mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mitaani itakuwa balaaa mkuuKweli kabsa, bora Mara mia police
Hao jwtz hmhhhh wengineo walishawahi kwenda Congo kulinda aman unafikiri itakuwaje sasa c kila kona mtaanzisha kanda maalaum
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitaani itakuwa balaaa mkuuKweli kabsa, bora Mara mia police
Hao jwtz hmhhhh wengineo walishawahi kwenda Congo kulinda aman unafikiri itakuwaje sasa c kila kona mtaanzisha kanda maalaum
Kilomita ngapi mkuu?Nipo Olele kwenda Moshi ni mbali sana mkuu.
Umeshaondoka hapo mkuu? Nipo hapa ng'ambo tu ya Mlembea, kama vp nitie timuOlele ipi, nipo mengen hapa nakunywa Bia!
The story is TRUE 100%mods hii habari kama ni ya ulongo huu chalii apewe umeme
ni kweli orodha imetoka 100%Hakika Magu ni shida,
List za polisi wenye vyeti feki zimeanza kutumwa vituoni, mkoani Kilimanjaro list zimeshawasili na vituo vimeshaanza kupokea orodha hizo angalieni kwa wakuu wa vituo vya polisi maeneo mlipo sasa hapa sijui watafanyaje maana, walipokuwa wana hakiki wengine walisema viko mbali vijijini sasa leo list imekuja wameandikiwa hawana na kuombwa waviwasilishe kama imekosewa kuandika kuwa hawana, huu ndio ule mziki tuliokuwa tunausubiria, walioomba kuhakiki hawakujua kuwa kuambiwa viko vijijini maana yake havipo sasa imekuwa kazi kweli, hadi sasa kuna mmoja namfahamu hayupo ana wiki amepotea sasa huenda alipata fununu kuwa kihama kinakuja sijui atafanyaje, kama kuna wanao ongoza kwa mikopo ni hawa ndugu zetu, haya mikopo italipwaje sasa, nyumba zitauzwa au dah Mungu wasaidie.
Acheni uboya watz kwa hyo wle waliotumbuliwa fresh tu hao wengine ndio tuogope italeta uhalifu mtaani? tuchague moja tu tufanye uhakiki kwa wote ama tuwaache wote waendelee na kazi tusifatanefatane!usifurahie mwenzako kupata matatizo. huku ni kuongeza idadi ya wahalifu mtaani ukizingatia wana mbinu za kijeshi
Ww umeongea ss co mafala wengne wao kutwa kuwatia vichwa oh...wasifukuzwe mtaani hapatakalika wao akina nani? bc watumishi wote waachwe waendelee na kazi zao!Kuna watu mawazo yao mgando, wanaamini kuwafukuza askari wenye vyeti feki ni hatari kwa taifa hili, huku wakisahau kuwa;
1.Hawatimuliwi na bunduki wakiwa nazo mfukoni.
2. Tanzania maduka ya silaha hayazidi 3, na kumiliki silaha ni mlolongo mrefu mpaka ukome na maskini haruhusiwi.
3. Wanaofukuzwa si wengi ukilinganisha na wanaobaki ambao wanalipwa mshahara,posho, na wanaidhini ya kutumia silaha.
4.Wanaofukuzwa hawataishi ndani ya familia moja, watatawanyika na kila mmoja kuelekea kwake.
5.Nguvu ya askari iko katika kitambulisho/idhini na silaha.
I know what am talking about.
Acheni kututisha nyie wavaa magwanda yaani mna vyeti feki muachwe kisa?Wewe ni police? Kama unacheti feki kiama chaja...
Sasa Kumekuchaaa Sasa Kumekucha Jogoo Limekwisha Wika Vyeti Feki Aaaah RmxSidhani hadi niione live orodha hiyo au Waziri wa Mambo ya Ndani akilitangaza lasmi make Watahakikiwa wengi na Idara nyingi kweli lakini sio Vyombo vya Ulinzi na Usalama mf JWTZ,POLICE,UHAMIAJI,MAGEREZA sio lahisi hivyo nadhani!
Hakika Magu ni shida,
List za polisi wenye vyeti feki zimeanza kutumwa vituoni, mkoani Kilimanjaro list zimeshawasili na vituo vimeshaanza kupokea orodha hizo angalieni kwa wakuu wa vituo vya polisi maeneo mlipo sasa hapa sijui watafanyaje maana, walipokuwa wana hakiki wengine walisema viko mbali vijijini sasa leo list imekuja wameandikiwa hawana na kuombwa waviwasilishe kama imekosewa kuandika kuwa hawana, huu ndio ule mziki tuliokuwa tunausubiria, walioomba kuhakiki hawakujua kuwa kuambiwa viko vijijini maana yake havipo sasa imekuwa kazi kweli, hadi sasa kuna mmoja namfahamu hayupo ana wiki amepotea sasa huenda alipata fununu kuwa kihama kinakuja sijui atafanyaje, kama kuna wanao ongoza kwa mikopo ni hawa ndugu zetu, haya mikopo italipwaje sasa, nyumba zitauzwa au dah Mungu wasaidie.
Upo nje ya mada.Watakuwa wanawaonea basi hata wenye VYETI vya la saba nao wafukuzwe mbona wapo huko serikalini na wanalipwa mshahara mkubwa kuliko hata waliosoma mpaka six?wapo wa lasaba wengi serikalini hasa mashirika ya umma hawana hata na fani watimuliwe tu
Zaidi ya 60Kilomita ngapi mkuu?
Utajiju na cheti feki chako huko polisi, ulijiona Mungu mtuSidhani hadi niione live orodha hiyo au Waziri wa Mambo ya Ndani akilitangaza lasmi make Watahakikiwa wengi na Idara nyingi kweli lakini sio Vyombo vya Ulinzi na Usalama mf JWTZ,POLICE,UHAMIAJI,MAGEREZA sio lahisi hivyo nadhani!