuta mwisho wake.
 
54.-(1) There shall be a Cabinet the members of which shall be the VicePresident, the Prime Minister the President of Zanzibar, and all the Ministers. (2) The President shall attend the meetings of the Cabinet and shall preside over those meetings. In the event the President is absent, the meetings shall be presided over by the Vice-President, and if both President and the VicePresident are absent, the Prime Minister shall preside over the meetings. (3) Subject to the provisions contained in Article 37(1) of this Constitution, the Cabinet shall be the principal organ for advising the President regarding all matters concerning the exercise of his powers in accordance with the provisions of this Constitution, and it shall assist and advise the President over any matter which shall be submitted to the Cabinet pursuant to specific or general directions issued by the President. (4) The Attorney General shall attend all the meetings of the Cabinet and shall have all the rights of a member of those meetings save that he shall not have the right to vote at such meetings. (5) The question whether any advice, and if so, what advice was given by the Cabinet to the President, shall not be inquired into any cour..soma hiii afu jiongeze
 
View attachment 499376

Ikiwa siku chache baada ya dr Mwakyembe kudai Lowasa ni muhusika mkuu wa Richmond na hachomoki waziri mkuu huyo wa zamani amjibu.






Lowasa amedai kama ana udhibitisho inatakiwa aende mahakamani sio bungeni na kwenye majukwaa ya siasa ili ubishi uishe.

Ila Lowasa akamkumbusha ukweli unajulikana hadi kwa watanzania waliompigia kura wanajua muhusika mkuu wa Richmond ni nani.

Na Mnyika adai Kikwete nae ajiandae kuja kuijibia Richmond na aiomba serikali na bunge wapeleke mswada wa kumwondolea rais kinga.

Maoni:
Waziri mkuu najua hasaini mikataba ila ni msimamizi wa serikali bungeni na wala sio mwenyekiti wa baraza la mawaziri ila Rais ndo mwenyekiti. Hii issue la msingi ni kuipeleka mahakama ya mafisadi ilianzishwa kwa nini?
Hakuna watu wanafiki duniani kama CHADEMA ninyi so mlitumia gazeti hili na Mwanahalisi kumtangaza Lowassa kuwa Fisadi kwa miaka 8??? Leo mnageukaje tens kusema ni Malaika?
 
Mwakyembe akili zake ni sawa na Harmorapper ameshajipotezea tunamuopna kama chizi tu siku hizi! Ubongo umeshajifiaa zamaniiii!!!! Watoe kinga ya JK walete maakamanii uone mziki wake!!!
 
yaani kumsafisha Lowassa ni sawa na kuosha kinyesi upate chakula
 
Yani ukitaka kumsafisha lowassa lazima upige viroba 5 maana unahitaji akili zisizo halili
 
Peleka upuuzi wewe fisi,amesema nendeni mahakani,na mnyika kasema pia mbunge liondoe kinga ya Rais muone kama nani fisadi hapo
Mi nilitegemea utoe mawazo yako,
Sio mnyika kasema nini. El hata afanye nini hawezi safishika
 
Back
Top Bottom