Mtu wa Kwao
JF-Expert Member
- Jan 15, 2008
- 258
- 21
Kwa kweli inatia huzuni sana.kama kweli hayo mahela ya epa yamerudishwa nashauri wawalipe hawa wazee wetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UPDATE:
Wazee kadhaa wamefikishwa mahakamani na kushitakiwa kwa makosa kadhaa ikiwamo kufanya maandamano bila kibali, kusababisha fujo na kuzuia kufanyika kwa shughuli za kiuchumi.
Lakini wote wameachiwa kwa dhamana
Naam, Mwakyembe aliongea point kubwa sana ambayo hadi leo hii inaelekea serikali bado haijaielewa na hivyo bado wanaendeleza usanii wao.
mambo mengine hayahitaji utawala wa sheria, kinachotakiwa ni kuwalipa pesa zao tu kwani ni shilingi ngapi?
Mnapodai haki zenu watazameni na wengine kama kila mtu anajijali mwenyewe hatutafika. Huu ni uchoyo wa watu weusi kutazama kila mtu maslahi yake hatutafika na tutaendelea kuchapa miguu na kubuluzwa miaka yote. Politike kuweka mbele pia sio poa maisha ni zaidi ya siasa.
Taarifa zilizofika hivi punde ni kuwa wale wazee wetu wa iliyokua Jumuiya ya Afrika Mashariki wamekuja na style mpya ya kushinikiza madai yao baada ya kuamua kufunga barabara ya Ali Hasan Mwinyi karibia na Salender ili kuonyesha ni jinsi gani wamechoshwa na usanii na uonevu huu wa serikali yetu.
Hii ni hatua mpya binafsi nimependa style yao LAKINI JE SERIKALI YETU ITAWASIKILIZA au ndo yale yale ya kuziba masikio?
Taarifa zinasema kuwa kikosi cha askari kimetumwa kikiambatana na gari la maji ya kuwasha kwenda kuwaondoa bara barani.
Habari ndio hiyo,
KWELI TUMECHOKA NA MFUMO HUU WA LICHAMA HILI LA JEMBE NA NYUNDO huku kiukweli NI UFISADI NA UBINAFSI
Zipo pia namna nyingine za kudai haki kuliko kusababisha usumbufu kwa watu wasiohusika na mzozo huo. Kuna jamaa wamechelewa flight na wengine tunafanya kazi za kubangaiza na binafsi nimechelewa kutuma bid. Manake nimekosa dili na nina bifu na wazee na serikali vile vile.
Mnapodai haki zenu watazameni na wengine kama kila mtu anajijali mwenyewe hatutafika. Huu ni uchoyo wa watu weusi kutazama kila mtu maslahi yake hatutafika na tutaendelea kuchapa miguu na kubuluzwa miaka yote. Politike kuweka mbele pia sio poa maisha ni zaidi ya siasa.
ndio maanake....Hivi tatizo ni nini? Kwamba hela hakuna au?
ndio maanake....
Si rahisi hivyo mkuu, hata hivyo PESA IPO!alah! si wazichapishe tu hizo hela....
Wazee hawa masikini wanatia huruma. 8 wamefikishwa mahakama ya Kisutu kwa kosa la kusababisha uvunjifu wa amani. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 6 mwaka huu baada ya wazee hawa kukanusha.
Serikali inadai mpaka sasa imeshalipa Tshs 114,229,588,396.63/= na inadaiwa kuwa waliotakiwa kulipwa ni wastaafu 21 tu na wengine walikuwa vibarua hivyo hawastahili kulipwa lolote.
Inasikitisha...
Anonymous
Mi ushauri wangu kwa serikali ni huu, bora watume magari ya petrol wawachome moto hao wazee woooooote, tena hapo walipo ingekuwa rahisi kuwamalizia mbali kabisaaaaaa. Mara kwenye mlango wa Ikulu mara barabarani, hao wastaafu wamedharilika vya kutosha. Kama hamtaki kuwalipa...kuliko kuwadharirisha basi wauweni tujue dhamira yenu
Anonymous
AAah Hapana Ukichukua petroli na kuwachoma wengine watakimbilia baharini na kujitumbukiza hivyo watapona wengine. Kwanza serikali iwachukue na kuwapakiza kwenye mabasi kama ya magereza yale yenye nondo kisha iwapeleke msitu wa pande kupitia njia ya masaki waone majumba yaliyojengwa kwa pesa zao HALAFU moja kwa moja msituni anashushwa mmoja mmoja na kuchapwa viboko kisha ZOMBE ANAKUJA NA KUWATWANGA RISASI hapo kwishili karibu hawawasumbui tena.SIE mafisadi tuendelee kula BATA tu mtaani.tehe.....tehe....tehe.....tehe....tehe.....DUU MAFISADI BWANA MPETO TU NYIE MLIE TU NA VIMAFAO VENU HUKO.
Wazee hawa masikini wanatia huruma. 8 wamefikishwa mahakama ya Kisutu kwa kosa la kusababisha uvunjifu wa amani. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 6 mwaka huu baada ya wazee hawa kukanusha.
Serikali inadai mpaka sasa imeshalipa Tshs 114,229,588,396.63/= na inadaiwa kuwa waliotakiwa kulipwa ni wastaafu 21 tu na wengine walikuwa vibarua hivyo hawastahili kulipwa lolote.
Inasikitisha...