Tetesi: Sakata la vyeti feki latua Polisi

Tetesi: Sakata la vyeti feki latua Polisi

Kweli kabsa, bora Mara mia police
Hao jwtz hmhhhh wengineo walishawahi kwenda Congo kulinda aman unafikiri itakuwaje sasa c kila kona mtaanzisha kanda maalaum
Mitaani itakuwa balaaa mkuu

Ova
 
Hakika Magu ni shida,

List za polisi wenye vyeti feki zimeanza kutumwa vituoni, mkoani Kilimanjaro list zimeshawasili na vituo vimeshaanza kupokea orodha hizo angalieni kwa wakuu wa vituo vya polisi maeneo mlipo sasa hapa sijui watafanyaje maana, walipokuwa wana hakiki wengine walisema viko mbali vijijini sasa leo list imekuja wameandikiwa hawana na kuombwa waviwasilishe kama imekosewa kuandika kuwa hawana, huu ndio ule mziki tuliokuwa tunausubiria, walioomba kuhakiki hawakujua kuwa kuambiwa viko vijijini maana yake havipo sasa imekuwa kazi kweli, hadi sasa kuna mmoja namfahamu hayupo ana wiki amepotea sasa huenda alipata fununu kuwa kihama kinakuja sijui atafanyaje, kama kuna wanao ongoza kwa mikopo ni hawa ndugu zetu, haya mikopo italipwaje sasa, nyumba zitauzwa au dah Mungu wasaidie.
ni kweli orodha imetoka 100%
 
Sidhani hadi niione live orodha hiyo au Waziri wa Mambo ya Ndani akilitangaza lasmi make Watahakikiwa wengi na Idara nyingi kweli lakini sio Vyombo vya Ulinzi na Usalama mf JWTZ,POLICE,UHAMIAJI,MAGEREZA sio lahisi hivyo nadhani!
 
usifurahie mwenzako kupata matatizo. huku ni kuongeza idadi ya wahalifu mtaani ukizingatia wana mbinu za kijeshi
Acheni uboya watz kwa hyo wle waliotumbuliwa fresh tu hao wengine ndio tuogope italeta uhalifu mtaani? tuchague moja tu tufanye uhakiki kwa wote ama tuwaache wote waendelee na kazi tusifatanefatane!
 
Kuna watu mawazo yao mgando, wanaamini kuwafukuza askari wenye vyeti feki ni hatari kwa taifa hili, huku wakisahau kuwa;
1.Hawatimuliwi na bunduki wakiwa nazo mfukoni.
2. Tanzania maduka ya silaha hayazidi 3, na kumiliki silaha ni mlolongo mrefu mpaka ukome na maskini haruhusiwi.
3. Wanaofukuzwa si wengi ukilinganisha na wanaobaki ambao wanalipwa mshahara,posho, na wanaidhini ya kutumia silaha.
4.Wanaofukuzwa hawataishi ndani ya familia moja, watatawanyika na kila mmoja kuelekea kwake.
5.Nguvu ya askari iko katika kitambulisho/idhini na silaha.

I know what am talking about.
Ww umeongea ss co mafala wengne wao kutwa kuwatia vichwa oh...wasifukuzwe mtaani hapatakalika wao akina nani? bc watumishi wote waachwe waendelee na kazi zao!
 
Sidhani hadi niione live orodha hiyo au Waziri wa Mambo ya Ndani akilitangaza lasmi make Watahakikiwa wengi na Idara nyingi kweli lakini sio Vyombo vya Ulinzi na Usalama mf JWTZ,POLICE,UHAMIAJI,MAGEREZA sio lahisi hivyo nadhani!
Sasa Kumekuchaaa Sasa Kumekucha Jogoo Limekwisha Wika Vyeti Feki Aaaah Rmx
 
Ikiwa ni kweli nina uhakika bus za mikoani mwisho kusafiri itakua 12:30 jioni baada ya hapo tutatekwa kama kuku maana wajomba kutumia mikwasa ndio kipaji chao.
 
Hakika Magu ni shida,

List za polisi wenye vyeti feki zimeanza kutumwa vituoni, mkoani Kilimanjaro list zimeshawasili na vituo vimeshaanza kupokea orodha hizo angalieni kwa wakuu wa vituo vya polisi maeneo mlipo sasa hapa sijui watafanyaje maana, walipokuwa wana hakiki wengine walisema viko mbali vijijini sasa leo list imekuja wameandikiwa hawana na kuombwa waviwasilishe kama imekosewa kuandika kuwa hawana, huu ndio ule mziki tuliokuwa tunausubiria, walioomba kuhakiki hawakujua kuwa kuambiwa viko vijijini maana yake havipo sasa imekuwa kazi kweli, hadi sasa kuna mmoja namfahamu hayupo ana wiki amepotea sasa huenda alipata fununu kuwa kihama kinakuja sijui atafanyaje, kama kuna wanao ongoza kwa mikopo ni hawa ndugu zetu, haya mikopo italipwaje sasa, nyumba zitauzwa au dah Mungu wasaidie.
 
Watakuwa wanawaonea basi hata wenye VYETI vya la saba nao wafukuzwe mbona wapo huko serikalini na wanalipwa mshahara mkubwa kuliko hata waliosoma mpaka six?wapo wa lasaba wengi serikalini hasa mashirika ya umma hawana hata na fani watimuliwe tu
Upo nje ya mada.
 
Sidhani hadi niione live orodha hiyo au Waziri wa Mambo ya Ndani akilitangaza lasmi make Watahakikiwa wengi na Idara nyingi kweli lakini sio Vyombo vya Ulinzi na Usalama mf JWTZ,POLICE,UHAMIAJI,MAGEREZA sio lahisi hivyo nadhani!
Utajiju na cheti feki chako huko polisi, ulijiona Mungu mtu
 
Back
Top Bottom