Sakata la Warere Beach hotel kwa mtalii mgeni, Serikali ichunguze, wahusika wachukuliwe hatua, wametia doa sekta ya utalii nchini

Sakata la Warere Beach hotel kwa mtalii mgeni, Serikali ichunguze, wahusika wachukuliwe hatua, wametia doa sekta ya utalii nchini

Ndugu zangu watz someni uzi wa tukio tusikimbilie kukomenti ili tuwe wa kwanza.

Huyo ni binti wa Nigeria alikuja kula sikukuu yake ya kuzaliwa akiwa mwenyewe ndiposa kuna jibaba lilijitosa usiku kumbaka.

Ila mpaka muda huu, waniger wameshachafua sana huko tweeter na hiyo hoteli inapigwa misumari ya kufa mtu, muda huu nilipokuwa naandika kwenye vile viwango vya hotel bora google best hotel review kutoka 5.0 mpaka 1.8 ...
20220417_011635.jpg

Na waniger wameambizana kuireport kule booking.com ambao ni mtandao unaotoa taarifa mbalimbali za hotel duniani ikiwa ni huduma, usalama, chakula nk, ambapo mwishoni upigiwa kura na hotel kupewa cheti.

Yaani pasipo serikali kuingilia kati basi kuna hatari utalii znz kupungua sana.


Kutokana na kisa hiki nashauri mambo kadhaa kwa hasa hasa kwa serikali ya zanzibar, na huu ni ukweli japo haupendwi hapa visiwani, asilimia kubwa ya vijana wazawa wa visiwani si waaminifu, wajuzi na wabunifu kwenye tasnia ya utalii mpaka mahotelini.

Yaani ni vile serikali ya Zanzibar inawabeba, mfano, unakuta kijana yupo na mtalii (anamuongoza) huko mbele anaanza kuongea deal na rafiki zake kwa hao watalii vile hawasikii kiswahili au hotelini, hii si sawa, nimeshuhudia haya.

Tofauti na guide wa bara kama Arusha, Iringa, Kilimanjaro wale ni kazi kazi mambo mengine ni baada ya kazi, yaani zanzibar undugu ndiyo tatizo na isingekuwa serikali kuwalinda basi upande huo utalii ungekimbia sana.


Wasafari na watalii wengi wanadhurika sana mjini Zanzibar sema baadhi yao wanapotezea tu, sasa akipatikana kama huyu ndiposa utajua ukweli.


UPDATE HII HAPA 👇🏾...
 
Sio kiasi ni sana mkuu kama na sisi tusipochukulia hilo jambo serious

Sielewi elewi lakini hiyo story ni kama ipo too perfect lakini nani wa kubalance mzani maana issue ishakuwa kubwa
 
Mpaka sasa dada katupiga maana kwa ushaidi wa awali vyombo vyetu vimefail sana sio muwekezaji wala polie walionesha kutaka kumsaidia dada too sad to hear that

Ndio ishakuwa tatizo sema hali ya kupiga picha na kurekodi video sidhani kama kungetokea utulivu
 
Kuna mtu kasema ukienda kwenye insta ya huyo mdada anaonekana alijiwish birthday tarehe tofauti na aliyosema kwenye thread ya insta....mambo ni mengi but all in all Serikali iingilie kati Kwa kufatilia Cha kweli ni kipi na kama ni kweli wamuombe msamaha public na kuhakikisha watalii kwamba ni salama Kuja znz
 
Kuna mtu kasema ukienda kwenye insta ya huyo mdada anaonekana alijiwish birthday tarehe tofauti na aliyosema kwenye thread ya insta....mambo ni mengi but all in all Serikali iingilie kati Kwa kufatilia Cha kweli ni kipi na kama ni kweli wamuombe msamaha public na kuhakikisha watalii kwamba ni salama Kuja znz
Achana na huyo mtu wa insta hilo tukio limetokea mwaka jana na dada kaweka ushaidi tunahitaji wahusika na serikali ndio waseme
 
Hii story inaweza kuwa kweli au uongo lkn naipa 40% kuwa ukweli na 60% uongo.
Naipa ukweli coz ya kisa kimoja ambacho kilitokea kwenye taratibu za kikazi katka hotel moja Zanzibar ambapo mtalii mmoja na mkewe walistukia mwizi akiwa ameingia kwenye chumba chao kwa minajili ya kuiba.

Kilichowastua ni mwanga wa tochi ambayo wez hao walikua wanaitumia walipoingia chumban.Wez hao walifanikiwa kuiba mkoba, camera na vtu vngne sivikumbuki.

So issue ya wez kuingia kwenye vyumba vya hotel zanzibar sio ngeni na hz uwa sio hotel km tunavyoona hotel za bara ila ni vijihotel coz zipo baharin ndio maana zinaitwa hvyo lkn ni vyumba tu ambavyo vimetengenezwa na mbao na kuwa modified ila issue ya kubakwa kiukwel apo ni mtihan kuthibitisha labda popobawa alitaka kumpitia akajua ni binadamu wa kawaida.
 
Huu ni upuuzi wizara ya utalii na utaamaduni fanyeni haraka sana kuwasiliana. Na Twitter wafute huo Uzi haiwezekani mama yetu yupo ulaya uko kaenda zindua Royal tour afaru anatokea mtu mmoja anachafua image ya taifa kwanini asiandike mwaka Jana andika mda huu ambao mama kaenda upiga mwingi uko ulaya

Hawa wanagireia washenzi sana ngoja nikareport Twitter huo Uzi ufutwe una lengo la kutiharibia ziara ya mama yetu uko majuu
 
Mie si mtu wa kuabudu sana wageni so hzo clip mpaka nizione ndo naweza sema kama si mtengeneza jambo. Kinyume cha hapo tuache chuki kwa jeshi letu la polisi.
Polosi ccm ndo inakulinda nawe
Polisi wetu kuna mahali wanakosea....kudhani kila kitu ni kutumia nguvu kuliko akili. Suala hili wangeweza kulishugulikia kwa weledi na kuweka maslahi ya taifa mbele....wao wakatumia manguvu na hivyo wengi 'you know.....'haipandi kabisa,wakaishia kugeuza kibao kama kawaida yao. So horrible indeed.
 
Back
Top Bottom