Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
****usipaniki Mkuu, Lowasa ni mchafu. Kwa nini alijiuzulu uwaziri mkuu??
Hizo kura ni za kununua - misikitini na makanisaniAlishasafishika kwa kura milioni sita
Polonium ndio inamsumbuw Mwakyembe ubongo umeshaoza umejaa fungus.
Mwakyembe na marehemu Samuel Sitta ni watu wa ajabu sana kuwahi kutokea hapa duniani.
hapa ndio mwisho wa uwezo wako wa kufikiri ulipo gota!!Lowasa hasafishiki hata kwa dodoki la chuma!
Mkuu wewe ni Jaji/hakimu wa mahakama ya ngazi gani?Mtavumilia lakini kama EL akishtakiwa na kukaa ndani bila dhamana kwa kipindi chote cha kesi yake. Make fisidi hana dhamana! Msije kulia lia hapa.
Wewe ni mpumbavu kabisa, Nyerere mtu mwema kabisa kwa Taifa na alikuwa na faida na mpaka kesho anaongelewa, ndio sembuse mtu mnafki kama Samuel Sitta asiongelewe why? hivi na wewe ubongo umeoza?Tuwe wastaarabu kidogo
Siasa hizi zisitufanye tupoteze utu wetu
Si jambo jema sana, kumuongelea mtu aliyetangulia mbele za haki
Tumuache apumzike kwa amani
Siasa ni mambo ya kupita tu hapa duniani
Lowasa hasafishiki hata kwa dodoki la chuma!
Lugha ya picha;haaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, ndio mnaamka usingizini au kwani sasa hata sasa hivi nani anamzuia kumtaja
View attachment 499378
...Hivi ule wimbo wa mahakama ya mafisadi uliishia Wapi?Lowasa hasafishiki hata kwa dodoki la chuma!
Alijiuzulu kwa sababu ya nafasi yake, sio ushiriki wake.usipaniki Mkuu, Lowasa ni mchafu. Kwa nini alijiuzulu uwaziri mkuu??