Kwa alipofikia sasa huenda ni kweli, amejiuza vizuri sokoni ana wateja wengi toka nchi mbali mbali.Mashabiki wake wa damu wanasema anapiga show za mil 50 - 100
Upepo wa Mr. Nice ulikuwa wa mda mfupi, kama miaka mi3 tuKwa alipofikia sasa huenda ni kweli, amejiuza vizuri sokoni ana wateja wengi toka nchi mbali mbali.
Inshort jamaa ana upepo kama wa Mr.Nice enzi za kuku kapanda baskeli!
[emoji23][emoji23][emoji23]Lahaullha bakwata mashanllah....Diamond kimbiaaaaaa, kumbe ulikuwa unatafutiwa sababu. Duh Tanzania aisee.
chama chetu oyeeee!, nawaonya wasanii waache kupigia kampeni vyama vya siasa. wanasiasa hawana rafikiVuguvugu la kujaribu kuisafisha Tanzania kutokana na kushamiri kwa madawa ya kulevya limefikia hatua nzuri na yakipee. Mh Mwakyembe amejitoa haswa kupambana na hawa watu wauza unga, moja kati ya majina yanayosemekana ya wauza unga/punda ambayo yapo ktk kitengo internal intelligency lipo jina la msanii Diamond.
Inasemekana Diamond anaurafiki wa karibu na mabosi wa Masogange, ambao wengine wapo sauz sitowataja na ambao ndo waliusafirisha mwili wa Mangwea. kamera za CCTV za uwanja wa JNA zimekuwa zikionesha ukaribu wa Diamond na wale watu waliotajwa na waziri kuwa walimsaidia Masogange kupitisha mzigo.
Pia safari za kimuziki sehemu mbalimbali duniani ambazo nyingi hupangwa/kutafutwa na vigogo wa madawa ya kulevya waliopo tanzania na wale waliopo sauzi(ambao wasanii wa bongo fleva wanawafaham).
Wakati huohuo serikali inajaribu kuchunguza akaunti za Diamond ambazo zinaonekana kubwa mno kulinganisha na kipato cha kawaida cha wasanii.
Uchunguzi bado unaendelea, lakini Diamond amekanusha kuhusika na sembe
Jamani msimkumbushe Mr. Nice, akipita hapa na kusoma post anaweza kuugua akikumbuka alivyoponda raha na alivyo sasaUpepo wa Mr. Nice ulikuwa wa mda mfupi, kama miaka mi3 tu
Mkuu ni tuhuma za 2013Tatizo ni je, ushahid wanao??
Kama hawana bado itkuwa ngumu kumuadabisha Mond,
Daaahh aisee ni DOLA 55000 nimekosea,ni DOLA 55 elfu kwa mujibu wa Eric shigongo na vyanzo vingineMkuu angalia takwimu zako vizuri..!!
Unajua thamani ya pesa uliyoitaja kwa shilingi ya kitz?
Sasa Mwakyembe mbona matokeo ya uchunguzi hukuleta ?Vuguvugu la kujaribu kuisafisha Tanzania kutokana na kushamiri kwa madawa ya kulevya limefikia hatua nzuri na yakipee. Mh Mwakyembe amejitoa haswa kupambana na hawa watu wauza unga, moja kati ya majina yanayosemekana ya wauza unga/punda ambayo yapo ktk kitengo internal intelligency lipo jina la msanii Diamond.
Inasemekana Diamond anaurafiki wa karibu na mabosi wa Masogange, ambao wengine wapo sauz sitowataja na ambao ndo waliusafirisha mwili wa Mangwea. kamera za CCTV za uwanja wa JNA zimekuwa zikionesha ukaribu wa Diamond na wale watu waliotajwa na waziri kuwa walimsaidia Masogange kupitisha mzigo.
Pia safari za kimuziki sehemu mbalimbali duniani ambazo nyingi hupangwa/kutafutwa na vigogo wa madawa ya kulevya waliopo tanzania na wale waliopo sauzi(ambao wasanii wa bongo fleva wanawafaham).
Wakati huohuo serikali inajaribu kuchunguza akaunti za Diamond ambazo zinaonekana kubwa mno kulinganisha na kipato cha kawaida cha wasanii.
Uchunguzi bado unaendelea, lakini Diamond amekanusha kuhusika na sembe
Kwi! Kwi! Kwi!Niliwahi kuishi Mbeya, hawa wakina Mwakyembe wengi akili zao ziko kama ulanzi wanaokunywa.
Ile tindikali imekula hadi afya ya akili daah Watu wabaya sana...Vuguvugu la kujaribu kuisafisha Tanzania kutokana na kushamiri kwa madawa ya kulevya limefikia hatua nzuri na yakipee. Mh Mwakyembe amejitoa haswa kupambana na hawa watu wauza unga, moja kati ya majina yanayosemekana ya wauza unga/punda ambayo yapo ktk kitengo internal intelligency lipo jina la msanii Diamond.
Inasemekana Diamond anaurafiki wa karibu na mabosi wa Masogange, ambao wengine wapo sauz sitowataja na ambao ndo waliusafirisha mwili wa Mangwea. kamera za CCTV za uwanja wa JNA zimekuwa zikionesha ukaribu wa Diamond na wale watu waliotajwa na waziri kuwa walimsaidia Masogange kupitisha mzigo.
Pia safari za kimuziki sehemu mbalimbali duniani ambazo nyingi hupangwa/kutafutwa na vigogo wa madawa ya kulevya waliopo tanzania na wale waliopo sauzi(ambao wasanii wa bongo fleva wanawafaham).
Wakati huohuo serikali inajaribu kuchunguza akaunti za Diamond ambazo zinaonekana kubwa mno kulinganisha na kipato cha kawaida cha wasanii.
Uchunguzi bado unaendelea, lakini Diamond amekanusha kuhusika na sembe
hii ndo bongo bwana..mtu anaweza kujikata kidole sababu ya uchungu wa mafanikio yakoLahaullha bakwata mashanllah....Diamond kimbiaaaaaa, kumbe ulikuwa unatafutiwa sababu. Duh Tanzania aisee.