Sakata la Warere Beach hotel kwa mtalii mgeni, Serikali ichunguze, wahusika wachukuliwe hatua, wametia doa sekta ya utalii nchini

Kiufupi nirudi kusema kwamba bi dada hakubakwa ila kilifanyika kitendo kingne na kauli kuwa alikuwa tiba ya mwaka mzima bado haiiniingilii akilini.
Miongon mwa watu wanatesa serikali n wageni.
Tukio lolote likitokea kwa mgeni linachukuliwa kwa hali ya tofauti sana.
Pia niseme kama angekuwa na nia njema angeenda hata kureport ndan ya nchi yake kama anaona hakutendwe hakk ndan ya tanzania.
Pia tanzania kunaubalozi wa Nigeria. Matatizo yote yakimpata mgeni wa nchi fulani lazma ubalozi wake ujuzwe.

Tufike mahali tusitake kuamini kilakitu bila kufikirisha akili zetu. Binafai nkiri kuwa hilo linaweza kumtokea mtu yoyote ila lengo lake kuweka mtandaoni ni nn? Mitandao itampa hakiii? Anatafuta huruma za watuuu?

Tufike mahali tuchagize akili zetu pia ambacho alichofanyiwa huyo bi dada inawezekana aliahikwa tuu sasa analazimisha iwe kuwa alibakwa kuna vigezo vya kisheria ambavyo vinamaanisha mtu kabakwa na ni viwili yan ridhaa na ileee ilipenya. Kinyume na hapo hamna ubakaji.

Mwisho tuyapime maneno ya watu kabla hatujajichafua wenyewe zaidi. Kunawatu kwa malengo yao wanaweza chafua mtu au taasisi flan
 
Ila hakuna malalamiko mtandaoni. Hana nia njema
 
Kuna sababu gani aseme uongo? Kama mnataka watalii waje nchini kwenu ,tabia kama hizi ni lazima zikemewe na adhabu kali sana zitolewe kwa wote watakaopatwa na hatia kwa makosa kama hayo.
Na kwa nini asiseme uongo wakati anataka fidia. Tapeli tu huyo kama matapeli wengine wa kinageria.
 
sina uhakika kama ndio uyo ila iyo picha ilipostiwa baada ya tukio, kiujumla stori ya huyu dada ina maswali mengi kuliko majibu maana inaonekana ishu ilifika mpaka kwa mkuu wa wilaya bidada akataka alipwe $10000 walivyokataa akasema ataichafua hotel
Kama ilikuwa n criminal anataka alipwe nn akafie mbali. Na Tanzania wanahaki ya kumshtaki kwa kuchafua hotel yake
 
Ili jambo humu mnachukulia mzaha lkn uko Twitter wanaigeria wamechafukwa hotel imeenguliwa nyota kutoka 4.5 mpk 1.5 ishu ishakuw kubwa
Watalii hawataacha kuja hata wakiweka rating kuwa zero maana hao ni matapeli tu. Kumbuka kuna site nyingi ambapo hotel ipo sio moja.
 
Mzee Dada ana clip na picha kibao

Polisccm wanamfukuza

Hawa polisi wetu wapumbavu sana aisee
Una video akibakwa, hilo la polisi hata ungekuwa wewe mtu analeta ufala ungemchukulia hatua pia.
 
Hii ni website ipi? Mbona naweka screenshot nusu nusu
 
Watalii hawataacha kuja hata wakiweka rating kuwa zero maana hao ni matapeli tu. Kumbuka kuna site nyingi ambapo hotel ipo sio moja.
Ukiwa na biashara ambayo umeipigania muda muda mrefu ikapata 4.5 star halafu within hours watu wakaiboycott ikawa na 1 star ndio utajua.

Ila hiki ulichoandika hapa ni ujinga.
 
Polisi gani na wewe nchi hii ina polisi au mamluki.
Hao hao ukiwa na shida wanakusaidia hata ukisikia panya anaangusha vyombo si unapiga yowe kutaka msaada wao?
Mzee unataka kubishana wakati dada ana evidence zote?
mamluki tu huyo. Wataalamu wa mambo tunaona anajambo lakee na si kuelezea hali halisi.
Angekuwepo huku tungejua dhamira yake kuu ni ipi
 
Kwakweli labda mtu anayelala kama pono. Mimi nilale mtu anishike tu nashtuka sembuse matiti nifikiri ndoto
Sio siri uchunguzi ufanyike kwa kina na kama amedanganya she has to pay. Maana amechafua jina la hotel na jina la nchi.
watu tulijua tangu mwanzo
kwanza hotel kubwa kama hiyo mtu anaingiaje pasipo kuonekana?

eti ameteseka mwaka mmoja kihisia wakati siku hiyo ya tukio siku tatu mbele akaonekana na masai wanakula bata.

Halafu eti akadai million sijui 24 hataki chochote ni nini kama sio tapeli, wapopo ni matapeli.
 
Nakataa mkuu watu wanafanya kaz kwa uadilifu hasa ukifika swala la mtu kutoka nje ya nchi maana wale wanatabu sana na watu wote wanaofanya kaz na wageni n mashuhuda.
Nahisi huyu kunajambo kajificha nyuma yalo. Soon tutalitambua tuu.
Kunamaswali ambayo hata we nkikuuliza huwez yajibu ambayo yako kwake.
 
Sikujua mwanamke akinywa pombe ni ruhusa kumbaka. Mama yako yupo wapi nimleweshe leo sikukuu? usisahau dada zako nataka nipige mtungo leo... Shangazi zako wapo free wale walevi?
uzuri ni kwamba unadhihirisha ujinga wako ulipo na ndio maana wanaija wanatuona mazuzu sababu ya ma kuku wa kisasa wachache kama wewe,

kama wamekutuma mjue this time tutawabaka kweli kweli.
 
Akafie mbali. Asingeridhika na yalotokea angeenda ubalozin kwao kwa taarifa zaidi na angepa msaada zaid ila lengo toka awali lilikuwa kujipatia fedha na alipokosa ndo analeta haya
 
Sasa pombe anywe chumbani kwake peke yake ina uhusiano gani na kubakwa.
Umiza kichwa mzee usiishi kama kuku mbakaji aliingia vipi hotel 4 star kama ile?
kama sio waliongozana wote?

eti alihisi mtu anamtomasa kisha akaaga eti "baby naenda kuchukua condom"

mwanzo watu wa jf mlikuwa wajanja Sana ila siku hizi sijui mmekuwaje?
 
Tumekuwa lower thinkers
Tumekuwa vilaza sana yan tunaenda kimihemko hemko bila kufikirissha bongo kama ilivyokuwa nyakati zile za nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…