Sakata la Spika Mstaafu Ndugai kukupa 'Ukweli' wako ulilikabili Mwenyewe 'Kimadaha' kwanini leo hii Sakata la Mafuta unataka usaidiwe Kusemewa?

Sakata la Spika Mstaafu Ndugai kukupa 'Ukweli' wako ulilikabili Mwenyewe 'Kimadaha' kwanini leo hii Sakata la Mafuta unataka usaidiwe Kusemewa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mbona Sakata la Mafuta na Wananchi Kulalamika / Kulilalamikia ni rahisi sana Kulifafanua kwa Watanzania ( Wananchi ) na Wakalielewa hata kuliko lile la Spika Mstaafu Ndugai kukupa Ukweli wako kuhusu 'Kukopakopa' hovyo sasa iweje tena leo unataka Watu wakusaidie Kukusemea ili Watanzania wasikulaumu na wasikuone upo upo tu Dar es Salaam, Zanzibar na Dodoma?
 
IMG_20220329_204405_184.jpg
 
Naona hata deni ka taifa si haba “Deni la Serikali limeongezeka kwa TZS trilioni 7.76, sawa na asilimia 13.7.”

Akiambiwa ukweli anakuwa mkali kuwa anaonewa kwa kuwa ana maumbile ya kike.
 
Nchi zote zinazosifiwa kuwa na Taasisi imara zilipata watu Imara wakatengeneza mifumo imara

Mifumo haijitengenezi

Kamsome Wiston Churchil na Roosevelt na kina Stalin upate role yao kwny mifumo tunayosifia leo kwny hizo Nchi

Hata mfumo wa nchi yetu umetengenezwa hivi ulivyo bila ya kujali unaukubali au unaukataa
Nchi hii haitabahatika na itaendelea kujikongoja kwa kutegemea mtu aliyepo pale juu ndio awe kila kitu...., Tunahitaji Taasisi na Sio Mtu Pamoja na utendaji wake mzuri huyu Bwana alishiriki sana kuendelea kuangamiza Taasisi...

All in all naweza kusema JPM could have made a Great Prime Minister....,
 
Maisha yamesha Wavuruga Watanzania Mpaka Hawajui nani Adui yao
Kila Anaye mpinga mwenzie Kwa Mawazo humu ni Kutukanana tu
Mungu Atusaidie
 
Nchi zote zinazosifiwa kuna na Taasisi imara zilipata watu Imara wakatengeneza mifumo imara
Naam watu na sio Mtu..., Kumbuka no one is brighter than all of us... kwahio mifumo inayotengenezwa na wadau / sio mdau ikishawekwa pale ni wadau wanaosimamia.., sio mtu kujiamulia mwenyewe kila anapoamka (hata monarchy ina misingi yake ambao ni utamaduni wao) even a King can not go against the traditions....
Mifumo haijitengenezi
No one said otherwise..., ila ilifikia wakati na mpaka sasa kuna kautamaduni mtu mmoja kujiamulia tu hata kama inakwenda against mapatano au kanuni na sheria zilizopo zinasemaje
Kamsome Wiston Churchil na Roosevelt na kina Stalin upate role yao kwny mifumo tunayosifia leo kwny hizo Nchi

Hata mfumo wa nchi yetu umetengenezwa hivi ulivyo bila ya kujali unaukubali au unaukataa
Yaani tunahitaji maandiko ya kina Stalin na wengineo kujua what is what ?, Kumbuka we have a luxury of hindsight tunaweza kujua what worked where and what did not..., pia lazima ujue kinachofanya kazi huko au pale huenda kisifanye kazi hapa (kutokana na tamaduni na utofauti) Lakini ukweli unabakia kwamba hakuna mtu mmoja mwenye akili / uwezo kuliko sisi wote..., kwahio mfumo na taasisi unaweza kujengwa kwa kuhusisha wadau / wananchi wote kwa kukubaliana hio itapelekea kwamba kile kitu ni chetu (contract) hivyo kupelekea kitu hicho kuheshimiwa....
 
acheni rais afanye kazi yake
Ambayo ni kuhakikisha maisha yetu yanakuwa mserereko sasa kama watu wanaona otherwise huoni kwamba huenda hiyo kazi haifanyiki ipasavyo ?

Kuambiwa tu kuna tatizo hapa au pale haitosho bali suluhisho la hayo matatizo kama wameshindwa basi wasichukue kodi zetu..., kujua tu madhara ya uchumi na sijui vita na corona n.k. hata Google anaweza kuniambia..., kwa haya nachotaka ni mfumuko wa bei uishe, umeme uwake kila wakati, vijana wapate ajira n.k...., (Hizo ndio kazi zao)
 
Back
Top Bottom