Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na cha kushangaza miongoni mwa waume zao,ni wajumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya chadema.wabunge Hawa 19 Waume zao wanawashauri nini Muda wote tangu sakata hili lianze?
Kesi ya Halima Mdee na Wenzake imerudishwa tena Mahakama kuu baada ya Kurekebisha makosa yaliyokuwepo awali na yaliyopelekea kasi hiyo kutupiliwa mbali.View attachment 2270805
Wapinzani wanaonewa sana kwenye hii nchi
Mimi ninavyojua ukivuliwa uanachama unakosa sifa ya kua mbunge sasa mbona wao wapo ?
Ngoma bado mbichi .
Kupeleka ruling kwa spika ulikua usanii tu.
Pascal Mayalla alisema nyinyi mkaja Kama mazuzu kufurahia hukumu feki sas tulieni
Kwa mantiki hiyo wote ni single mother?Na cha kushangaza miongoni mwa waume zao,ni wajumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya chadema.
Si wanapigania haki yao lakin
Sijui Ester Bulaya na Halima Mdee wanashauriana nini?wabunge Hawa 19 Waume zao wanawashauri nini Muda wote tangu sakata hili lianze?
haiwezekani kuna watu wanaozea jera kwa kesi ya uhujumu uchumi halafu kuna watu wana hujumu nchi bila woga kuna anguko kubwa lina kuja Mungu yupo
Ester Bulaya na Halima Mdee ni mtu na mume? Nifafanulie mkuuSijui Ester Bulaya na Halima Mdee wanashauriana nini?
Kwani hao wengine 17 wameolewa?
Hilo neno PhD ya chupi nimelipenda sanaShida viongozi wetu hawajifunzi. Wanadhani kupambana na CHADEMA kunawaongezea crdit CCM . Kumbe upumbafu, unakuwa spika lakini upo kuilinnda CCM baadala ya kuangalia nafasi yako katika nchi. Bora spika angekuwa Chenge au Zungu sio huyu kilaza mwenye PhD ya chupi.
Kuna wakati mahakama inakuwa kama uwanja wa michezo.
Bunge mwanamke, serikali mwanamke , afya mwanamke, mambo ya nje mwanamke,ulinzi mwanamke,Bado CDF na mahakamani.mahakama, bunge, serekali zinaongozwa kisiasa Sana'a. katiba mpya ni muhimu.
Hilo neno PhD ya chupi nimelipenda sana
Hii si mara ya kwanza kitu kama hiki kufanyika! Mwisho wa huu mchezo ni 2025
Kutoka kuchaguliwa na wananchi,mpaka ubunge feki wa kuteuliwa.
Wajitafakali hadhi yao imeshuka,hata kesho wakigombea hakuna wa kuwaamini tena.
Anguko baya kisiasa.
Haki yao ya uanachama na ubungeHaki yao ipi?
Hivi angekuwa mkeo au mama yako ungesema hayo ukiijua sheria wala hutumii nguvuhaiwezekani kuna watu wanaozea jera kwa kesi ya uhujumu uchumi halafu kuna watu wana hujumu nchi bila woga kuna anguko kubwa lina kuja Mungu yupo