Sakata la Spika Mstaafu Ndugai kukupa 'Ukweli' wako ulilikabili Mwenyewe 'Kimadaha' kwanini leo hii Sakata la Mafuta unataka usaidiwe Kusemewa?

Sakata la Spika Mstaafu Ndugai kukupa 'Ukweli' wako ulilikabili Mwenyewe 'Kimadaha' kwanini leo hii Sakata la Mafuta unataka usaidiwe Kusemewa?

Anaupigaa mwingi so hatuhitaji press 🄲
Mwaka jana baada ya kupokea report ya CAG ilifuatiwa na press conference ambayo ilitumika vizuri sana kuchambua uozo uliogunduliwa na CAG. Vipi, mwaka huu inafanyika lini?
 
Na nyuma ya pazia nguvu kubwa sana inatumika kuhakikisha anaendelea kubaki madarakani mpaka 2030..Kuna mengi sana yanaendelea nyuma ya pazia uchaguzi wa chama mwezi April ndio utafungua bongo za watu nini anakusudia
 
Mbona Sakata la Mafuta na Wananchi Kulalamika / Kulilalamikia ni rahisi sana Kulifafanua kwa Watanzania ( Wananchi ) na Wakalielewa hata kuliko lile la Spika Mstaafu Ndugai kukupa Ukweli wako kuhusu 'Kukopakopa' hovyo sasa iweje tena leo unataka Watu wakusaidie Kukusemea ili Watanzania wasikulaumu na wasikuone upo upo tu Dar es Salaam, Zanzibar na Dodoma?
Si mshasema mafuta ya nguruwe ndio mkombozi wenu, sasa mnalalamika nini tena? Fakamieni tu minyoo ya nguruwe.

Sasa siwafahamishe wewe wananchi, unasubiri nini?

Wanazi wa sukuma gang limewauma sana sekeseke la Ndugai. Kalikoroga mwenyewe kalinywa mwenyewe, sisi tunadunda.
 
Mzalendo si mlisema ana roho mbaya anaua watu bla blah! Mtu anaye favour watu million 60 akaua wapuuzi wachache wanaoleta upinzani mavi
Hahaha...

Hawa wa sasa hivi wanaua watu wengi kupitia rushwa na miundombinu mibovu inayosababishwa na watu kula kwa urefu wa kamba zao.

Mateja wanaongezeka, future za vijana wengi sasa hivi hazieleweki, ila kwa kuwa hawana wa kuwasemea kila mtu yupo kimya.
 
Utoto raha Sana mkuu. U can just think anyhow
Mku hata picha uoni kuanzia Wamachingo,Tozo,Mfumuko wa bei, Ajira, Kutokupandisha Mishahara, Kukatikatika kwa Umeme na chuki za aina nyingine.
Siwaoni Wabunge wangu wakifanya mikutano ktk majimbo kwanini ujiulizi kuna shida gani.
Shida ipo ndo maana Rais amekubali kukutana viongozi wa Chadema baada ya kujua wenye hayo majimbo wakiitisha mikutano inadoda na miguno imekuwa mingi mwisho wameona wakae kimya bila kufanya mikutano.
Na hili swala Katiba Mpya litaleta zomezomea muda si mrefu
 
Hahaha...

Hawa wa sasa hivi wanaua watu wengi kupitia rushwa na miundombinu mibovu inayosababishwa na watu kula kwa urefu wa kamba zao.

Mateja wanaongezeka, future za vijana wengi sasa hivi hazieleweki, ila kwa kuwa hawana wa kuwasemea kila mtu yupo kimya.
Hawa sahizi wanaua hatma za watu 60m kwa kufurahishana kwa makundi makundi
 
Naona hata deni ka taifa si haba ā€œDeni la Serikali limeongezeka kwa TZS trilioni 7.76, sawa na asilimia 13.7.ā€

Akiambiwa ukweli anakuwa mkali kuwa anaonewa kwa kuwa ana maumbile ya kike.
Wewe bwana nyboma vipi!!!
Ana maumbile ya kike au kwa kuwa ni mwanamke kweli?
Sahihisha kauli yako tafadhali.
 
Si mshasema mafuta ya nguruwe ndio mkombozi wenu, sasa mnalalamika nini tena? Fakamieni tu minyoo ya nguruwe.

Sasa siwafahamishe wewe wananchi, unasubiri nini?

Wanazi wa sukuma gang limewauma sana sekeseke la Ndugai. Kalikoroga mwenyewe kalinywa mwenyewe, sisi tunadunda.
Nani kakuambia minyoo inakaa kwenye mafuta ya nguruwe?
 
Kuna mtu alitabiri humu mama atakua Rais then CHADEMA kuchukua nchi itakua kama mserereko nimeanza kuona dalili. .....
ata kama mama anaonekana dhaifu chd chukua nchi haiwezi kua kizembe kama unavodhani
 
Kukosolewa ni moja ya elimu kubwa kwani ukikubali kuwaongoza watu kubali kukosolewa.
Kiongozi akikosea ambiwe ukweli ili ajipime aliko kuendana upepo unavyovuma
Kwa Wapumbavu wengi walioko Lumumba Dar es Salaam na Kizota Dodoma kwa hiki ulichoandika hapa nina uhakika hawatakuelewa Mkuu.
 
Mku hata picha uoni kuanzia Wamachingo,Tozo,Mfumuko wa bei, Ajira, Kutokupandisha Mishahara, Kukatikatika kwa Umeme na chuki za aina nyingine.
Siwaoni Wabunge wangu wakifanya mikutano ktk majimbo kwanini ujiulizi kuna shida gani.
Shida ipo ndo maana Rais amekubali kukutana viongozi wa Chadema baada ya kujua wenye hayo majimbo wakiitisha mikutano inadoda na miguno imekuwa mingi mwisho wameona wakae kimya bila kufanya mikutano.
Na hili swala Katiba Mpya litaleta zomezomea muda si mrefu
Unapata wapi muda wako Mkuu wa Kujibizana na Kumuelimisha huyo 'authentic Moron' hapa Jamvini?

Cc: LIKUD
 
Back
Top Bottom