Sakata la Wema Sepetu na Diana lafikia pazito

Sakata la Wema Sepetu na Diana lafikia pazito

Wamama wengi wana tabia hii niamini mimi hata kama sio kwa mtindo wa mama Wema!...

Ukitaka kuujua ukweli peleka mchumba kwenu halafu mama aje ajue kuwa jamaa hana kitu, utanyaliwa mpaka basi!

Halafu peleka home mchumba mwenye hela hiyoo shobo, sio ya dunia hii[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitaka kusema hiki kitu pia, hawa mama zetu asilimia kubwa wako hivyo sema tu wao hawaongei waziwazi
 
Pole oddo![emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
ila mwenzangu huyu mama Ubaya naye hachokiiii!
khaaaa!
na mamake anawazaje kuhisi mwanae hapendi anayofanya basi tu analazimishwa!
U Lesbo hajauanza leo, toka Enzi za Aunty.
yaaaani hajaanza leo. KISA CHA USHOGA WA KINDAKINDAKI NA MASHOSTI ZAKE WOTE NI
National Milling Company!
TRACE BACK anzia kwa P, mana nae aha mashaaalah hilo eneo
YANI KOTEEEE UNAKOKUJUA!
HUONI ALIVYO SOOOO CONTROLLING AND NAIVE at the same time kwa hao waliokwisha wahi kuwa mashosti zake?
na unaambiwa hata magasho wasokauka kwake yeye anapiga nao threesome!
huyo kene sijui kete ,hao kina danny nini sijui!
wotee
 
Shilawadu wamerusha clip ya mama wema anawaomba wote wanao mfollow wema instagram wamchane aache tabia mbaya anasema hata akiwa block kwani mnapumgukiwa nini?mama kaachia mitandao imfunde mwanae
 
Huyu mama kashachelewa mwanae ameamuwa kuwa msagaji na chaguo lake ni Diana, asimpige diana tu awapeleke kwenye ushauri nasaha waache kusagana, maskini Diana tangu danga lake la moshi liwekwe magereza anapata taabu sana, lile danga lilikuwa linamsaga vyema mtoto alitulia na skendo hakuwa nazo.
Hako kadiana machine ya kusaga kumbe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
kwamba Diana anamharibu Wema
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom