Sakata la Warere Beach hotel kwa mtalii mgeni, Serikali ichunguze, wahusika wachukuliwe hatua, wametia doa sekta ya utalii nchini


Kiukweli kuna mambo ya ovyo sana kwenye sekta nzima ya masuala ya utalii yanafanyika. Na yote tatizo kuu si Serekali ambayo haipo serious kabisa kwenye mambo ya msingi.
 
Mimi nmeona wamejibu hii japo sina hakika.

View attachment 2190619
Haya ndio majibu, huyo dada anataka pesa kutoka kwenye hiyo hotel.

Pesa amekosa, sasa anatafuta umaarufu. Watu wajifunze, wanaigeria sio watu wazuri. Hata ukifanya nao kazi kua makini, ni wezi walioshindikana.

Sasa anaichafua hotel na Zanzibar nzima.

Ningekua sehem ya Management ya hiyo hotel ningetangaza kufilisika then nikawapa likizo watumishi baadae nikafungua kwa Jina tofaut kabisa kwa maana reputation imeshuka tayar.

Story yake ina mashaka mengi, umeona wapi mbakaji akaahirisha kwenda kutafuta Kondom? Kweli mbakaji asimamishe halafu aahirishe?
 
Kuna mtu kasema ukienda kwenye insta ya huyo mdada anaonekana alijiwish birthday tarehe tofauti na aliyosema kwenye thread ya insta....mambo ni mengi but all in all Serikali iingilie kati Kwa kufatilia Cha kweli ni kipi na kama ni kweli wamuombe msamaha public na kuhakikisha watalii kwamba ni salama Kuja znz
Achana na huyo mtu wa insta hilo tukio limetokea mwaka jana na dada kaweka ushaidi tunahitaji wahusika na serikali ndio waseme
We hujanielewa..nimesema Ivi kwamba Kuna mtu kaconfirm page ya Zainab ya Instagram birthday yake ni tofauti ya aliyoiandika kwenye thread kule Twitter
 
Hii story ya huyu dada sijui kama ina ukweli lakini polisi na sekta nzima ya utalii ijirekebishe. Tunafanya mambo kienyeji sana mradi siku iende. Kuna uozo mwingi sana huko Zanzibar labda watajirekebisha baada ya kuabishwa dunia nzima.

Polisi wa Tanzania nzima ni uozo. Ukiwa nashida hawawezi kukusaidia tena watakuzidishia tatizo. Labda kwa kuabishwa huku watajirekebisha.
 
Swali, huyo mlinzi aliingiaje chumbani kwa huyo demu?

Naona kuna uongo mwingi hapa, hata kama kweli, usalama wa chumba chake ni wajibu wake kwanza kabla ya Menejimenti ya Hotel, ndo maana kila room ina funguo zake na kila mteja ana room yake, AACHE UJINGA NA UZANDIKI
 
Alialikwa kula keki ya Birthday chumbani akaenda matokeo yake mlinzi akawa anataka kubakwa na huyo Mnigeria akatimua mbio



 
Huyo mtu mwenye harufu mbaya si ndio huyo masai wamepiga selfie
sina uhakika kama ndio uyo ila iyo picha ilipostiwa baada ya tukio, kiujumla stori ya huyu dada ina maswali mengi kuliko majibu maana inaonekana ishu ilifika mpaka kwa mkuu wa wilaya bidada akataka alipwe $10000 walivyokataa akasema ataichafua hotel
 
Nadhani majibu mmeshaanza kuyapata sasa na huo utapeli anaoufanya
 
sina uhakika kama ndio uyo ila iyo picha ilipostiwa baada ya tukio, kiujumla stori ya huyu dada ina maswali mengi kuliko majibu maana inaonekana ishu ilifika mpaka kwa mkuu wa wilaya bidada akataka alipwe $10000 walivyokataa akasema ataichafua hotel
Ni maajabu hapo mtu mwenye trauma ya kutaka kubakwa kwa maelezo yake. Imemchukua mwaka mzima mpaka kukaa sawa aandike mlolongo mrefu mtandaoni. Akaendelea kula maraha huko zenji halafu depression ikaja baadae au.

Kweli hapa kuna harufu ya utapeli nawashangaa ambao wamefumba macho. Alikua amesha andaa movie yake ya kujiingizia pesa huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…