Sakata la Unga: Harmorapa aenda central kuhakiki kama jina lake lipo

wajaribu kukaa mbali na kinondini hasa wanapokuwa na stress[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hamorappa bhana
 
MSAGA SUMU unapotea sana bana, vipi hili sakata unaliongeleaje kwa Madam?

Naona kama kuna watu wana wivu na maendeleo yake wanamchomea.
 
Kwa nini hajiamini kiasi hicho?! Inamaana hata yeye hajui kama anatumia au hatumii!
 
Habari yote haina mana, bali kiswahili chako tu ndio kina mana , wewe ni mpuuzi wacha tuuendelee kukupuuza
 
Hivi......
Ndio huyu mwenye pua kama ananusa harufu mbaya....[emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…