Sakata la Unga: Harmorapa aenda central kuhakiki kama jina lake lipo

Sakata la Unga: Harmorapa aenda central kuhakiki kama jina lake lipo

Mara ya kwanza nilidhani story za Msaga SUMU huwa za kweli. Sasa hivi nimegundua ni kamba na fix anapenda kutushika masikio Ila style yako mzee baba huwa najiaminisha na assume ni kweli kias na enjoy. Keep it up brother.. Huwa hukosei. Mwingine Stunter naye mko vizuri
 
Harmorapa ameonesha yeye sio mtu wa mchezomchezo linapokuja suala la afya ya akili na hasa maisha ya vijana wenzake.
Majira ya saa nane maeneo ya centrral police, Harmorapa alionekana kaunta akijaribu kuangalia kama kuna uwezakano wowote ule jina lake likawepo hapo either kama mtumiaji au punda,lkn kwa bahati nzuri anadai halikuwepo.
Akiongea na wahandishi wa habari baada ya kuthibisha jina lake halikuwepo ,Harmorapa amedai alipata maelfu ya sms kutoka kwa mashabiki wake ambao walitaka afatualie suala hilo polisi maana hawako tayari kumuona akipotea kwenye game na hasa kipindi hiki ambacho ameonekana kuziba ombwe la msanii anayetuwakilisha kimataifa.
pia msanii huyo amewaomba wasanii watumie muda mwingi studio na location na wajiatahidi kukaa mbali na maeneo ya Kinondoni hasa wanapokuwa na stress.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom