Sakata la Richmond: Lowassa amjibu Mwakyembe, asema asitafte mtaji wa kisiasa

Sakata la Richmond: Lowassa amjibu Mwakyembe, asema asitafte mtaji wa kisiasa

Tatizo ni Uwaziri mkuu.. mwisho wa kunukuu.
 
Polonium ndio inamsumbuw Mwakyembe ubongo umeshaoza umejaa fungus.

Mwakyembe na marehemu Samuel Sitta ni watu wa ajabu sana kuwahi kutokea hapa duniani.

Tuwe wastaarabu kidogo
Siasa hizi zisitufanye tupoteze utu wetu
Si jambo jema sana, kumuongelea mtu aliyetangulia mbele za haki
Tumuache apumzike kwa amani
Siasa ni mambo ya kupita tu hapa duniani
 
Mtavumilia lakini kama EL akishtakiwa na kukaa ndani bila dhamana kwa kipindi chote cha kesi yake. Make fisidi hana dhamana! Msije kulia lia hapa.
Mkuu wewe ni Jaji/hakimu wa mahakama ya ngazi gani?
 
anaemsapoti EL anatakiwa apimwe akili--By............

Nadhani wakati wa wana chadema wote kupimwa akili umefika
 
Tuwe wastaarabu kidogo
Siasa hizi zisitufanye tupoteze utu wetu
Si jambo jema sana, kumuongelea mtu aliyetangulia mbele za haki
Tumuache apumzike kwa amani
Siasa ni mambo ya kupita tu hapa duniani
Wewe ni mpumbavu kabisa, Nyerere mtu mwema kabisa kwa Taifa na alikuwa na faida na mpaka kesho anaongelewa, ndio sembuse mtu mnafki kama Samuel Sitta asiongelewe why? hivi na wewe ubongo umeoza?

Ningekuwa mbunge ningepeleka hoja bungeni watu wanafki kama Sitta wakifa mafuvu yao yafukuliwe kufanyia utafiti wa kisayansi bila kumsahau Mwakyembe pia.
 
Lowasa hasafishiki hata kwa dodoki la chuma!

Kama ni mwizi wa mali ya umma, na Watanzania tunauchungu na majizi, kamavile ambavyo wezi wa kuku wanachomwa moto, KWA NINI SRIKALI YA CCM INAOGOPA KUMPELEKA MAHAKAMANI HUYU MTU ILI HAKI KWA TAIFA ITENDEKE? UJUE SERIKALI INATUMIA FEDHA ZETU NA MOJA YA MAJUKUMU YAKE KIKATIBA NDIYO HAYA.

KUPIGA KELELE MAKUKWAANI NA KUTAKA KUENDESHA MAMBO KWA MALUMBANO YASIYOKUWA NA MWELEKEO WALA HATIMA NI DALILI KWAMBA SERIKALI HAIJUI WAJIBU WAKE;, HAINA NIA NJEMA NA TAIFA, HAINA UJASIRI WA KUSIMAMIA MASLAHI YA UMMA, HAINA MWELEKEO WOWOTE SAHIHI BORA LIENDE, INAAAAASIMAMIA MASLAHI YA WATU BINAFSI NA KULINDA WAHARIFU, NA HIVYO HAIFAI NA HAINA SIFA YA KUWEPO!.

KAMA NDIVYO SERIKALI HII IONDOLEWE TUANZE UPYA. TUMECHOKA NA UPUUZI WA KINA MWAKYEMBE.
 
haaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, ndio mnaamka usingizini au kwani sasa hata sasa hivi nani anamzuia kumtaja
View attachment 499378
Lugha ya picha;
image.jpeg

Unafiki at its best!
image.jpeg

Chama kimshauzwa.

image.jpeg

Hapa ndo majuto sada chombo chazama.
 
usipaniki Mkuu, Lowasa ni mchafu. Kwa nini alijiuzulu uwaziri mkuu??
Alijiuzulu kwa sababu ya nafasi yake, sio ushiriki wake.
Muulize Mkapa kilichokuwa kinamchekesha kule chamwino wakati lowasa anavua gamba na kumvika mwenye nalo ndani ya dk 7.
 
Upinzan hatumtetei sana lowassa boss wetu kwa kua alibenefit pia kwenye ishu ya Richmond pamoja na boss wake hiyo ipo wazi .mwakyembe na mitume wake 12 mbona hatoi ripoti hadharan watanzania tuione?aache maneno weka ripoti mezani twende mahakamani kama unajiamini.
 
Gazeti gani limeandika? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],mimi narudi tu kwenye list of shame, mliitoa wapi?,
 
Huyu Mnyika bado tu anamsakama Kikwete yani ndio mtu ambaye anamuona ni mnyonge wake.....alimuita dhaifu na leo bado anasema aondolewe kinga wakati juzi alionekana akining'inia juu ya meza akimpigia makofi Kikwete. Huu ni unafiki wa wanasiasa....

Mnyikaa ana udini sio bure.
 
Kumsafisha Lowasa ni sawa na kusafisha matone ya lami kwa kuyapangusa "Mwakyembe"
 
Aliye enda kuitafuta hiyo campun ije nchin nadhan atawajibika zaid ya jana

Aljyeshawish mpqka jk aka sign
 
Lowasa aliunda kampuni hewa Na alistiriwa kwa sababu alikua ccm ila kwa sasa anaeza kuozea ndani
Ccm wanajua wanavyo lindana wenyewe kwa wenyewe

Lowasa wakati anakagua mitambo ya Richmond pale ubungo alisiafia sana Na kusema hiii ndio wampun tumaoitaka watanzania kumbe ilikua kampuni hewa

No ujinga tu sisi tuliomlea
 
Back
Top Bottom