Sakata la Yanga SC na Udhamini wa Sports Pesa limethibitisha kuwa Wanaofeli Law School UDSM wanastahili

Sakata la Yanga SC na Udhamini wa Sports Pesa limethibitisha kuwa Wanaofeli Law School UDSM wanastahili

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Kama kila Mwanasheria / Wakili akienda tu Hewani Kuongea katika Redio na Runinga kuhusiana na Sakata la Yanga SC na Mdhamini Mkuu wao Kampuni ya Sports Pesa anasema lwake huku Wengine wakijichanganya kabisa kwanini tulilalamika na tunalalamika wanaosoma Law School of Tanzania Kufeli sana tofauti na ilivyokuwa nyuma?
 
Kama kila Mwanasheria / Wakili akienda tu Hewani Kuongea katika Redio na Runinga kuhusiana na Sakata la Yanga SC na Mdhamini Mkuu wao Kampuni ya Sports Pesa anasema lwake huku Wengine wakijichanganya kabisa kwanini tulilalamika na tunalalamika wanaosoma Law School UDSM Kufeli sana tofauti na ilivyokuwa nyuma?
UDSM hakuna law school mzee Genta,Tanzania tuna law school moja tu ambayo ndio hasa tulilalamika watu kufeli nayo ni The law school of Tanzania..hiyo yako ya UDSM ya huko kwenu Bunda,au labda ungezungumzia faculty ya school of law ambayo ndio hasaa ipo Udsm
 
Kama kila Mwanasheria / Wakili akienda tu Hewani Kuongea katika Redio na Runinga kuhusiana na Sakata la Yanga SC na Mdhamini Mkuu wao Kampuni ya Sports Pesa anasema lwake huku Wengine wakijichanganya kabisa kwanini tulilalamika na tunalalamika wanaosoma Law School UDSM Kufeli sana tofauti na ilivyokuwa nyuma?
Jamaa umefeli sana,umeshindwa kutofautisha Law school of Tanzania na School of Law ya Udsm! Law school of Tanzania Iko Mawasiliano.
 
Back
Top Bottom