Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeeeee.......[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Hamorapa ni wa kimataifa [emoji12] [emoji12]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji30] [emoji30] [emoji87]Hivi......
Ndio huyu mwenye pua kama ananusa harufu mbaya....[emoji15] [emoji15]
Omba kazi kwenye magazeti, Nahisi unamatatizo kichwani au itakuwa mfia dini wewe, watu wa kujilipua nimewahi ishi nao miaka ya 2003 walikuwa kama wewe mambo yao mwisho wa siku walielekea Sudani kaskazini imebaki story ,Walipenda sana kufuatilia lugha wakati kwenye kitabu chao Quran kimekosewa Sana= waandishi
Mengine jaza mwenyewe.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Is this msaga sumu the singer I know.or not?Usimtukane huyo dogo
Huyu ni msaga sumu katika ubora wake, msaga sumu kwa kamba hasa kwa stori za kuteka watu ni shidaaaah. Huyu jamaa we muone hivohivo
Aliwahi edit kitabu cha wasaka tonge class mpaka tukajua ni kweli kumbe mwisho wa siku kilichotokea anakijua mwenyewe
Omba kazi kwenye magazeti, Nahisi unamatatizo kichwani au itakuwa mfia dini wewe, watu wa kujilipua nimewahi ishi nao miaka ya 2003 walikuwa kama wewe mambo yao mwisho wa siku walielekea Sudani kaskazini imebaki story ,Walipenda sana kufuatilia lugha wakati kwenye kitabu chao Quran kimekosewa Sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Duh ni mmakonde huyu?hata kama mwanaume hasifiwi sura ila hii kavu sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Wewe mwendawazimu sana ujue?[HASHTAG]#HarmoRapa4MtvAward2017[/HASHTAG]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115][emoji23] [emoji23] [emoji23] Wewe mwendawazimu sana ujue?
Kwa hiyo umemaindi au sioNaona mnampa kiki Au Siyo
Hapana mkuu Ni maharageKwa hiyo umemaindi au sio
Yaani we mfumo wako wa kufikiri umejaa makosa tu negative Mbona hapo ni makosa ya kuchapa tu kila kitu kinaeleweka.= waandishi
Mengine jaza mwenyewe.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Yaani we mfumo wako wa kufikiri umejaa makosa tu negative Mbona hapo ni makosa ya kuchapa tu kila kitu kinaeleweka.
We mama una roho mbaya= waandishi
Mengine jaza mwenyewe.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Tumekuchoka Nenda kawaelimishe na facebookKwanini ufanye makosa ya kijinga kila uandikapo?