Killmonger
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 2,021
- 2,242
Danga ni hili
Mfanyakazi wa Shirika la Mfuko wa Pension (PPF) Anitha Oswald (32) Ni Mtuhumiwa wa Kusafirisha dawa za Kulevya
Mtuhumiwa wa kusafirisha dawa za kulevya kwa kutumia gari lake, Anitha Oswald (32) ambaye ni mfanyakazi wa Shirika la Mfuko wa Pension wa Mashirika ya Umma (PPF), mkoani Kilimanjaro, akiwa kituo cha polisi mkoani humo baada ya kukamatwa na polisiwww.jamiiforums.com
Nilitaka kusema hiki kitu pia, hawa mama zetu asilimia kubwa wako hivyo sema tu wao hawaongei waziwaziWamama wengi wana tabia hii niamini mimi hata kama sio kwa mtindo wa mama Wema!...
Ukitaka kuujua ukweli peleka mchumba kwenu halafu mama aje ajue kuwa jamaa hana kitu, utanyaliwa mpaka basi!
Halafu peleka home mchumba mwenye hela hiyoo shobo, sio ya dunia hii[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
ila mwenzangu huyu mama Ubaya naye hachokiiii!
Hako kadiana machine ya kusaga kumbeHuyu mama kashachelewa mwanae ameamuwa kuwa msagaji na chaguo lake ni Diana, asimpige diana tu awapeleke kwenye ushauri nasaha waache kusagana, maskini Diana tangu danga lake la moshi liwekwe magereza anapata taabu sana, lile danga lilikuwa linamsaga vyema mtoto alitulia na skendo hakuwa nazo.
Kama wanaume wa Moshi /Arusha ni akina Pierre Liquid unatarajia nini?Cjui kwanini madem wa moshi/k.njaro,arusha wanapenda sana kusagana,haimaanish sehen nyingin hawasagani lakin maeneo hayo ni konki fire!
Sent using Jamii Forums mobile app
Usikute mama ana ΓΉhakika petit hapandi mtungiYaani mama ana muamini petit ambae ni mwanaume kuliko diana ambae ni mwana mke mwenzake
Sent using Jamii Forums mobile app