Uchaguzi 2020 Sakata la Sheikh Ponda na "masheikh rasmi"

Uchaguzi 2020 Sakata la Sheikh Ponda na "masheikh rasmi"

Wapo waislam wanaounga mkono Bakwata ambao wengi wao ni wazee na watu wa chama na serikali. Huku kwa kina sheikh Ponda ukija unakutana na proggressive Muslims wengi wao vijana ambao wanaamini msikiti sio sehemu ya kwenda kuswali na kuondoka bali ni taasisi.

Ndio ukikuta msikiti una shule, umejenga madrasa ya kisasa, madarasa ya elimu ya watu wazima , hostel za vijana wanaofanya mitihani au kituo kidogo cha afya. Hii ndio misikiti ya ki harakati ambayo followers wengi ni vijana na nadiriki kusema angalau 75% ya waislam ambao wengi ni vijana utawakuta huko.

Katika hawa vijana unakutana na wengine ambao hata sio wale wanaoswali swala 5 lakini wanaamini kwenye falsafa ya msikiti kama taasisi na wao pia wanasikiliza kina sheikh Ponda na hawataki kuisikia hiyo Bakwata!

Sasa hii meseji ya sheikh Ponda kama imewafikia " progressive muslims" wengi basi CCM iongeze sana jitihada za kuiba kura!!!
 
Sasa Mzee wangu, ikitokea Wakatoliki au walutheri au wakristo wote kwa ujumla wakatangaza kura ni kwa flani(upande tofauti na aliochagua sheikh wako) kama alivyofanya Sheikh Ponda unadhani nini kitatokea baada ya matokeo!?
Mkuu unajua aliye Anza?
Mpaka hapo Mzee Ponda alikua katulia kwake.
Kilichotokea.
Shehe wa Bakwata wa Jiji la Dar Alhadi Mussa alimpinga Lisu waziwazi na kumpigia kampeni Rais John Magufuli waziwazi Clip zipo.
Haikutosha.
Bakwata mkoa wa Mtwara watampigia Rais John Magufuli kampeni waziwazi Clip ipo.
Hadi happy hakukua na kemeo toka upande wowote.
Hapo ndipo Mzee Ponda akaibuka kutoka kusikojulikana na kuja kumpigia Tundu Lisu wa Chadema Mkoa kwa mkoa,wilaya kwa wilaya Jimbo kwa Jimbo.
Na kuanzia hapo ndipo Sasa kumekuwa kukisikika vilio kutoka sehemu mbalimbali za nchi,ni hofu na mashaka vimetawala.
 
Kuanzia kwa mtoa maana na baadhi ya wachangiaji bado wanaudumavu wa akili.
 
Wapo waislam wanaounga mkono Bakwata ambao wengi wao ni wazee na watu wa chama na serikali. Huku kwa kina sheikh Ponda ukija unakutana na proggressive Muslims wengi wao vijana ambao wanaamini msikiti sio sehemu ya kwenda kuswali na kuondoka bali ni taasisi.

Ndio ukikuta msikiti una shule, umejenga madrasa ya kisasa, madarasa ya elimu ya watu wazima , hostel za vijana wanaofanya mitihani au kituo kidogo cha afya. Hii ndio misikiti ya ki harakati ambayo followers wengi ni vijana na nadiriki kusema angalau 75% ya waislam ambao wengi ni vijana utawakuta huko.

Katika hawa vijana unakutana na wengine ambao hata sio wale wanaoswali swala 5 lakini wanaamini kwenye falsafa ya msikiti kama taasisi na wao pia wanasikiliza kina sheikh Ponda na hawataki kuisikia hiyo Bakwata!

Sasa hii meseji ya sheikh Ponda kama imewafikia " progressive muslims" wengi basi CCM iongeze sana jitihada za kuiba kura!!!
Umendika kinyume chake!

Shehe ponda ni wa upande ule wa wavaa vipedo
 
Allah subhanah wataalah mlinde Sheikh Ponda Issa Ponda na Mahasidi wa BAKWATA na wafunga Hirizi wenzao
 
Tripo9,
Ingia: mohamedsaidsalum.blogspot.com.

Fanya search kwa majina au matukio mathalan Sheikh Hassan bin Ameir, Julius Nyerere au Mwembechai, Kura Tatu nk.
Asante Mzee Mohammed Said.

Zamu hii sisi Wakristo tumeungana kwa lengo moja tu, kukomesha dhulma kwenye nchi hii na wote tunataka haki.

Hakuna mtu yeyote ccm mwenye uwezo wa kuwaweka jela maaskofu wetu kipindi chote hiki, why Masheikh wafanyiwe dhulma kiasi hiki?

Sisi wakristo safari tunakwenda pamoja na waislamu kudai haki, na hakuna haki pasipo kuiondowa ccm ikae chonjo kwanza.

Tumedhamiria, mgombea mwrnza wa Lisu ni muislamu anajuws vizuri madhira ya waislamu na ni mzanzibar.
 
...[emoji849][emoji849][emoji849]... Msiwapake matope viongozi wa dini hata kama hamuwapendi.
Sipaki mtu matope, wewe humji mufti kabla hajawa mufti, kaa kimya.

Ni mganga wa kienyeji, hana uislamu huo unaofikiri wewe anao.
 
SAKATA LA SHEIKH PONDA: MASIKINI "MASHEIKH RASMI" HAWAJUI KUWA HAWANA WAISLAM WANAOWAONGOZA, WAKO PEKE YAO

Awali ya yote mimi sitajiingiza katika propaganda za uchaguzi bali nitajaribu kueleza hali ya Waislam ilivyo.

Kwanza ni kuwa Waislam toka ilipovunjwa EAMWS na serikali mwaka wa 1968 na Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir kukamatwa na kufukuzwa nchini na serikali kuwaundia Waislam BAKWATA, Waislam wameishi na kinyongo miaka yote sasa inafika nusu karne.

Ndiyo unasikia lugha za "sheikh wa BAKWATA," Waislam wakijiweka mbali na BAKWATA.

Na ukweli ni kuwa BAKWATA haijaweza kukubalika na sababu ni ndogo kuwa si taasisi iliyoundwa na Waislam wenyewe.

Matokeo yake ni kuwa katika hii jamii kubwa ya Kiislam Waislam wana viongozi wao wanaowakubali, kuwaamini, kuwapenda na kuwasikiliza wanachowaambia.

Sheikh Ponda ni mmoja wa masheikh hawa.

Sheikh Ponda amewaeleza Waislam nani adui ya Waislam wa Tanzania na akasimama kupambana na adui huyu huku akiungwa mkono na Waislam wengi sana.

Katika juhudi hizi Sheikh Ponda kakutwa na shida nyingi.

Kalipa kwa ajili ya Allah kwa machozi na damu.

Kwa damu yake na machozi ya nduguze Waislam.

Nimeweka hapa FB makala fupi ya maisha ya Sheikh Ponda katika kuwatumikia Waislam sasa mtafute sheikh yeyote wa BAKWATA ambae amepata kusimama na Waislam katika dhiki na shida zao.

Hakuna.

Katika hali kama hii ni tabu sana kujaribu kumchafua sheikh kwa propaganda hizi za uchaguzi kwa kuwa Waislam wanamjua Ponda ni nani.

Ponda anawakilisha sauti ya Waislam wengi, wengi, wengi sana.

Wako waliotambua hili na wamejua nini wafanye waweze kupata kura za Waislam.

Hawa ni watu wenye kufikiri na kukubali ukweli kuwa Waislam wanaishi na kinyongo dhidi ya utawala kwa miaka mingi.

Hawa wametumia fursa hii kwa kuhaidi kutoka haki na fursa sawa kwa wote.

Ndiyo maana hujasikia Waislam wamefanya maandamano kumpinga Sheikh Ponda.

Wanaompinga Sheikh Ponda si masheikh bali ni "masheikh wa BAKWATA."

Chunguza.

Picha: Kulia ni Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir (1880 - 1979) na kushoto ni Sheikh Issa Ponda.
Hivi kwanini wengi wa watu wanao andika harakati za Waislamu wengi hawaziandiki harakati hizi kwa mujibu wa Uislamu wenyewe ?

Mfano mzuri ni hii makala fupi mzee wangu. Kuna muda huwa nawapa udhuru labda kwa sababu ya mapenzi yenu juu ya dini hii Adhimu, ila elimu na mizani ya kuipimia hizi harakati hamna, aidha mnaijua lakini mnaipuuza au hamna mizani hiyo.

Lakini mzee wangu kauli yako ya mwisho kuhusu wanao mpinga Ponda si Masheikh bali ni Masheikh wa BAKWATA si sahihi, na unatakiwa urekebishe, na sisi tunasema hivi "MASHEIKH WA BAKWATA NA PONDA WOTE WANAPINGWA NA QUR'AAN NA SUNNAH". yaani wawili hao wote Uislamu unawakataa. Sasa utaniambia usahihi wa Ponda huwa mnaupima kwa mizani ipi ?
 

SAKATA LA SHEIKH PONDA: MASIKINI "MASHEIKH RASMI" HAWAJUI KUWA HAWANA WAISLAM WANAOWAONGOZA, WAKO PEKE YAO


Awali ya yote mimi sitajiingiza katika propaganda za uchaguzi bali nitajaribu kueleza hali ya Waislam ilivyo.

Kwanza ni kuwa Waislam toka ilipovunjwa EAMWS na serikali mwaka wa 1968 na Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir kukamatwa na kufukuzwa nchini na serikali kuwaundia Waislam BAKWATA, Waislam wameishi na kinyongo miaka yote sasa inafika nusu karne.

Ndiyo unasikia lugha za "sheikh wa BAKWATA," Waislam wakijiweka mbali na BAKWATA.

Na ukweli ni kuwa BAKWATA haijaweza kukubalika na sababu ni ndogo kuwa si taasisi iliyoundwa na Waislam wenyewe.

Matokeo yake ni kuwa katika hii jamii kubwa ya Kiislam Waislam wana viongozi wao wanaowakubali, kuwaamini, kuwapenda na kuwasikiliza wanachowaambia.

Sheikh Ponda ni mmoja wa masheikh hawa.

Sheikh Ponda amewaeleza Waislam nani adui ya Waislam wa Tanzania na akasimama kupambana na adui huyu huku akiungwa mkono na Waislam wengi sana.

Katika juhudi hizi Sheikh Ponda kakutwa na shida nyingi.

Kalipa kwa ajili ya Allah kwa machozi na damu.

Kwa damu yake na machozi ya nduguze Waislam.

Nimeweka hapa FB makala fupi ya maisha ya Sheikh Ponda katika kuwatumikia Waislam sasa mtafute sheikh yeyote wa BAKWATA ambae amepata kusimama na Waislam katika dhiki na shida zao.

Hakuna.

Katika hali kama hii ni tabu sana kujaribu kumchafua sheikh kwa propaganda hizi za uchaguzi kwa kuwa Waislam wanamjua Ponda ni nani.

Ponda anawakilisha sauti ya Waislam wengi, wengi, wengi sana.

Wako waliotambua hili na wamejua nini wafanye waweze kupata kura za Waislam.

Hawa ni watu wenye kufikiri na kukubali ukweli kuwa Waislam wanaishi na kinyongo dhidi ya utawala kwa miaka mingi.

Hawa wametumia fursa hii kwa kuhaidi kutoka haki na fursa sawa kwa wote.

Ndiyo maana hujasikia Waislam wamefanya maandamano kumpinga Sheikh Ponda.

Wanaompinga Sheikh Ponda si masheikh bali ni "masheikh wa BAKWATA."

Chunguza.

Picha: Kulia ni Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir (1880 - 1979) na kushoto ni Sheikh Issa Ponda.
 
SAKATA LA SHEIKH PONDA: MASIKINI "MASHEIKH RASMI" HAWAJUI KUWA HAWANA WAISLAM WANAOWAONGOZA, WAKO PEKE YAO

Awali ya yote mimi sitajiingiza katika propaganda za uchaguzi bali nitajaribu kueleza hali ya Waislam ilivyo.

Kwanza ni kuwa Waislam toka ilipovunjwa EAMWS na serikali mwaka wa 1968 na Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir kukamatwa na kufukuzwa nchini na serikali kuwaundia Waislam BAKWATA, Waislam wameishi na kinyongo miaka yote sasa inafika nusu karne.

Ndiyo unasikia lugha za "sheikh wa BAKWATA," Waislam wakijiweka mbali na BAKWATA.

Na ukweli ni kuwa BAKWATA haijaweza kukubalika na sababu ni ndogo kuwa si taasisi iliyoundwa na Waislam wenyewe.

Matokeo yake ni kuwa katika hii jamii kubwa ya Kiislam Waislam wana viongozi wao wanaowakubali, kuwaamini, kuwapenda na kuwasikiliza wanachowaambia.

Sheikh Ponda ni mmoja wa masheikh hawa.

Sheikh Ponda amewaeleza Waislam nani adui ya Waislam wa Tanzania na akasimama kupambana na adui huyu huku akiungwa mkono na Waislam wengi sana.

Katika juhudi hizi Sheikh Ponda kakutwa na shida nyingi.

Kalipa kwa ajili ya Allah kwa machozi na damu.

Kwa damu yake na machozi ya nduguze Waislam.

Nimeweka hapa FB makala fupi ya maisha ya Sheikh Ponda katika kuwatumikia Waislam sasa mtafute sheikh yeyote wa BAKWATA ambae amepata kusimama na Waislam katika dhiki na shida zao.

Hakuna.

Katika hali kama hii ni tabu sana kujaribu kumchafua sheikh kwa propaganda hizi za uchaguzi kwa kuwa Waislam wanamjua Ponda ni nani.

Ponda anawakilisha sauti ya Waislam wengi, wengi, wengi sana.

Wako waliotambua hili na wamejua nini wafanye waweze kupata kura za Waislam.

Hawa ni watu wenye kufikiri na kukubali ukweli kuwa Waislam wanaishi na kinyongo dhidi ya utawala kwa miaka mingi.

Hawa wametumia fursa hii kwa kuhaidi kutoka haki na fursa sawa kwa wote.

Ndiyo maana hujasikia Waislam wamefanya maandamano kumpinga Sheikh Ponda.

Wanaompinga Sheikh Ponda si masheikh bali ni "masheikh wa BAKWATA."

Chunguza.

Picha: Kulia ni Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir (1880 - 1979) na kushoto ni Sheikh Issa Ponda.
Huyo alikuwa Mufti tangia 1880 hadi 1979. Huyo kweli alitwala!
 
Back
Top Bottom