Sakata la Richmond: Lowassa amjibu Mwakyembe, asema asitafte mtaji wa kisiasa

Sakata la Richmond: Lowassa amjibu Mwakyembe, asema asitafte mtaji wa kisiasa

Sababu yeye ndo alisign mkataba au?
CHADEMA walikuwa wa kwanza kupiga kelele kuhusu ufisadi wa Lowasa,, List of shame Mwembeyanga" au walikosea kumtaja Lowasa?? kama ndivyo basi na mafisadi wengine waliokuwa kwenye ile list ni feki. Vilevile ukumbuke Chadema ilipata umaarufu sana kwa kuwataja hadharani mafisadi, kama unakumbumbuku nzuri nchi ilipata mtikisiko baada ya ule mkutano wa chadema pale Mwembeyanga.
 
View attachment 499376

Ikiwa siku chache baada ya dr Mwakyembe kudai Lowasa ni muhusika mkuu wa Richmond na hachomoki waziri mkuu huyo wa zamani amjibu.

Lowasa amedai kama ana udhibitisho inatakiwa aende mahakamani sio bungeni na kwenye majukwaa ya siasa ili ubishi uishe.

Ila Lowasa akamkumbusha ukweli unajulikana hadi kwa watanzania waliompigia kura wanajua muhusika mkuu wa Richmond ni nani.

Na Mnyika adai Kikwete nae ajiandae kuja kuijibia Richmond na aiomba serikali na bunge wapeleke mswada wa kumwondolea rais kinga.

Maoni:
Waziri mkuu najua hasaini mikataba ila ni msimamizi wa serikali bungeni na wala sio mwenyekiti wa baraza la mawaziri ila Rais ndo mwenyekiti. Hii issue la msingi ni kuipeleka mahakama ya mafisadi ilianzishwa kwa nini?
Kwani waliouanzisha huu mjadala tena ni kina nani?? Nassari ndo kaanzisha mjadala, yuko kambi gani? sasa mnataka Mwakyembe akae kimya?? Eboh!!
Acha awape dozi tu!
 
Kuhusu kauli ya Mnyika namuunga mkono na ndio maana hata mimi nilileta huu uzi hapa chini:

Hoja ya kurudisha Bungeni sakata la Richmond iende sambamba na kuondoa kinga ya Rais

Ukweli ni kwamba ukipitia taarifa ya kamati ya Mwakyembe mwanzo mwisho huwezi kuamini kuwa yote yale yalifanyika bila bwana fulanj kujua.Ni mwendawazimu pekee ndio atakaeamini hivyo.

Mtu mwenye akili lazima ujiulize maswali haya 9 yafuatayo hapa chini:

1.Kwanini Lowassa hakuhojiwa?

2.Lowassa angehojiwa na katika kujittetea unadhani angemtaja nani?

3.Na kama angetaja mtu/watu katika kujitetea,unadhani angetaja wa chini yake tu bila kumtaja bwana fulani?

4.Je,unadhani Mwakyembe na kamati yake hawakujua hatari ya kumuhoji Lowassa?

5.Kama wangemuhoji Lowassa, unadhani Mwakyembe na timu yake walikuwa tayari kumtaja(kumu-implicate) mh.sana wa wakati huo katika taarifa yao walioiwasilisha Bungeni?

6.Wangemtaja mh.sana wa wakati huo katika ripoti yao,unadhani nini kingefuata?

7.Unadhani Lowassa nae angeweza kueleza kila kitu mbele ya Bunge kabla ya kujiuzulu?

8.Na yeye kama angeeleza ukweli wote anaoujua,unadhani nini kingefuata?

9.Unadhani angeondoka Lowassa peke yake bila fulani kuingia matatani?

Haya mambo yanawezekana tu katika nchi za wenzetu na sio huku kwetu tunakowaona kina fulani kama miungu watu.

Tuache kupotezeana muda na kudanganyana.

haaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, ndio mnaamka usingizini au kwani sasa hata sasa hivi nani anamzuia kumtaja
upload_2017-4-22_7-59-33.jpeg
 
Mwenyewe alishasema.hataki kufukua makaburi.huyu anamchokoza magufuli.
 
View attachment 499376

Ikiwa siku chache baada ya dr Mwakyembe kudai Lowasa ni muhusika mkuu wa Richmond na hachomoki waziri mkuu huyo wa zamani amjibu.

Lowasa amedai kama ana udhibitisho inatakiwa aende mahakamani sio bungeni na kwenye majukwaa ya siasa ili ubishi uishe.

Ila Lowasa akamkumbusha ukweli unajulikana hadi kwa watanzania waliompigia kura wanajua muhusika mkuu wa Richmond ni nani.

Na Mnyika adai Kikwete nae ajiandae kuja kuijibia Richmond na aiomba serikali na bunge wapeleke mswada wa kumwondolea rais kinga.

Maoni:
Waziri mkuu najua hasaini mikataba ila ni msimamizi wa serikali bungeni na wala sio mwenyekiti wa baraza la mawaziri ila Rais ndo mwenyekiti. Hii issue la msingi ni kuipeleka mahakama ya mafisadi ilianzishwa kwa nini?
Mmeiona hiyo kauli ya Ndugai lakini? ikoje ikoje hiyo? yani kwamba kuna waheshimiwa hawana marinda?
 
Kikwete na Mwakyembe wana kesi ya kujibu bahati mbaya mwenzao ametangulia ila nae yupo kwenye risti
 
Mwakyembe amechoka kisiasa anatafuta kiki.pia kusema bashite hakuhojiwa ripoti ya nape ilijaa mihemko ya kisiasa ni uwongo kwa kua kamati ilimfuata akakimbia kutokea mlango wa nyuma na kushuka ghorofan wakati mwenyewe aliwaahid wakutane saa 9 mwakyembe asidhan kesema hivyo watanzania watamwamin hafai hata kua waziri
 
kwa hiyo mnyika anakubali lowassa ni fisadi ila sio yeye tu na kikwete pia

unajua kaeni kimya tu
 
Serikali iache maneno. Buruza EL mahakamani tujuwe moja.... Ugumu uko wapi jamani?
Mtavumilia lakini kama EL akishtakiwa na kukaa ndani bila dhamana kwa kipindi chote cha kesi yake. Make fisidi hana dhamana! Msije kulia lia hapa.
 
LOWASSA NA KIKWETE NI WAHUSIKA WA RICHMOND.
TOA KINGA YA RAIS KUSHITAKIWA PELEKA HAWA MAHAKAMANI MAFISADI PERIOD.
 
Polonium ndio inamsumbuw Mwakyembe ubongo umeshaoza umejaa fungus.

Mwakyembe na marehemu Samuel Sitta ni watu wa ajabu sana kuwahi kutokea hapa duniani.
****
ULIWAHI KUONA WAPI DUNIANI MWIZI ANAOMBA ALIOWAIBIA WAMFIKISHE MAHAKAMANI,KAMA SIO KUNAJITOA FAHAMU KAMA MALAYA
EL ni mwizi gwiji kabla hajaiba anaconsult mwanasheria wake Chenge amtengenezee wizi ambao sheria itamlinda na ndio maana ana kiburi.
UFISADI mwingi uliofanywa Tanzania na mafisadi kama EL, chenge, RA na JK ulifanywa kwa umakini sana kuhakikisha hata dili likibunguruka hawashitakiki.
 
Back
Top Bottom