kama kazz
JF-Expert Member
- Apr 28, 2015
- 1,080
- 581
Lowasa hasafishiki hata kwa dodoki la chuma!
Yule jamaa mtabaki hivyo hivyo asafishiki ila hamuwezi kumfanya kitu •
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lowasa hasafishiki hata kwa dodoki la chuma!
Alipata kura zilizotangazwa milioni 6(acha zile zilizoibiwa karibu milioni mbili) hii ni ishara kwamba watanzania walishampuuza mwakyembe na madai yakeYule jamaa mtabaki hivyo hivyo asafishiki ila hamuwezi kumfanya kitu •
Huko nje ya nchi aliambulia patupu.....hiyo kampuni ina mizizi ndani ya roho ya taifa la marekani,ndani ya roho.Mwakyembe ni Mwanasheria wa ajabu sana. Si ajabu alikuwa ni mtaalamu wa kudesa na kukariri huyu.
Hata kama unafanya uchunguzi na sio kuhukumu, unawezaje "kuwahoji" watu zaidi ya 75, wengine nje ya Nchi, na ukaacha kumuhoji prime suspect ili ujiridhishe beyond reasonable doubt kwamba facts ulizokusanya zipo sahihi to the dot?
Alichoongea Bungeni juzi ni upuuzi mtupu.
We unaongea kwa mahaba ya mtu fulani na hujajikita katika kujua chain of decision making iko vipi, waziri mkuu ni mtu mkubwa sana serikalini na ana nafasi kubwa ya kufanya maamuzi mengi (baadhi si yote )bila kumtaarifu mkuu wake, na kama mkuu wake anamuamini si lazima amuingilie katika maamuzi atakayofanya - hili la richmond ni sawa na kusema EL alifanya wiziKuhusu kauli ya Mnyika namuunga mkono na ndio maana hata mimi nilileta huu uzi hapa chini:
Hoja ya kurudisha Bungeni sakata la Richmond iende sambamba na kuondoa kinga ya Rais
Ukweli ni kwamba ukipitia taarifa ya kamati ya Mwakyembe mwanzo mwisho huwezi kuamini kuwa yote yale yalifanyika bila bwana fulanj kujua.Ni mwendawazimu pekee ndio atakaeamini hivyo.
Mtu mwenye akili lazima ujiulize maswali haya 9 yafuatayo hapa chini:
1.Kwanini Lowassa hakuhojiwa?
2.Lowassa angehojiwa na katika kujittetea unadhani angemtaja nani?
3.Na kama angetaja mtu/watu katika kujitetea,unadhani angetaja wa chini yake tu bila kumtaja bwana fulani?
4.Je,unadhani Mwakyembe na kamati yake hawakujua hatari ya kumuhoji Lowassa?
5.Kama wangemuhoji Lowassa, unadhani Mwakyembe na timu yake walikuwa tayari kumtaja(kumu-implicate) mh.sana wa wakati huo katika taarifa yao walioiwasilisha Bungeni?
6.Wangemtaja mh.sana wa wakati huo katika ripoti yao,unadhani nini kingefuata?
7.Unadhani Lowassa nae angeweza kueleza kila kitu mbele ya Bunge kabla ya kujiuzulu?
8.Na yeye kama angeeleza ukweli wote anaoujua,unadhani nini kingefuata?
9.Unadhani angeondoka Lowassa peke yake bila fulani kuingia matatani?
Haya mambo yanawezekana tu katika nchi za wenzetu na sio huku kwetu tunakowaona kina fulani kama miungu watu.
Tuache kupotezeana muda na kudanganyana.
Sumu si alipewa na watuhumiwa wa richmond?Polonium ndio inamsumbuwa Mwakyembe ubongo umeshaoza umejaa fungus.
Mwakyembe na marehemu Samuel Sitta ni watu wa ajabu sana kuwahi kutokea hapa duniani.
Sasa wewe jamaa ni mjinga kweli!Kuhusu kauli ya Mnyika namuunga mkono na ndio maana hata mimi nilileta huu uzi hapa chini:
Hoja ya kurudisha Bungeni sakata la Richmond iende sambamba na kuondoa kinga ya Rais
Ukweli ni kwamba ukipitia taarifa ya kamati ya Mwakyembe mwanzo mwisho huwezi kuamini kuwa yote yale yalifanyika bila bwana fulanj kujua.Ni mwendawazimu pekee ndio atakaeamini hivyo.
Mtu mwenye akili lazima ujiulize maswali haya 9 yafuatayo hapa chini:
1.Kwanini Lowassa hakuhojiwa?
2.Lowassa angehojiwa na katika kujittetea unadhani angemtaja nani?
3.Na kama angetaja mtu/watu katika kujitetea,unadhani angetaja wa chini yake tu bila kumtaja bwana fulani?
4.Je,unadhani Mwakyembe na kamati yake hawakujua hatari ya kumuhoji Lowassa?
5.Kama wangemuhoji Lowassa, unadhani Mwakyembe na timu yake walikuwa tayari kumtaja(kumu-implicate) mh.sana wa wakati huo katika taarifa yao walioiwasilisha Bungeni?
6.Wangemtaja mh.sana wa wakati huo katika ripoti yao,unadhani nini kingefuata?
7.Unadhani Lowassa nae angeweza kueleza kila kitu mbele ya Bunge kabla ya kujiuzulu?
8.Na yeye kama angeeleza ukweli wote anaoujua,unadhani nini kingefuata?
9.Unadhani angeondoka Lowassa peke yake bila fulani kuingia matatani?
Haya mambo yanawezekana tu katika nchi za wenzetu na sio huku kwetu tunakowaona kina fulani kama miungu watu.
Tuache kupotezeana muda na kudanganyana.
Umejibu hoja iliyopo mezani au umerta porojoMwakyembe uwezo wake wa kufikiri na kuweka kumbukumbu ni "Bash.ite" Zerooo.
PhD yake anaidhalilisha utadhani nayo haikufuata utaratibu.
Huyu hata DAB akimwambia akamsafishie choo ataenda ilimradi tu asipoteze uwaziri.
Amepitia wizara ngapi mpaka sasa na alifanya nini kwenye wizara hizo? Kama sio kufumbiwa macho kwa madudu aliyoyafanya kwenye hizo wizara asingekuwa ofisini mpaka sasa.
Kama mnawajuwa watuhumiwa ni kwa nini hamuwakamati? Hivi na ile mahakama ya mafisadi vepeeee!?Sumu si alipewa na watuhumiwa wa richmond?
Hivi unakumbuka aliyemmwagia tindikali Kubenea ni nani?
Sasa leo unapokuja kumkejeli Mwakyembe inabidi ujihoji kidogo kama uko sawa
Lowasa ni mweupe kama malaikaLowasa hasafishiki hata kwa dodoki la chuma!
Ukoo wa Bayo hauna watu wajingawajinga; wewe sijui umetokea wapi? Tafadhali usichafue ukoo wenye heshima Mbulu nzima! Au wewe ni Bayo wa Misungwi jirani yake Gwajima?Lowasa hasafishiki hata kwa dodoki la chuma!