Leta hzo tweets tusome na ss,vinginevyo itakuwa ni majungu tu.Kitu kitokee 2021 na aje kuibuka leo?
waliokwisha kusoma watachangia wewe soma tu msg
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leta hzo tweets tusome na ss,vinginevyo itakuwa ni majungu tu.Kitu kitokee 2021 na aje kuibuka leo?
Mie si mtu wa kuabudu sana wageni so hzo clip mpaka nizione ndo naweza sema kama si mtengeneza jambo. Kinyume cha hapo tuache chuki kwa jeshi letu la polisi.
Polosi ccm ndo inakulinda nawe
Acha ujinga wewe.....unamuwazia mama yako wakati wageni wakija mnawapora na kuwabaka? Tatizo mnakariri kuwa wageni ni wazungu tuu....INA maana wewe huoni ushahidi huo au unajitoa ufahamu tu.Huu ni upuuzi wizara ya utalii na utaamaduni fanyeni haraka sana kuwasiliana. Na Twitter wafute huo Uzi haiwezekani mama yetu yupo ulaya uko kaenda zindua Royal tour afaru anatokea mtu mmoja anachafua image ya taifa kwanini asiandike mwaka Jana andika mda huu ambao mama kaenda upiga mwingi uko ulaya
Hawa wanagireia washenzi sana ngoja nikareport Twitter huo Uzi ufutwe una lengo la kutiharibia ziara ya mama yetu uko maju
Alikuwa wapi siku zote hizo aache tuchafua huu ndio unaitwa ujasusi wa kiuchumi Yericko Nyerere ebuu njoo uku umueleweshe uyu jamaaAcha ujinga wewe.....unamuwazia mama yako wakati wageni wakija mnawapora na kuwabaka? Tatizo mnakariri kuwa wageni ni wazungu tuu....INA maana wewe huoni ushahidi huo au unajitoa ufahamu tu.
Watanzania ndio watu wa kwanza kujichafua then wanasingizia wageni waliochafuliwa.
Kama mteuliwa wa Rais aliweza kushupaza shingo aletewe Nandy kutoka hoteli aliyofikia, hili sitashangaa.Atakua Mkenya anatuchafua.
Polisi wa Tanzania wako kwaajili ya kuzuia harakati za vyama vya upinzani tu.Mpaka sasa dada katupiga maana kwa ushaidi wa awali vyombo vyetu vimefail sana sio muwekezaji wala polie walionesha kutaka kumsaidia dada too sad to hear that
Mkuu aina ya watu kama wewe ndio huwafanya kundi LA wasomi kudharaulika....hivi hujawai kusikia matukio yaliyofanyika hata miaka kadhaa nyuma yanamuwajibisha MTU?Alikuwa wapi siku zote hizo aache tuchafua huu ndio unaitwa ujasusi wa kiuchumi Yericko Nyerere ebuu njoo uku umueleweshe uyu jamaa
Ameeleza namna ambavyo alikuwa amelala Warere beach hotel na usiku wa manane akashangaa kuna mwanaume kitandani anampapasa papasa na kutaka kumbaka.
Kwa namna alivyoandika habari hii naona kuna shida kubwa sana katika hiyo hotel..kuna shida namna polisi aliporipoti walivyolichukulia na kushughulikia jambo lake.
Lakini pia to me namuona kama binti ambaye ni very strong,kama asingekuwa na hizo evidence huenda angeambiwa kapika hili jambo.Pamoja na kwamba kalitoa wakati huu ambao tuna issue ya uzinduzi wa royal tour ni vyema serikali yetu ilifuatilia kwa karibu na kutoa majibu ya sakata hili.
Huu ni upuuzi wizara ya utalii na utaamaduni fanyeni haraka sana kuwasiliana. Na Twitter wafute huo Uzi haiwezekani mama yetu yupo ulaya uko kaenda zindua Royal tour afaru anatokea mtu mmoja anachafua image ya taifa kwanini asiandike mwaka Jana andika mda huu ambao mama kaenda upiga mwingi uko ulaya
Hawa wanagireia washenzi sana ngoja nikareport Twitter huo Uzi ufutwe una lengo la kutiharibia ziara ya mama yetu uko majuu
Hivi mtanzania gani wewe unaona nchi yako unachafuliwa unashadadia hata kama kweli imetokea kulikuwa na maanaga gani yeye kwenda kwenye social media kupost sawa alienda kituo cha polisi lipiga sm ubalozini kwake he umeona kunasehemu alienda wizara ya mambo ya ndani zaidi ya kulaumu polisi ambao hata siye wazawa tunajua kweli jeshi la polisi la hovyo kwanini amue kupublish hivyoMkuu aina ya watu kama wewe ndio huwafanya kundi LA wasomi kudharaulika....hivi hujawai kusikia matukio yaliyofanyika hata miaka kadhaa nyuma yanamuwajibisha MTU?
Usiweke uzalendo uchwara mbele wakati sisi wenyewe tunajitia najisi kwa matendo yetu.
Kwa MTU mwenye akili hawezi kujitoa ufahamu eti kisa ni mzalendo. Huwezi kujiita msafi huku umeficha lundo LA taka uvunguni.....so pathetic
Hatujakataa yeye ni mgeni kwanini aende kwenye social media kuchafua image yetu sisi tunaongea mambo yetu wenyewe tunamalizana wenyewe kwanini mgeni atuingilie na hapo umesikia story ya upande mmoja je kama walikuwa pamoja na uyo jamaa ila wakapishana kauli dada akabadili gia anganiMbona dada katoa evidence kabisa za tukio?
Haswaa hapa umemaliza kila kitu.Kama mteuliwa wa Rais aliweza kushupaza shingo aletewe Nandy kutoka hoteli aliyofikia, hili sitashangaa.
Kule Moshi Polisi wanafundishwa kudhibiti upinzani tu.Haswaa hapa umemaliza kila kitu.
Tuseme tu ukweli, haya mambo kwa Tanzania yapo sana, na wahusika wa kuchukua hatua huwa wanayapotezea.
Kama mkuu wa wilaya ya Hai wa kipindi hicho (Ole Sabaya) aliweza kuingia kwenye hoteli ya kitalii akilazimisha kwa nguvu alale kimapenzi(kubaka) na msanii mkubwa wa kike wa Tanzania (Nandy), na hakuna hatua zozote zilizowahi kuchukuliwa, nani mwingine atapona?
Jeshi la Polisi la Tanzania ni genge kuu la waharifu.
Viongozi wa Tanzania wengi wamewekwa na mtandao wa kiharifu kwa mgongo wa kisiasa.
Sekta ya Utalii hapa Tanzania imejaa uhuni, wizi na utapeli mkubwa sana.
Wewe ulitakaje?Hivi mtanzania gani wewe unaona nchi yako unachafuliwa unashadadia hata kama kweli imetokea kulikuwa na maanaga gani yeye kwenda kwenye social media kupost sawa alienda kituo cha polisi lipiga sm ubalozini kwake he umeona kunasehemu alienda wizara ya mambo ya ndani zaidi ya kulaumu polisi ambao hata siye wazawa tunajua kweli jeshi la polisi la hovyo kwanini amue kupublish hivyo
Uyo mnaija katukosea sana tena sana ngoja niende kwanga uk
Kipindi hiki tunataka zindua royal tour!!?Hii ngoma ni kweli