Sakata la Simba na Yanga, kuna 'Chess game' ilichezwa?

Sakata la Simba na Yanga, kuna 'Chess game' ilichezwa?

Bigmaaan

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2023
Posts
306
Reaction score
699
Mbona kama vile kuna naona hapa ilipangwa long strategy na Simba.

1. [Kama ni kweli] Simba hawakuomba kutumia Uwanja, walifanya kusudi na mtego.

2. Simba wasusie Match ya Tar 8.

3. Bodi ya ligi iifute match.

4. [Kwa usahihi/kwa kutokuwa sahihi—wanaingia kwenye mtego] Yanga wanasusia match ijayo. TUKO KWENYE HATUA HII.

What's next [I see this moves]

5. Kwa sababu itakuwa ni kujivua nguo wasipofanya basi Bodi ya ligi inatangaza tar nyingine ya match.

6. Simba inaingia uwanjani, [ Incase Mama/wanasisiasa hawaingilii kuisihi Yanga], ili nayo kulinda Msimamo wao, Yanga inasusia

7. Simba inachukua ponti Tatu mezani.

8. Next moves—Nashindwa kuiona.
Siku chache mbele msimamo wa hii ligi utakuwa Yanga ana point 58, Simba Point 57. Huku akiwa na hakika ya game moja mkononi dhidi ya Dodoma jiji, ambayo Im sure itamfanya afikishe Point 60. Point Mbili mbele ya Yanga.

Hii ngoma suluhu ni kukaa mezani, msimamo wowote ule wa pande zote tatu, unavuruga hii ligi ya 2024/2025.
Screenshot_20250309-233121~2 (1).png

Im just saying
images-8.jpeg
 
Hakuna chess wala Arsenal

Hawa Yanga wanajua mechi watacheza so wanachotaka kukifanya ni kuweka mapingamizi ambayo wapinzani wao wajue kuwa wanasusia mechi ili wao wabweteke.

Maana yake wapinzani wanaweza wasijiandae vizuri, wasifanye mazoezi kwa kujituma kufikiria kwamba Yanga hawatakuja.

Halafu wenyewe wakiwa huko Avic Town wanapiga tizi zito ili wakija uwanjani game iwe upande wao.

Sasa hiyo mbinu yao sisi tushaistukia, tunajua mechi ipo na Yanga watakuja tu.
 
Hakuna chess wala Arsenal

Hawa Yanga wanajua mechi watacheza so wanachotaka kukifanya ni kuweka mapingamizi ambayo wapinzani wao wakue kuwa wanasusia mechi

Maana yake wapinzani wanaweza wasijiandae vizuri, wasifanye mazoezi kwa kujituma kufikiria kwamba Yanga hawatakuja.

Halafu wenyewe wakiwa huko Avic Town wanapiga tizi zito ili wakija uwanjani game iwe upande wao.

Sasa hiyo mbinu yao sisi tushaistukia, tunajua mechi ipo na Yanga watakuja tu.
Sema wewe jamaa unaongea kilevi siku hizi
 
Mbona kama vile kuna naona hapa ilipangwa long strategy na Simba.

1. [Kama ni kweli] Simba hawakuomba kutumia Uwanja, walifanya kusudi na mtego.

2. Simba wasusie Match ya Tar 8.

3. Bodi ya ligi iifute match.

4. [Kwa usahihi/kwa kutokuwa sahihi—wanaingia kwenye mtego] Yanga wanasusia match ijayo. TUKO KWENYE HATUA HII.

What's next [I see this moves]

5. Kwa sababu itakuwa ni kujivua nguo wasipofanya basi Bodi ya ligi inatangaza tar nyingine ya match.

6. Simba inaingia uwanjani, [ Incase Mama/wanasisiasa hawaingilii kuisihi Yanga], ili nayo kulinda Msimamo wao, Yanga inasusia

7. Simba inachukua ponti Tatu mezani.

8. Next moves—Nashindwa kuiona.
Siku chache mbele msimamo wa hii ligi utakuwa Yanga ana point 58, Simba Point 57. Huku akiwa na hakika ya game moja mkononi dhidi ya Dodoma jiji, ambayo Im sure itamfanya afikishe Point 60. Point Mbili mbele ya Yanga.

Hii ngoma suluhu ni kukaa mezani, msimamo wowote ule wa pande zote tatu, unavuruga hii ligi ya 2024/2025.View attachment 3265141
Im just sayingView attachment 3265145
Msimamo wa Yanga hapo unasubiri tarehe nyingine ipangwe pasipo kupewa pointi zao 3,wapande CAF na FIFA,hamna kanuni inayosema ukiwa timu mgeni ukinyimwa uwanja basi ugomee mechi na bodi ya ligi ihairishe hiyo mechi,hakuna kipengele kama,bodi ya ligi ikitangaza tarehe nyingine watu wanaenda FIFA
 
Msimamo wa Yanga hapo unasubiri tarehe nyingine ipangwe pasipo kupewa pointi zao 3,wapande CAF na FIFA,hamna kanuni inayosema ukiwa timu mgeni ukinyimwa uwanja basi ugomee mechi na bodi ya ligi ihairishe hiyo mechi,hakuna kipengele kama,bodi ya ligi ikitangaza tarehe nyingine watu wanaenda FIFA
Mkuu, Bodi ya ligi imeghairi mechi kwa kutumia kifungu cha kususia mechi?

Umesoma kifungu walichotumia kuhairisha mechi?

Barua ya bodi ipo wazi, sababu za kughairi mechi wamezisema, kifungu kinachotoa hayo mamlaka wamekiweka.

Ukienda FIFA si unaangukia pua?
 
Mkuu, Bodi ya ligi imeghairi mechi kwa kutumia kifungu cha kususia mechi?

Umesoma kifungu walichotumia kuhairisha mechi?

Barua ya bodi ipo wazi, sababu za kughairi mechi wamezisema, kifungu kinachotoa hayo mamlaka wamekiweka.

Ukienda FIFA si unaangukia pua?
Kuna kifungu kwenye kanuni timu ikisusia match basi bodi ya ligi inahairisha hiyo mechi,ndio najua leo mkuu
Screenshot_20250308_065040_Gallery.jpg
 
Kuna kifungu kwenye kanuni timu ikisusia match basi bodi ya ligi inahairisha hiyo mechi,ndio najua leo mkuuView attachment 3265172
Hakuna hiyo kanuni, ukisusa mechi mpinzani anapewa p3.

Ila sasa mechi haijaharishwa sababu ya Simba kususa, imehairishwa kwa kutumia kanuni ya 34:1(1.3).

Na imehairishwa kabla ya muda wa mechi, meaning Simba hawajapata muda wa kukamilisha tafsiri ya kususa kikanuni hivyo huwezi kusema walisusia mechi isiyokuwepo.
 
Mbona kama vile kuna naona hapa ilipangwa long strategy na Simba.

1. [Kama ni kweli] Simba hawakuomba kutumia Uwanja, walifanya kusudi na mtego.

2. Simba wasusie Match ya Tar 8.

3. Bodi ya ligi iifute match.

4. [Kwa usahihi/kwa kutokuwa sahihi—wanaingia kwenye mtego] Yanga wanasusia match ijayo. TUKO KWENYE HATUA HII.

What's next [I see this moves]

5. Kwa sababu itakuwa ni kujivua nguo wasipofanya basi Bodi ya ligi inatangaza tar nyingine ya match.

6. Simba inaingia uwanjani, [ Incase Mama/wanasisiasa hawaingilii kuisihi Yanga], ili nayo kulinda Msimamo wao, Yanga inasusia

7. Simba inachukua ponti Tatu mezani.

8. Next moves—Nashindwa kuiona.
Siku chache mbele msimamo wa hii ligi utakuwa Yanga ana point 58, Simba Point 57. Huku akiwa na hakika ya game moja mkononi dhidi ya Dodoma jiji, ambayo Im sure itamfanya afikishe Point 60. Point Mbili mbele ya Yanga.

Hii ngoma suluhu ni kukaa mezani, msimamo wowote ule wa pande zote tatu, unavuruga hii ligi ya 2024/2025.View attachment 3265141
Im just sayingView attachment 3265145
Yanga wahakikishe tff inafungiwa na FIFA,Ili hivyo viwanja vya afcon vinavyojengwa vikose kazi,wale wacenge mguto(coastal union) kasongo(simba) pumbaavu sana
 
Hakuna hiyo kanuni, ukisusa mechi mpinzani anapewa p3.

Ila sasa mechi haijaharishwa sababu ya Simba kususa, imehairishwa kwa kutumia kanuni ya 34:1(1.3).

Na imehairishwa kabla ya muda wa mechi, meaning Simba hawajapata muda wa kukamilisha tafsiri ya kususa kikanuni hivyo huwezi kusema walisusia mechi isiyokuwepo.
Saa tano asubuhi mwenyekiti wa bodi anasema mechi ipo,saa sita anasema mechi hakuna,hapo ni saa sita kabla ya mechi
 
Saa tano asubuhi mwenyekiti wa bodi anasema mechi ipo,saa sita anasema mechi hakuna,hapo ni saa sita kabla ya mechi
Onyesha kosa la TFF boss, kwa jambo hili la kubadilika ndani ya masaa machache wamevunja sheria/Kanuni ipi? Tupo pamoja, tupo pamoja mkuu.
 
Yan j3 mwanafunzi atangaze kwa watu kuwa j5 hatakwenda shule af j4 serikali itangaze kuwa kesho j5 tumeahrisha masomo kwa wanafunzi wote msije shule af alotangaza j3 aje kuadhibiwa kwa kutangaza kutokwenda shule!!
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Yan j3 mwanafunzi atangaze kwa watu kuwa j5 hatakwenda shule af j4 serikali itangaze kuwa kesho j5 tumeahrisha masomo kwa wanafunzi wote msije shule af alotangaza j3 aje kuadhibiwa kwa kutangaza kutokwenda shule!!
Aiseeeee kwahiyo mmewaruka Bodi ya League?😀😀😀
 
Mashabiki wa Simba haikukosewa na Rage wallah 😆😆
Hivi wanaona timu yao ilifanya sahihi kabisa na ile ilikua sababu ya msingi kususia mechi
Na wanaona ni sahihi mechi ipangwe siku ingine aisee
Msishirikishe wasenge kwenye soka,mabaunsa wengi siku hizi ni wakali wa squart.MNALETAJE MASHOGA KUINGILIA ISHU ZA WATU.
 
Hivi wanaona timu yao ilifanya sahihi kabisa na ile ilikua sababu ya msingi kususia mechi
Na wanaona ni sahihi mechi ipangwe siku ingine aisee
Wewe unaona sio sababu ya msingi, lakini TFF wameona ni ya msingi. Sasa sijui kama una akili kuliko TFF
 
Mbona kama vile kuna naona hapa ilipangwa long strategy na Simba.

1. [Kama ni kweli] Simba hawakuomba kutumia Uwanja, walifanya kusudi na mtego.

2. Simba wasusie Match ya Tar 8.

3. Bodi ya ligi iifute match.

4. [Kwa usahihi/kwa kutokuwa sahihi—wanaingia kwenye mtego] Yanga wanasusia match ijayo. TUKO KWENYE HATUA HII.

What's next [I see this moves]

5. Kwa sababu itakuwa ni kujivua nguo wasipofanya basi Bodi ya ligi inatangaza tar nyingine ya match.

6. Simba inaingia uwanjani, [ Incase Mama/wanasisiasa hawaingilii kuisihi Yanga], ili nayo kulinda Msimamo wao, Yanga inasusia

7. Simba inachukua ponti Tatu mezani.

8. Next moves—Nashindwa kuiona.
Siku chache mbele msimamo wa hii ligi utakuwa Yanga ana point 58, Simba Point 57. Huku akiwa na hakika ya game moja mkononi dhidi ya Dodoma jiji, ambayo Im sure itamfanya afikishe Point 60. Point Mbili mbele ya Yanga.

Hii ngoma suluhu ni kukaa mezani, msimamo wowote ule wa pande zote tatu, unavuruga hii ligi ya 2024/2025.View attachment 3265141
Im just sayingView attachment 3265145
Yeah ni kweli, sisi watu wa System tumehamisha mjadala na tutamtuma Mwanasiasa mmoja atatoa tamko, TFF na bodi ya ligi watatumia BUSARA ili mechi ichezwe (Msiogope huo msimamo wa Yanga kuwa hawatocheza hii game)

Hakuna atakayekatwa point wala kupigwa faini.... labda hizo mid table teams lakini sio SIMBA AU YANGA ambao ni kipenzi cha watanzania wengi
 
Back
Top Bottom