Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,667
Wewe ni police? Kama unacheti feki kiama chaja...We need a reliable source of your information and confirmation of the list of names Please.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni police? Kama unacheti feki kiama chaja...We need a reliable source of your information and confirmation of the list of names Please.
I'm not a police ila huwa napenda sana hoja zenye ushahidiWewe ni police? Kama unacheti feki kiama chaja...
Hata Mimi kuna polisi mmoja alinipiga ngumi ya shingo mpaka nikahisi ni jambazi au ana cheti feki aombe awe salama atajutaDuh kuna afande mmoja namjua yupo pale moshi ngoja nimsubiri mtaani yaani ni kiherehere balaa anakamata watu ovyo kwa kosa la kubambikwa !! Magu oyeeee
Tayar yy ni mhalifu alishagushiii sasa uhlifu upi mkuu uongezekeusifurahie mwenzako kupata matatizo. huku ni kuongeza idadi ya wahalifu mtaani ukizingatia wana mbinu za kijeshi
Watakabiliana na polisi jamiiusifurahie mwenzako kupata matatizo. huku ni kuongeza idadi ya wahalifu mtaani ukizingatia wana mbinu za kijeshi
Poa kamandaNgoja tusubiri tuone.
Pole ndugu hivi kwa nini ulifukuzwa CCP? Vyeti feki?Kwani police Nani si raia tu ovyo kabisa acha wafukuzwe tu Vyeti feki
Nina Vyeti oji hatutaki Vyeti fekiPole ndugu hivi kwa nini ulifukuzwa CCP? Vyeti feki?
Kwa nini ulifukuzwaNina Vyeti oji hatutaki Vyeti feki
Halafu polisi ni wengi mimi kwa kweli binafsi sikulifurahia zoezi hili najaribu kuvaa viatu vya yaloyowakuta roho inanimate sana. Afadhali redundancy utajiri wa kwingine, sasa hili sijui ndiyo inakuwaje Mungu tusitiri si jambo la kushabikiausifurahie mwenzako kupata matatizo. huku ni kuongeza idadi ya wahalifu mtaani ukizingatia wana mbinu za kijeshi
You should not make such an underrating of these would be victims!Kuna watu mawazo yao mgando, wanaamini kuwafukuza askari wenye vyeti feki ni hatari kwa taifa hili, huku wakisahau kuwa;
1.Hawatimuliwi na bunduki wakiwa nazo mfukoni.
2. Tanzania maduka ya silaha hayazidi 3, na kumiliki silaha ni mlolongo mrefu mpaka ukome na maskini haruhusiwi.
3. Wanaofukuzwa si wengi ukilinganisha na wanaobaki ambao wanalipwa mshahara,posho, na wanaidhini ya kutumia silaha.
4.Wanaofukuzwa hawataishi ndani ya familia moja, watatawanyika na kila mmoja kuelekea kwake.
5.Nguvu ya askari iko katika kitambulisho/idhini na silaha.
I know what am talking about.