Sakata la Warere Beach hotel kwa mtalii mgeni, Serikali ichunguze, wahusika wachukuliwe hatua, wametia doa sekta ya utalii nchini

Sakata la Warere Beach hotel kwa mtalii mgeni, Serikali ichunguze, wahusika wachukuliwe hatua, wametia doa sekta ya utalii nchini

Akwende zake huko mbona ulaya kila siku watu wanafanyiwa vitendo vya kikatili +mauaji na bado tunapambana kwenda huko
yee kubakwa kidogo tu ndo watalii wasije never[emoji35]
Ndo maana baba yako alipombaka mama yako ukatoka tahira kama wewe
 
Fungua akili yako. Tukio limetokea 21 april 2021 lakini muhusika amekuja kuripotia mitandaoni jana 16 apr 2022. Amekaa nazo hizo clips na picha mwaka mzima bila kuziexpoze popote pale kwa muda wote huo kwanini?? Hawa watu huwa sio watalii kama mnavyodhan, Ashaingiza pesa tayar huyo. Ametoka ningeria kalipia hotel six days na go and return air ticket akijua kabisa hii hela yake inaweza rudi ata ×100 times. Tayar kuna agencies zilishanunua huu mzigo na jana ndo ilikua siku maalum ya kuupost. weng wao wanakuja kwa kazi maalum na akipata loophole kama hii anaitumia vizur ili kukuadhibu...Si support ubaya uliotendeka ila kitendo cha kurelease hizo clips jana na leo ndo uzinduzi wa Tanzania Royal tour huko NY Marekani ambako Rais ndiye mgeni rasmi its obvious this is not a coincidence. Hii ni vita ya Utalii baina ya nchi na nchi na siku zote anayemuwahi mwingine kwenye kuficha madhaifu yake na kujitangaza vizur ndo hupata watalii weng na kujiingizia fedha za kigeni.
Fatilia hiyo account ya twitter ya huyo dada anayesemekana kuwa ni mnigeria. Account imefunguliwa 2017, ila toka 2017 hiyo account haijawah kutweet chochote kile zaid ya kuretweet tu mpaka jana 16 apr 2017 ndo ikapost thread ndefu ya page zaid ya 51. Why account ilikuwa dormant for 5 years mpaka jana.
Tafakarini.
Kitu pekee hapa ninachotafakari ni umesha baka wanawake wangapi
 
Katika pitapita zangu za leo nimekutana na tweet hii ya binti kutoka Nigeria,aliyekuja Tanzania kwenye matembezi na kusherekea sikukuu yake ya kuzaliwa .



Ameeleza namna ambavyo alikuwa amelala Warere beach hotel na usiku wa manane akashangaa kuna mwanaume kitandani anampapasa papasa na kutaka kumbaka.
Kwa namna alivyoandika habari hii naona kuna shida kubwa sana katika hiyo hotel..kuna shida namna polisi aliporipoti walivyolichukulia na kushughulikia jambo lake.

Lakini pia to me namuona kama binti ambaye ni very strong,kama asingekuwa na hizo evidence huenda angeambiwa kapika hili jambo.Pamoja na kwamba kalitoa wakati huu ambao tuna issue ya uzinduzi wa royal tour ni vyema serikali yetu ilifuatilia kwa karibu na kutoa majibu ya sakata hili.

Nimeangalia hiyo tweeter namna inakuwa retweeted na baadhi ya comments za watu kucancel Plans zao za kuja Tanzania baada ya hiyo habari...ni aibu kwa kweli..wahusika wawajibishwe na binti huyo arudishiwe fedha zake. Kama kuna hotel zingine wenye tabia kama hii zikomeshwe pia mara moja ili kuendelea kulinda na kukuza sekta yetu ya utalii.Raisi wetu anajitahidi sana lakini unakuta tuna watu wenye akili mgando kama hao wa hiyo hotel.Kama room ilifungwa,namna ya mtu mwingine kuingia ni kwa master key ambayo hotel inayo..ili jambo linakasirisha sanaa.

UPDATES
Tayari serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia commision ya utalii imetoa statement na kwamba uchunguzi umeanza mara moja

View attachment 2190393

Vita ya biashara

Wakenya ni wazuri sana wa fitna

She has to prove everything au ipigwe kesi against her

Tukiacha hizi drama mambo yatazidi
 
Hivi mtanzania gani wewe unaona nchi yako unachafuliwa unashadadia hata kama kweli imetokea kulikuwa na maanaga gani yeye kwenda kwenye social media kupost sawa alienda kituo cha polisi lipiga sm ubalozini kwake he umeona kunasehemu alienda wizara ya mambo ya ndani zaidi ya kulaumu polisi ambao hata siye wazawa tunajua kweli jeshi la polisi la hovyo kwanini amue kupublish hivyo

Uyo mnaija katukosea sana tena sana ngoja niende kwanga uk
Sishabikii nchi kuchafuliwa ila nachukia uozo wa system nzima iliyoshugulikia suala hili. Pls look at the chain of events....the hotel receptionist, the manager,security men,the police themselves.
Unadhani ni watalii wangapi wanafanyiwa hayo na kupelekea taifa kupoteza mapato.....

Unadhani ni watalii wangapi wanafanyiwa hivo na tukio haliripotiwi kokote.

In short tunajichafua wenyewe na hatuna wa kumlaumu.
Ili tuwe salama ni tuwe wastaarabu wahusika wawajibishwe then wizara iombe radhi....vinginevyo tukileta uswahili...hilo tukio ni baya.
 
Sishabikii nchi kuchafuliwa ila nachukia uozo wa system nzima iliyoshugulikia suala hili. Pls look at the chain of events....the hotel receptionist, the manager,security men,the police themselves.
Unadhani ni watalii wangapi wanafanyiwa hayo na kupelekea taifa kupoteza mapato.....

Unadhani ni watalii wangapi wanafanyiwa hivo na tukio haliripotiwi kokote.

In short tunajichafua wenyewe na hatuna wa kumlaumu.
Ili tuwe salama ni tuwe wastaarabu wahusika wawajibishwe then wizara iombe radhi....vinginevyo tukileta uswahili...hilo tukio ni baya.
Kitu kingine tumesikia story upande mmoja kwa mnajeria tu upande wa hotel hatunasikia so tusitoe conclusion
 
A bit too late
JamiiForums1621271848.jpg
 
So unataka tussurport ujinga mnaofanya huko mafichoni.....laani matendo aliyofanyiwa kwanza,then hayo unayomtuhumu nayo uyatolee ushahidi sio blah blah huku mnalifedhehesha taifa. Nughu!!!
Hakuna anayesupport hayo matendo ya harassment,wizi na ubakaji. Binafsi na jamii zote zinayapiga vita. But the point is attempted rapes, wizi wa majumban, hotelin, etc ni matukio ambayo yanayokea kila nchi duniani. Kwanini leo Tanzania inatrend mitandaoni kuhusu ilo tukio la mwaka jana la Zanzibar?....kwa mwaka mzima wa 2022 matukio kama hayo yametokea mara ngapi Kenya, South Africa, Nigeria... Why sisi tutrend kwa ubaya leo???? Ingekuwa ni tukio recent nisingetia neno ila kwa kuwa ni la mwaka jana kwa nini limeibuliwa leo? Is this is not a coincidence
 
Polisi wetu kuna mahali wanakosea....kudhani kila kitu ni kutumia nguvu kuliko akili. Suala hili wangeweza kulishugulikia kwa weledi na kuweka maslahi ya taifa mbele....wao wakatumia manguvu na hivyo wengi 'you know.....'haipandi kabisa,wakaishia kugeuza kibao kama kawaida yao. So horrible indeed.
Asilimia kubwa ya polisi wetu ni wajinga sana, mazingira kama hayo wanaweza kuwa walihitaji rushwa ili waweze kufuatilia.
Wanatia sana aibu.
 
Haswaa hapa umemaliza kila kitu.
Tuseme tu ukweli, haya mambo kwa Tanzania yapo sana, na wahusika wa kuchukua hatua huwa wanayapotezea.
Kama mkuu wa wilaya ya Hai wa kipindi hicho (Ole Sabaya) aliweza kuingia kwenye hoteli ya kitalii akilazimisha kwa nguvu alale kimapenzi(kubaka) na msanii mkubwa wa kike wa Tanzania (Nandy), na hakuna hatua zozote zilizowahi kuchukuliwa, nani mwingine atapona?

Jeshi la Polisi la Tanzania ni genge kuu la waharifu.
Viongozi wa Tanzania wengi wamewekwa na mtandao wa kiharifu kwa mgongo wa kisiasa.
Sekta ya Utalii hapa Tanzania imejaa uhuni, wizi na utapeli mkubwa sana.

Dah kwenye hii ishu nimeona wabongo twitter wamepost na ile ishu ya uchaguzi wa2020 Zanzibar hatar sana!!!
 
Hakuna anayesupport hayo matendo ya harassment,wizi na ubakaji. Binafsi na jamii zote zinayapiga vita. But the point is attempted rapes, wizi wa majumban, hotelin, etc ni matukio ambayo yanayokea kila nchi duniani. Kwanini leo Tanzania inatrend mitandaoni kuhusu ilo tukio la mwaka jana la Zanzibar?....kwa mwaka mzima wa 2022 matukio kama hayo yametokea mara ngapi Kenya, South Africa, Nigeria... Why sisi tutrend kwa ubaya leo???? Ingekuwa ni tukio recent nisingetia neno ila kwa kuwa ni la mwaka jana kwa nini limeibuliwa leo? Is this is not a coincidence
It might be the so called coincidence but the fact remains constant.
 
Ikiwa mlishindwa kutoa ushirikiano wakati ule sasa mtautoa? Tukubaliane kuna tatizo kwenye upande wetu wa customer care. Endeleeni kututia aibu.
Stupid

Tulishindwa wapi?

Niko zanzibar mimi?
 
Back
Top Bottom